MAANDIKO KATIKA KITABU KITAKATIFU YANASEMA "Kila mtu awe mwepesi wa kusikia lakini sio mwepesi wa kusema"Na mimi nimemsikia Kandoro na niseme tu Kandoro amefanya kosa kubwa sana kuanza malumbano kupitia vyombo vya habari. DC ameachia ngazi kwa hiari yake mwenyewe na hakuna mahali popote aliposema kuwa anaondoka kwa sababu jina lake halipo kwenye orodha ijayo ya wakuu wa Wilaya!
Kama Kandoro angekuwa na chembe ya busara basi angemtakia huyo DC mapumziko mema, lakini kitendo cha kumchafua DC ni sawa na kutibua nyongo na sitoshangaa huyo DC akaamua kumwaga ugali!
Mkuu naomba nikukosoe!! umekosea sana!
Serikali haiumwi degedege..!!
Ina kipindupindu!! yaani inaharisha!
Kandoro ni gamba! Arudishe lile shangingi la million 250 alilonunua kwa millioni mbili.
Kwahiyo kama mtu aliwahi kummega mama yako aje kujitangazia hapa kama ni babako wa kambo?angalia wasije wakajitokeza baba zako wa kambo wengi humu!!!!ujaribu kuchangia vitu vinavyohusianaMsimtukane baba mkwe wangu nimemmega sana mwanae wakati tunasoma Jitegemee 2007-2009.
Msimtukane baba mkwe wangu nimemmega sana mwanae wakati tunasoma Jitegemee 2007-2009.
Huyu Kandoro ni tatizo sana. Mbona hoja zake huwa hazina msingi? Huyo DC ni wa kupongezwa sana.
salam wana JF. nimemsikiliza RC kandoro akitoa maelezo dhidi ya hatua ya DC aliyeamua kuacha kazi kuwa amefanya hivyo kwa sababu anajua/ameambiwa kuwa hayupo katika orodha mpya. hivi huwa taarifa zinafika kwa wahusika kama wanateuliwa ? kwa mtazamo wangu,mimi naona Kandoro ameonyesha udhaifu kuonyesha kuwa ukiteuliwa unajua kabla, au kaonyesha ni jinsi gani siri zinavyotolewa na watumishi wa serikali. karibu utoe maoni yako
Hivi Wasambaa na Wakwere wanatofautiana sana? Niliwahi kuwa na Boss wa Kisambaa akimshughulikia mtu kinidhamu anakuwa anapitapita kwenye ofisi za watu kuwauma sikio. Utasikia anajisemea tayari kimemwakia! Inawezekana na huyu Mkwe.re yuko hivyo, kabla hajafanya lolote taarifa ziko kwenye gahawa!
nani? H nini? Tusijekuwa waume wenza.!