Hivi weww unqjua kuwa Trump kang'ang'qnia madaraka akidai kuibiwa kura kwenye uchaguzi huko USA.Anaenda kumshtaki kwa baba na mama (USA x UN).
Sasa tunacho subiri kama baba na mama watatumia vyeo vyao kama wazazi kutoa adhabu kali, ili iwe fundisho kwa watoto wengine watukutu (Uganda n.k). Au wazazi watafunika kombe mwana-wa-haramu apite (Japokua baba ameshaonesha dalili za jazba toka awali).
Na leo wakati akisafiri alisindikizwa mpaka stendi na washenga (mabalozi) watatu, mmoja wa USA (Baba), wingine wa German (Ma-mdogo), na wa mwisho alikua wa Belgium (Mlezi)... Hii imekaaje kwa nyinyi wataalamu wa siasa???
wamarekani wana shida zao kibao.
Utasubiri sana.