Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi ameundaganya umma kuwa kiwango cha ufaulu kimeongezeka huku kukiw na habari za uhakika kutoka kwa Maafisa Elimu wa Mikoa kuwa baada ya kukamilisha zoezi la usajili walitakiwa wachague upya wanafunzi baada ya kuona hali ilikuwa mbaya sana. Waliagizwa kuchagua wanafunzi hadi waliopata alama 70/250.
Sasa kama mwaka 2011 walichagua hadi aliyepata alama 100/250, je Waziri wa Elimu yuko sahihi kudai kuwa idadi ya waliofaulu imeongezeka bila kuwaambia watanzania ukweli kuwa ufaulu wa mwaka huu ni kupata 28% badala ya 40% ya miaka yote?
Je hawa maafisa elimu wameamua kumsingizia Waziri kwa malengo yapi eti walipewa maelekezo? Wadau toeni ufafanuzi nimeshindwa kuelewa kilichotangazwa leo kuhusu matokeo ya darasa la 7
Sasa kama mwaka 2011 walichagua hadi aliyepata alama 100/250, je Waziri wa Elimu yuko sahihi kudai kuwa idadi ya waliofaulu imeongezeka bila kuwaambia watanzania ukweli kuwa ufaulu wa mwaka huu ni kupata 28% badala ya 40% ya miaka yote?
Je hawa maafisa elimu wameamua kumsingizia Waziri kwa malengo yapi eti walipewa maelekezo? Wadau toeni ufafanuzi nimeshindwa kuelewa kilichotangazwa leo kuhusu matokeo ya darasa la 7