sijaipenda hii. hawa ni mama zetu jamani kwa nini tuwadharau hivi? ukichukulia sisi ndo tumenyonya hapo tukiwa watoto kwa miaka miwili, sasa inakuwaje leo nimdhihaki mama yangu kiasi hiki. tuepuke laana jamani!!!!
wanaume mnapenda kutukebehi sana eeeh........?
Teacher kwa hilo nawaheshimu sana wamama! mwanangu alipokuwa mdogo nilipenda sana kumbeba km tunakwenda kanisani au hospitali au outing, sasa mkifika ile destination utaona ile mikono ina vibrate huna hamu tena, sasa unamkuta maza anauza machungwa kamweka mwanaye mgongoni anakatiza toka magomeni hadi mwenge imagine huyo ndo mamaako kakusomesha kwa dizaini hiyo, leo hii unamdhihaki hivyo!! tutubu dhambi zetu na mungu atatuweka huru!!!!!Kuna wakati unaongea point mwanafunzi wangu acha tuu
Preta ni mambo ya kuweka takwimu tu hahaha!wanaume mnapenda kutukebehi sana eeeh........?
mmh jamani lakini ndo mmenyonya hayo!
Hivi kweli uko serious unaweka picha kama hiyo hapa, huu ni udhalilishaji mkubwa sana kwa akina mama, weka kengele za baba yako nazo ziwekewe scale. sorry for this, nimekwazika.
bahati mbaya niliokotwa sina baba naomba nije kwenu tupate hizo za baba yako...
kengele za baba ndo niniHivi kweli uko serious unaweka picha kama hiyo hapa, huu ni udhalilishaji mkubwa sana kwa akina mama, weka kengele za baba yako nazo ziwekewe scale. sorry for this, nimekwazika.
Preta ni mambo ya kuweka takwimu tu hahaha!