Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,743
Masood mchokonozi😅
Masood mchokonozi😅
Ninavyoona ni kama watadondoka wote kwasababu mwenye kilemba chekundu ni mzito kuliko aliyevaa mask.
Ni kama silaha, pengine kwa akili yake anamlinda mkata tawi uknowingly bila kujua kuwa wote wako hatarini, nawaza tuuAliyevaa kilemba chekundu ameshika nini mkono wake wa kulia?
anaondoka nao.Sasa mbona wamemfunga mnyororo ina maana tawi likikatika watamdaka?
Nimeshindwa kutambua mkuu, sijui kitu gani alichoshika mwenye kilemba chekundu. TusaidianeAliyevaa kilemba chekundu ameshika nini mkono wake wa kulia?