The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,550
- 20,342
GT
Kiufupi sana samia hakujiandaa kuwa raisi lakini pia hata wasaidizi wake wameshindwa kumsaidia kuwa Raisi.mzuri, sasa wanachofanya .ni
Kulazimisha kila Kitu kwa mabavu
Baadhi ya kauli hapa chini ni Ushahidi tosha kwamba Mkuu wetu wa nchi hana karama hiyo ya uongozi Unaweza ukaongezea zingine in case nimesahau.
1." Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake". Raisi wa Nchi anatamka hii wananchi walipokea hili kama fungulia mbwa yaani mwenye nguvu mpishe, kiufupi alihalalisha rushwa na ubadhilifu.
2. "Katiba ni kijitabu tu" hili lilikuwa tusi kubwa sana kwa katiba ya Tanzania, ni Raisi samia.pekee aliyedharau katiba ya nchi kwa tusi kubwa namna hili.
3. "Nimeziba masikio'. What the hell kwamba hutaki kuwasikia unaowaongoza wanaema nini so what watanzania siyo kwamba ni wapole tu bali tuna ujinga mwingi vichwani mwetu.
4. "Kifo ni kifo tu" aha ha aha mtu kashushwa kwenye Bus kaokotwa katobolewa macho. Badala ya kuagiza uchunguzi Raisi anatoa mipasho, Dunia nzima hakuna Raisi wa kufanya hivyo.
5. "Kutochanganya siasa na dini na kuapa kuwashugulikia Viongozi wa dini'..Means hajui mchango wa taasisi.za dini hapa nchini katika siasa za Tanzania hii nayo ilikiwa dharau kubwa.
6. "Ukinipapasa nami nakupapasa na kupulizia" mhii ehe he he he mahaba kwa wateule wake ndo maana baadhi hataki kuwatumbua licha ya kuonyesha utendaji mbovu. Hapa ndipo chimbuko la chawa lilipoanzia..
7. "Tulihalibiwa huko nyuma tukaambiwa bei ya umeme ni 27k Umeme haupo hivyo" . Du kwani huko nyuma hakuwepo? inashangaza.
8. "Wameharibu huko kwao hapakaliki wanataKa kutuharibia na sisi".No comment here, wenye hekima wameshaomba msamaha kiufupi taasisi ya urais Tanzania imeingiliwa.
9. 'Hatuwataji akina Gwajima katika CCM" Kauli iliyojaa dharau na kiburi (Tume ya uchaguzi na vyombo vya dola) na kulewa madaraka bila kusikiliza maoni/Vilio vya wananchi..
Samia ni mtu wa kupuuza.puuza mambo ya msingi na kushadadia propaganda. Mbele ya TAL mama huyu hatoboi that is why kamtia lock up.
Kiufupi sana samia hakujiandaa kuwa raisi lakini pia hata wasaidizi wake wameshindwa kumsaidia kuwa Raisi.mzuri, sasa wanachofanya .ni
Kulazimisha kila Kitu kwa mabavu
Baadhi ya kauli hapa chini ni Ushahidi tosha kwamba Mkuu wetu wa nchi hana karama hiyo ya uongozi Unaweza ukaongezea zingine in case nimesahau.
1." Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake". Raisi wa Nchi anatamka hii wananchi walipokea hili kama fungulia mbwa yaani mwenye nguvu mpishe, kiufupi alihalalisha rushwa na ubadhilifu.
2. "Katiba ni kijitabu tu" hili lilikuwa tusi kubwa sana kwa katiba ya Tanzania, ni Raisi samia.pekee aliyedharau katiba ya nchi kwa tusi kubwa namna hili.
3. "Nimeziba masikio'. What the hell kwamba hutaki kuwasikia unaowaongoza wanaema nini so what watanzania siyo kwamba ni wapole tu bali tuna ujinga mwingi vichwani mwetu.
4. "Kifo ni kifo tu" aha ha aha mtu kashushwa kwenye Bus kaokotwa katobolewa macho. Badala ya kuagiza uchunguzi Raisi anatoa mipasho, Dunia nzima hakuna Raisi wa kufanya hivyo.
5. "Kutochanganya siasa na dini na kuapa kuwashugulikia Viongozi wa dini'..Means hajui mchango wa taasisi.za dini hapa nchini katika siasa za Tanzania hii nayo ilikiwa dharau kubwa.
6. "Ukinipapasa nami nakupapasa na kupulizia" mhii ehe he he he mahaba kwa wateule wake ndo maana baadhi hataki kuwatumbua licha ya kuonyesha utendaji mbovu. Hapa ndipo chimbuko la chawa lilipoanzia..
7. "Tulihalibiwa huko nyuma tukaambiwa bei ya umeme ni 27k Umeme haupo hivyo" . Du kwani huko nyuma hakuwepo? inashangaza.
8. "Wameharibu huko kwao hapakaliki wanataKa kutuharibia na sisi".No comment here, wenye hekima wameshaomba msamaha kiufupi taasisi ya urais Tanzania imeingiliwa.
9. 'Hatuwataji akina Gwajima katika CCM" Kauli iliyojaa dharau na kiburi (Tume ya uchaguzi na vyombo vya dola) na kulewa madaraka bila kusikiliza maoni/Vilio vya wananchi..
Samia ni mtu wa kupuuza.puuza mambo ya msingi na kushadadia propaganda. Mbele ya TAL mama huyu hatoboi that is why kamtia lock up.