Si kuonekana; ni kujua na ndo msingi halisi wa JF ...kujulishana........ukifuatilia nimejibu hivyo kutokana na credit alizowapa wa kenya kuwa GADO anatokea kwao; kwa faida ya ke na ya kwako nimelisahihisha hilo; swala la mbwembwe ni mtazamo wako.............mbona hujawasema waliotoa autobigraphy za Tex kuwa wanajua na kama hutaki kujua...............kinachokufanya usome comments humu ndani kitu gani? Acha utoto!
mimi ni mpezi wakucheki katuni za cd na kweny magazeti,yani unaweza kunikuta nacheka mwenyewe.katuni za kwenye cd niipedayo ni ya tom and jery,za kwenye magzeti ni kingo inayochorwa na gayo,Tozi ya kwenye majira
inayochorwa na william garani vp kuhusu ww