Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Mwenye macho haambiwi tazama
👇
👇
Mwenye macho haambiwi tazama
View attachment 2636086
Ya kwamba kutaka kwake bandari zetu zituchangie nusu ya bajeti ya kila mwaka ni dogo?!!!Chawa mnatia huruma
Kazi ipi , ya kuuza bandari ?Mwenye macho haambiwi tazama
View attachment 2636086
Hatimaye sukuma Gang umesalimu amri kwa msoga Gang kudadadeqMwenye macho haambiwi tazama
View attachment 2636086
Pole. Poleni
Yupo sahihi sana... Ndani ya ccm hakuna. Waliobakia wote ni wezi!Chawa mnatia huruma
HeheheheYupo sahihi sana... Ndani ya ccm hakuna. Waliobakia wote ni wezi!
Hata mimi nimemshangaa huyu nguli wa Sukuma Gang. Huyu Chagu wa Malunde alikuwa ni ngome thabiti ya waabudu Magufuli ambao hawampendi Samia. Baada ya kifo cha Magufuli alipotea kwa muda fulani, na sasa amerudi upya.Hatimaye sukuma Gang umesalimu amri kwa msoga Gang kudadadeq
Mkuu uwe unachagua maneno sahihi katika sentensi zako ili hoja yako iweze kubebea ujumbe bayana kwa hadhira uliyoikusudia. Nafikiri ungaliandika maneno, "mwaka 2025 hakuna kada yeyote ndani ya CCM anayeweza kuwa mbadala wa Samia kukiongoza chama hiki".Mwenye macho haambiwi tazama
View attachment 2636086
Punga Dad nenda kachukue buku 7Mwenye macho haambiwi tazama
👇View attachment 2636086
AahaaaaChawa mnatia huruma
Acha kupotosha ummaHata mimi nimemshangaa huyu nguli wa Sukuma Gang. Huyu Chagu wa Malunde alikuwa ni ngome thabiti ya waabudu Magufuli ambao hawampendi Samia. Baada ya kifo cha Magufuli alipotea kwa muda fulani, na sasa amerudi upya.
Awamu ni ile ile na kazi inayoendelea ni ile ile iliyoanza 2016!Kazi ikiisha 2021 kilichobakia Sasa ni ubatili tupu.