habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
Ujinga mtupu.....
Utapiga kura ww na shangazi ako wakati Cdm vjjn hakuna!
Kauli za watu mtaani juu ya chadema na babu Slaa
Watu wameanza kusema huku ziara za kichama za babu na wengine zikiendelea
1. Mashoga: "Tukiichagua cdm tumeula, mabwana toka ulaya nje nje, babu silaa anatupenda atatuletea mabwana"
2. Wanywagongo: "Tukiichagua cdm ni burudani kweli, yani sitasumbuka kufanya kazi ya nguvu nikijipatia mia mbili tu mapemaaa kwa mama muuza"
3. Machangudoa: "Babu ni mtetezi wetu, tukimuweka tu madarakani hakuna tena kujificha, biashara nje-nje kwa rahaaaa bila bughudha"
4. Vibaka na Wavuta bhangi: "Sela cdm ndio mpango mzima, babu anatupenda, kahalalisha gongo sasa hivi anakuja kuhalalisha bhangi, cdm oyeeeeeeee"
5. Wasiopenda kufanya kazi- wakaaji wa vijiweni: "cdm mpango mzima, ikiingia tu madarakani, kila mtanzania analipwa mshahara aseee tuichague ati yani tutaendelea kukamua mtaani huku mwisho wa mwezi babu anatulipa mshahara si unaona hata wabunge wetu wengi wametoka humu vijiweni kwahiyo na sisi tutakua na magari kama wao...."
6.Wauza gongo: "Kweli hiki chama kimeanza na Mungu yani hatimae tumekumbukwa sasa hivi naelekea kariakoo nikaongeze vifaa maana ifikapo 2016 wateja wataongezeka, Mungu azidi kumuweka hai mkombozi wetu babu, babu katukomboa, nasisi sasa viwanda vyetu vitafanyakazi bila kificho, cdm chini ya babu oyeeeeee"
Siyo yangu haya, nimesikia tu mtaani wanavyoongea.... kwa wachache niliokutana nao sasa sijui bado makundi mengine yenyewe yanasemaje nitaendelea kuwafahamisha wanasemaje
Watu wameanza kusema,ukitaka kula pesa za wajinga jiunge ccm. Wanasema kuna options 2
1.Unaweza kutapeli kama yule jamaa aliyesema nimeaga kwetu Kg.
2.Unaweza kuiba,kwani watakwambia urudishe bila kuchukua hatua.
Wengine wansema,ukitaka kupanda cheo
1.Iseme vibaya chadema na kuahidi kuisambaratisha
2.Uue kama Michael Kamuhanda nk.
Eti hiki ndicho chama tunachokitegemea kuleta maendeleo.....ushe.nzi mtupu.
Mnataka kututoa kwenye hoja ya ZITTO, hatukubali tuambieni siku 14 bado tu mbona mnambwela?
Kauli za watu mtaani juu ya chadema na babu Slaa
[/B]Watu wameanza kusema huku ziara za kichama za babu na wengine zikiendelea
1. Mashoga: "Tukiichagua cdm tumeula, mabwana toka ulaya nje nje, babu silaa anatupenda atatuletea mabwana"
2. Wanywagongo: "Tukiichagua cdm ni burudani kweli, yani sitasumbuka kufanya kazi ya nguvu nikijipatia mia mbili tu mapemaaa kwa mama muuza"
Maisha bora kwa kila mtanzania kwa kasi mpya na ari mpya manchangudoa ni viherehere vyao lakini watoto wao wakiwa na div 5 wanarushwa ulaya kwa pesa za walipa kodi3. Machangudoa: "Babu ni mtetezi wetu, tukimuweka tu madarakani hakuna tena kujificha, biashara nje-nje kwa rahaaaa bila bughudha"
4. Vibaka na Wavuta bhangi: "Sela cdm ndio mpango mzima, babu anatupenda, kahalalisha gongo sasa hivi anakuja kuhalalisha bhangi, cdm oyeeeeeeee"
5. Wasiopenda kufanya kazi- wakaaji wa vijiweni: "cdm mpango mzima, ikiingia tu madarakani, kila mtanzania analipwa mshahara aseee tuichague ati yani tutaendelea kukamua mtaani huku mwisho wa mwezi babu anatulipa mshahara si unaona hata wabunge wetu wengi wametoka humu vijiweni kwahiyo na sisi tutakua na magari kama wao...."
