Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
KWANI RITA NI NANI, SALAMA NI NANI! Mtu na akili yako utakaa unaskiliza kritiki za hawa watu? huwa naangalia mara chache sana show hii hasa wife anapong'ang'ania, wakati discovery hakuna kpnd kizuri. ss watanzania ndy tatizo letu, they own BSS....halafu they pretend kujua kila kitu! kwa nini wasiajiri watu kutoka vyuo vya sanaa bagamoyo au butimba? hata hao maproducer hawajasomea music, wamejifunza kutumia fruitloop tu wakapata umaarufu bongo. uzoefu huua
karagabaho
karagabaho