Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
bana eeeh is a cursekuzaliwa linchi kama tanzania ..kila kitu ovyo tu.kama walisema hivyo wako right.hatuwzi kujivunia nchi lililooza kama Tanzania
Hahaha! Binamu umenikumbusha jamaa yangu aliwahi kusema: Ni heri kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa binadamu Afrika. Lol!