utajitambua ukiooza kaburini maisha ya shida namna hii kwa wananchi huyaonikhaa!!! Hivi hamuwezi kukuna vichwa mkaanzisha threads zenye maana zinazojadilika zaidi ya uharo kama huu?
wewe utakuwa mnufaika lazima mbona unakuja juu.Hata shetani akigundulika huja juuWote wenye fikra mgando km ww ndio wana hoja za kipuuzi puuzi hivi
Khaa!! wewe ndiyo bwegeza kwelikweli. Sasa hiyo thread na maisha ya shida ya wananchi inauhusiano gani? Mbona mnaakili fupi kiasi hiki jamani? Hebu leteni vitu vya maana vinavyojadilika kwa maendeleo ya taifa letu. Khaa!!!utajitambua ukiooza kaburini maisha ya shida namna hii kwa wananchi huyaoni
Kauli za watu mtaani juu ya chadema na babu Slaa
Watu wameanza kusema huku ziara za kichama za babu na wengine zikiendelea
1. Mashoga: "Tukiichagua cdm tumeula, mabwana toka ulaya nje nje, babu silaa anatupenda atatuletea mabwana"
2. Wanywagongo: "Tukiichagua cdm ni burudani kweli, yani sitasumbuka kufanya kazi ya nguvu nikijipatia mia mbili tu mapemaaa kwa mama muuza"
3. Machangudoa: "Babu ni mtetezi wetu, tukimuweka tu madarakani hakuna tena kujificha, biashara nje-nje kwa rahaaaa bila bughudha"
4. Vibaka na Wavuta bhangi: "Sela cdm ndio mpango mzima, babu anatupenda, kahalalisha gongo sasa hivi anakuja kuhalalisha bhangi, cdm oyeeeeeeee"
5. Wasiopenda kufanya kazi- wakaaji wa vijiweni: "cdm mpango mzima, ikiingia tu madarakani, kila mtanzania analipwa mshahara aseee tuichague ati yani tutaendelea kukamua mtaani huku mwisho wa mwezi babu anatulipa mshahara si unaona hata wabunge wetu wengi wametoka humu vijiweni kwahiyo na sisi tutakua na magari kama wao...."
6.Wauza gongo: "Kweli hiki chama kimeanza na Mungu yani hatimae tumekumbukwa sasa hivi naelekea kariakoo nikaongeze vifaa maana ifikapo 2016 wateja wataongezeka, Mungu azidi kumuweka hai mkombozi wetu babu, babu katukomboa, nasisi sasa viwanda vyetu vitafanyakazi bila kificho, cdm chini ya babu oyeeeeee"
Siyo yangu haya, nimesikia tu mtaani wanavyoongea.... kwa wachache niliokutana nao sasa sijui bado makundi mengine yenyewe yanasemaje nitaendelea kuwafahamisha wanasemaje
Khaa!! wewe ndiyo bwegeza kwelikweli. Sasa hiyo thread na maisha ya shida ya wananchi inauhusiano gani? Mbona mnaakili fupi kiasi hiki jamani? Hebu leteni vitu vya maana vinavyojadilika kwa maendeleo ya taifa letu. Khaa!!!
Khaa!! Kumbe wewe mbwiga kweli. Unakurupuka tu hovyohovyo. Hebu rudi ukasome tena hiii thread uone kama inajadilika. Acha ujin ga.duh hujitambui wewe unataka watu tujadili watu hivi wewe zinakutosha kweli yaani wewe implication za siasa bovu za CMM za kusomba kila kitu kutengeneza matabaka ya walionacho na wasio nacho kutengeneza ajira hewa kwa vijana, kuwaacha wazee wafe pasipo matunzo huzioni kabisa na hutaki tujadili unataka tukujadili wewe na familia yako we ndio hamnazo kabisa