Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Huyo JK ameamua kuwapa promo hiyo Clouds, kwa kuwa anajua, kuanzia wamiliki wake Kusaga na Ruge, pamoja na watangazaji wao, akina Kibonde, Bonge na wengineo, nao ni kama wamekunywa maji ya bendera ya CCM.
Wao wakiingia studio ni kazi moja tu, kuwapamba magamba na kuwaponda wapinzani.
Hiyo radio, mimi binafsi naihate sana, kwa kuwa inajitahidi kwa kila hali kuchelewesha mabadiliko
hehheheeee,,,,,na redio uhuru je???