GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,551
- 108,888
Kauli ya Mwanasiasa GENTAMYCINE wiki Mbili zilizopita....
"Namalizia Kampeni zangu za Kupambana na Magufuli ila Uchaguzi Mkuu ukiisha tu naenda Kijijini Butiama Mkoani Mara Kutibiwa zangu Kienyeji kutokana na Matatizo makubwa sana niliyoyapata ya Kung'atwa na Mbwa Mkali wa Ziwani na Meno yake Makali 38 nilipomuomba Dereva wangu anishushe nikojoe mara moja Porini japo Yeye Meno ya Mbwa Mkali hata Moja halijampata huku nikipumzika Siasa"
Kauli ya Mwanasiasa GENTAMYCINE leo tu alipokuwa akipanda zake Treni kuelekea Mkoani Mara ( Musoma ) kupitia Mwanza....
"Naondoka hivi na hii Treni kama mnavyoona ila pamoja na kwamba naenda Kutibiwa ila huko huko Kijijini Butiama hata kama nikiwa Wodini naoshwa Majeraha na Meno ya Mbwa Mkali wa Ziwani kwani kuna mengie kama Mawili hivi yamebaki na yamekaa pabaya nitaendeleza Mapambano dhidi ya Magufuli nikiwa huko huko mpaka atoke Madarakani japo nilipokuwa hapa Dar es Salaam nilishindwa Kumtoa"
RAI yangu tu kwa 'Wanasiasa' Wenzangu wengine wa Tanzania (hasa mliogombea Urais kama GENTAMYCINE ) Msiwe 'Ndumilakuwili' Kimaelezo.
"Namalizia Kampeni zangu za Kupambana na Magufuli ila Uchaguzi Mkuu ukiisha tu naenda Kijijini Butiama Mkoani Mara Kutibiwa zangu Kienyeji kutokana na Matatizo makubwa sana niliyoyapata ya Kung'atwa na Mbwa Mkali wa Ziwani na Meno yake Makali 38 nilipomuomba Dereva wangu anishushe nikojoe mara moja Porini japo Yeye Meno ya Mbwa Mkali hata Moja halijampata huku nikipumzika Siasa"
Kauli ya Mwanasiasa GENTAMYCINE leo tu alipokuwa akipanda zake Treni kuelekea Mkoani Mara ( Musoma ) kupitia Mwanza....
"Naondoka hivi na hii Treni kama mnavyoona ila pamoja na kwamba naenda Kutibiwa ila huko huko Kijijini Butiama hata kama nikiwa Wodini naoshwa Majeraha na Meno ya Mbwa Mkali wa Ziwani kwani kuna mengie kama Mawili hivi yamebaki na yamekaa pabaya nitaendeleza Mapambano dhidi ya Magufuli nikiwa huko huko mpaka atoke Madarakani japo nilipokuwa hapa Dar es Salaam nilishindwa Kumtoa"
RAI yangu tu kwa 'Wanasiasa' Wenzangu wengine wa Tanzania (hasa mliogombea Urais kama GENTAMYCINE ) Msiwe 'Ndumilakuwili' Kimaelezo.