Jamani mnapoleta hoja na mijadala jaribuni kuwa specific. Hivi umeshindwa nini kusema alikotolea hii kauli? be analytical plzWana JF Kauli aliyoitoa JK ukitaka kula lazima na wewe ukubali kuliwa ina maana gani?
Rais alikuwa anahutubia bunge dodoma mwaka jana ndio alisema kula na kuliwa. Hotuba hiyo baadaye ilitakiwa ijadiliwe na wabunge lakini hadi leo, mpaka bunge limekwisha, hotuba hiyo haijajadiliwa. Eti ilipelekwa ikulu kuchakachuliwa kwanza.
Macinkus
Pia inaweza kutafsiriwa kuwa anaunga mkono dhana ya kutoa kitu kidogo. Ukitaka huduma ya kukusaidia na wewe toa kwanza kitu kidogo.
Kwa mantiki hii ufisadi unakuzwa na kiongozi wetu.
anatupa uzoefu wake, pengine alishaliwa sana,, sasa anatushawishi kutula kwa madai kuwa itafika kipindi na sisi tutakula. Kama yeye alikubali kuliwa shauri yake, Siko tayari kuliwa!!
Aisee Mkwere alitaka kuifanya nchi hii ya mafedhuli wanaokula mata.koWana JF Kauli aliyoitoa JK ukitaka kula lazima na wewe ukubali kuliwa ina maana gani?