Mmanyanigho
Senior Member
- May 18, 2018
- 186
- 326
Wakuu mwema.
Kuna miradi mingi inaendelea hapa mjini Dar es salaam. Kuna mwendokasi maeneo mbalimbali wanatengeza.
Kuna barabara za mitaa zinajengwa maeneo mbalimbali, lakini yote hii huwa naona watu wakishiriki ujenzi huo (vibarua).
Sasa huwa najiuliza huwa wanapataje hizo nafasi, kuna matangazo huwa wanatoa? Wanayatoa kupitia wapi, kuna wale wanaochimbaga mitaro kwenye hiyo miradi wanapataje hizo nafasi??
Kwa anaejua huwa wanapataje hizo kazi atujuze wakuu.
Nimefika mjini hali si hali.
Kuna miradi mingi inaendelea hapa mjini Dar es salaam. Kuna mwendokasi maeneo mbalimbali wanatengeza.
Kuna barabara za mitaa zinajengwa maeneo mbalimbali, lakini yote hii huwa naona watu wakishiriki ujenzi huo (vibarua).
Sasa huwa najiuliza huwa wanapataje hizo nafasi, kuna matangazo huwa wanatoa? Wanayatoa kupitia wapi, kuna wale wanaochimbaga mitaro kwenye hiyo miradi wanapataje hizo nafasi??
Kwa anaejua huwa wanapataje hizo kazi atujuze wakuu.
Nimefika mjini hali si hali.