Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,764
- 50,849
Tangu jana ipo hii
Tangu jana ipo hii
Anaowategemea kama back up anahisi yupo nao pamoja ila kumbe kusudi lao ni kumuangusha.
Gwajima anakata tawi alilosimamia Samia, japo nayeye amelikanyaga nusu, hivyo Gwajiboy ana ahueni anaweza kuruka lkn Sa100 anazama mazima🤣
wote hatupati Tweeter, unafungia tweeter ambayo na wewe unaitumia..huyu ni samia na ushungi...umenifunga lakini tutaanguka wote na kuumia
Ninavyoona ni kama watadondoka wote kwasababu mwenye kilemba chekundu ni mzito kuliko aliyevaa mask.Sasa mbona wamemfunga mnyororo ina maana tawi likikatika watamdaka?
Sasa mbona wamemfunga mnyororo ina maana tawi likikatika watamdaka?
Kuna sehemu nimekutana na ki-picha hiki, eti "ABDUL" anatengeneza anguko la "MAMA YAKE", na anguko lake mwenyewe!Ninavyoona ni kama watadondoka wote kwasababu mwenye kilemba chekundu ni mzito kuliko aliyevaa mask.
[emoji23][emoji23]Mwanzoni nilidhan anayekata tawi (mwenye kijamii) anaakili. Anataka kukata then aondoe mguu mmoja huku alipokata ili amuache huyo mama akidondoka mwenyewe. Cha ajabu naye amejifunga mnyororo. Hiyo wanakwenda wote. İnnalilahi
Ooh good...Code imefunguliwaNinavyoona ni kama watadondoka wote kwasababu mwenye kilemba chekundu ni mzito kuliko aliyevaa mask.
Aliyemwagiza kukata akidondoka na mkataji naye hatasalimika
Haha! Noma sana..