Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 637
poleni wahanga
unataka watu wawaze kama unavyotaka? Halafu sio kila unachoweka kwa mzaha wengine watachukulia kwa mzaha, mchina mchina kukariri kumezidijamani tatizo nini mbona mnakuwa wakali namna hiyo... Nilijuwa mngesema mchina kafanya kazi yake..
bahati mbaya niliokotwa sina baba naomba nije kwenu tupate hizo za baba yako...