Katu usimkekete binti yako...

Katu usimkekete binti yako...

Ashakum si matusi, Nimeenda hadi kujichungulia nitafute kitu mnaongelea hapa...

Kuna clit, ndio kiharage sio?
Labia minora ' ndio kama ulivyoielezea hapo.
Labia majora ' mashavu ya uke

Sasa wakitoa labia minora panabaki vipi jamani? Ni ukatili somehow hata kama ndio mila zao.
Umejichungulia tu au na kugusa,umeguda?kama umegusa,umekumbuka kunawa ili kuzuia corona?
 
Tanzania kuna jamii nyingi sana zinafanya ukeketaji...! Lakini sijui kwanini wakurya tu ndio huwa wanashikiwa bango sana
Wamasai ni katili kuliko wakurya lakini wakurya wanaonekna katili zaidi.
 
Back
Top Bottom