SueIsmael
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 932
- 1,283
Zabron Hamis
Kwa kuwa ninapenda kuendelea kujifunza hata kwa wale nisiokubaliana nao, kwa nini unaamini ukeketaji unaendelea kufanyika? Binti asipokeketwa unadhani atapata madhara gani?
Kwa kuwa ninapenda kuendelea kujifunza hata kwa wale nisiokubaliana nao, kwa nini unaamini ukeketaji unaendelea kufanyika? Binti asipokeketwa unadhani atapata madhara gani?

