Kauli kuu ya Mbowe iliyosaidia sana kutunza amani nchini: Tusilipize kisasi, kisasi ni kazi ya Mungu

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,502
51,098
Mara nyingi, Mbowe amekuwa ni mtu wa amani sana.
Kuna nyakati wafuasi wa chama chake walikuwa wakimtaka Mwenyekiti awape go ahead ya kufanya matendo ya kulipiza visasi kutokana na hila na uonevu waliokuwa wakifanyiwa na watu wa mrengo wa CCM na serikali, Lakini Mbowe siku zote amekuwa akiwaasa wanaCHADEMA kuwa KISASI NI KAZI YA MUNGU tusilipiziane kisasi.

Ilifikia hatua Mbowe akawaambia wanaChadema kuwa kama wanataka mwenyekiti mwenye ajenda za kulipiza visasi, basi watafute mwenyekiti mwingine.

Tumeona mathalani Mbowe akinyanyaswa sana na utawala uliopita, Account zake kufungwa, Club yake ya Bilcanas kuvunjwa, Mashamba yake huko Moshi kuharibiwa, Akawekwa ndani miezi minne bila grounds, na sasa kawekwa ndani tena na Utawala wa Samia.

Kama kuna mtu ambaye serikali ilipaswa ifanye naye kazi katika suala la amani na utengamano wa Taifa basi ni Freeman Mbowe. Mbowe haamini katika siasa za fujo bali za hoja, Haamimi katika visasi bali katika kusameheana, sasa mtu peace kama huyu kwa nini umuonee yaani?

Mbowe alisema kisasi anamuachia Mungu,, Sijui Mungu atajibuje lakini tuwe makini pindi tunapodeal na watu wanaomtumainia Mungu awapiganie!

Muachieni huru Freeman Mbowe ni mtu ambaye hana hatia
 
Wanaimba Tanzania ni kisiwa cha amani wakati wanatembea na mapanga kwenye vikoi vyao.

Mbowe ni kiongozi wa kupigiwa mfano kwa uongozi bora lkn anatokea mtu kwa chuki zake tu anatafuta njia za kumpoteza au kumfunga mdomo.
Wanaimba ama huku wameshika mapanga
 
Mara nyingi, Mbowe amekuwa ni mtu wa amani sana.
Kuna nyakati wafuasi wa chama chake walikuwa wakimtaka Mwenyekiti awape go ahead ya kufanya matendo ya kulipiza visasi kutokana na hila na uonevu waliokuwa wakifanyiwa na watu wa mrengo wa CCM na serikali, Lakini Mbowe siku zote amekuwa akiwaasa wanaCHADEMA kuwa KISASI NI KAZI YA MUNGU tusilipiziane kisasi.

Ilifikia hatua Mbowe akawaambia wanaChadema kuwa kama wanataka mwenyekiti mwenye ajenda za kulipiza visasi, basi watafute mwenyekiti mwingine.

Tumeona mathalani Mbowe akinyanyaswa sana na utawala uliopita, Account zake kufungwa, Club yake ya Bilcanas kuvunjwa, Mashamba yake huko Moshi kuharibiwa, Akawekwa ndani miezi minne bila grounds, na sasa kawekwa ndani tena na Utawala wa Samia.

Kama kuna mtu ambaye serikali ilipaswa ifanye naye kazi katika suala la amani na utengamano wa Taifa basi ni Freeman Mbowe. Mbowe haamini katika siasa za fujo bali za hoja, Haamimi katika visasi bali katika kusameheana, sasa mtu peace kama huyu kwa nini umuonee yaani?

Mbowe alisema kisasi anamuachia Mungu,, Sijui Mungu atajibuje lakini tuwe makini pindi tunapodeal na watu wanaomtumainia Mungu awapiganie!

Muachieni huru Freeman Mbowe ni mtu ambaye hana hatia
Mbowe Sio Gaid.
Mbowe ni Mwamba wa siasa za Upinzani Afrika.
 
Kuna muda natamani hata kuingilia uhuru wa mahakama

Mbowe sio Gaidi

Hata marehemu Jpm asingeweza ku frame kesi ya Ugaidi kwa mtu kama mbowe.

Hata ccm wanajua kua Mbowe sio Gaidi

Embu tuiondolee aibu Nchi yetu Mbowe sio Gaidi
 
Kuna muda natamani hata kuingilia uhuru wa mahakama

Mbowe sio Gaidi

Hata marehemu Jpm asingeweza ku frame kesi ya Ugaidi kwa mtu kama mbowe.

Hata ccm wanajua kua Mbowe sio Gaidi

Embu tuiondolee aibu Nchi yetu Mbowe sio Gaidi
Gaidi pekee hapa Tanzania alikuwa ni Hamza mwana ccm
 
Back
Top Bottom