SASA LIMEKUWA.....Asubuhi hii Intern Drs 11 waliokuwa wamegoma wametimuliwa kazi katika Haospitali ya mkoa wa Dodoma...........Haya yanategemewa pia katika hospitali nyingine zote zilizogoma!
My take:
-Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari
-Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi!
My take:
-Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari
-Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi!