Katu usimkekete binti yako...

Katu usimkekete binti yako...

Asilimia kubwa ya wanawake wa Kiarab wanakatwa visimi kwa sababu ni jadi yao.
"Data collected in 2015 from household surveys show female genital mutilation exists in Yemen, Iraq, and Indonesia and in some places in South America such as Colombia, India, Malaysia, Oman, Saudi Arabia, and the United Arab Emirates. The practice is also found in pockets of Europe and in Australia and North America."

Note: Australia na Marekani si wazungu wafanyao hivyo bali ni wakimbizi wa Kiislam (Waarab) waishio huko ndiyo wanafanya huo unyama kwa ajili ya imani ya dini yao. wazungu wa Ulaya wanaokatwa visimi ni wale wazungu waislam wa nchi kama Bosnia, Romania, Albania, nakadhalika.

Source: www.dw.com/eng
Sasa imekua waislam tna?
 
Asilimia kubwa ya wanawake wa Kiarab wanakatwa visimi kwa sababu ni jadi yao.
"Data collected in 2015 from household surveys show female genital mutilation exists in Yemen, Iraq, and Indonesia and in some places in South America such as Colombia, India, Malaysia, Oman, Saudi Arabia, and the United Arab Emirates. The practice is also found in pockets of Europe and in Australia and North America."

Note: Australia na Marekani si wazungu wafanyao hivyo bali ni wakimbizi wa Kiislam (Waarab) waishio huko ndiyo wanafanya huo unyama kwa ajili ya imani ya dini yao. wazungu wa Ulaya wanaokatwa visimi ni wale wazungu waislam wa nchi kama Bosnia, Romania, Albania, nakadhalika.

Source: www.dw.com/eng
Kwaiyo unamaamisha Ni UISILAMU ndo unafundisha kukata visimi...
 
Sasa imekua waislam tna?
Yes Waislam, kwani wakimbizi Nigerians, Burkinabe, Mali, Togo (Waislam) hufanya haya ukimbizini na wakishikwa wanachukuliwa hatua. Marekani (Atlanta na Michigan) wakimbizi wengi Waislam wenye asili ya kiarab wengi wao walikamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria kwa unyama huu dhidi ya watoto wao.
 
Kwaiyo unamaamisha Ni UISILAMU ndo unafundisha kukata visimi...
Sahih Muslim 349: The Messenger of Allah (ﷺ) said: When anyone sits amidst four parts (of the woman) and the circumcised parts touch each other a bath becomes obligatory


Sahih bukhari 5891: I heard the Prophet (ﷺ) saying. "Five practices are characteristics of the Fitra: circumcision, shaving the pubic hair, cutting the moustaches short, clipping the nails, and depilating the hair of the armpits.

Sunnah abu dawud 527:Narrated Umm Atiyyah al-Ansariyyah:

A woman used to perform circumcision in Medina. The Prophet (ﷺ) said to her: Do not cut severely as that is better for a woman and more desirable for a husband.
 
I capitalise the last sentence...
TUACHE MILA ZA KIPUMBAVU.
 
Wengine sio kukosa elimu au kulazimishwa. Akiona hv kichwa kinawaka na yeyeanatamani. Wale mliosema wanajificha, mje na huku pia. Sishabikii lakini muelewe nyuma ya pazia kuna mengii
Screenshot_20201222-053418_Facebook.jpg
 
Siamini kama Usilam unafundisha ukataji visimi ila Waarab Waislam wanakata visimi vyao kwa kisingizio ama vigezo vya imani ya dini yao.
Kwaiyo mapadri Kulawiti watoto..huo ndo ukatoliki?
Ndugu yangu Waarabu wapo waisilamu na wasio waisilamu..Na hata huko kwa wakurya wapo waisilamu wanaokeketa.

Kwaiyo mtu kuitwa muisilamu Ni kuishi na kutenda Kama Quran itakavyo na sunna za Mtume Muhammad (PBUH).
Hakuna kwenye Quran Wala sunna za Mtume sehemu inasema wanawake wakatwe ViSiMi..

Tamadani za Watu usizihusinishe na UISILAMU..
 
Kwaiyo mapadri Kulawiti watoto..huo ndo ukatoliki?
Ndugu yangu Waarabu wapo waisilamu na wasio waisilamu..Na hata huko kwa wakurya wapo waisilamu wanaokeketa.

Kwaiyo mtu kuitwa muisilamu Ni kuishi na kutenda Kama Quran itakavyo na sunna za Mtume Muhammad (PBUH).
Hakuna kwenye Quran Wala sunna za Mtume sehemu inasema wanawake wakatwe ViSiMi..

Tamadani za Watu usizihusinishe na UISILAMU..
Nani aliyekuambia mapadri wanabaka watoto peke yao? Mbona hata masheikh na maimam nao wanafanya hivyo? Asimilia kubwa ya wanawake wa Kiarab wanakatwa visimi vyao, mbona hili halina ubishi? Nenda hapo Misri au Yemen kashuhudie.
 
Nani aliyekuambia mapadri wanabaka watoto peke yao? Mbona hata masheikh na maimam nao wanafanya hivyo? Asimilia kubwa ya wanawake wa Kiarab wanakatwa visimi vyao, mbona hili halina ubishi? Nenda hapo Misri au Yemen kashuhudie.
Kukatwa visimi ni utamaduni wawatu husika..sio KWAMBA DINI YA UISILAMU INAFUDISHA HIVYO.....
Naomba uwe muelewa basi
 
Tanzania kuna jamii nyingi sana zinafanya ukeketaji...! Lakini sijui kwanini wakurya tu ndio huwa wanashikiwa bango sana
 
Mimi naomba nimalizie na hili wanawake walio keketwa ni malaya sanaaa. Hawajui kukataa mwanaume.
 
Back
Top Bottom