whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,426
SASA LIMEKUWA.....Asubuhi hii Intern Drs 11 waliokuwa wamegoma wametimuliwa kazi katika Haospitali ya mkoa wa Dodoma...........Haya yanategemewa pia katika hospitali nyingine zote zilizogoma!
My take:
-Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari
-Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi![/QUOTE
Safi sana! Mgomo wa madktari uliua ndugu yangu, timua tu, ni bora tujue hatuna madaktari nchi hii ili tumwombe mungu atuponeshe kwa magonjwa yatayotujia, kwanza watu wenyewe wanapeleka madawa ya serikali kenye dispensari zao.
acha ujinga weee huyo ndugu yako alijipangia na siku ya kuzaliwa, nani kasema anayetibiwa hafi.... amka chizi wewe kila mtu anakufa tu..... nawe utakufa tuuu hata kwa kuchomwa mwiba.