Si kuonekana; ni kujua na ndo msingi halisi wa JF ...kujulishana........ukifuatilia nimejibu hivyo kutokana na credit alizowapa wa kenya kuwa GADO anatokea kwao; kwa faida ya ke na ya kwako nimelisahihisha hilo; swala la mbwembwe ni mtazamo wako.............mbona hujawasema waliotoa autobigraphy za Tex kuwa wanajua na kama hutaki kujua...............kinachokufanya usome comments humu ndani kitu gani? Acha utoto!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.