Nakumbuka miaka ya 1997 nilikuwa nasoma gazeti la majira ,nilikuwa navutiwa Sana na katuni za mchoraji James Gayo ,hasa picha za KINGO ni siku nyingi sipo huko mjini na Hulu kwetu hakuna husuma ya magazeti ombi kwa walioko mjini mwenye hiyo michoro ya James Gayo aiweke hapa hapo nikumbukie tu,