Ntumie hata Pm.. Mkuu wake watatu wote hao...unaogopa Nini?Nakuonea aibu kukufafanulia.
Kama umeona kupamba badala ya nilichoandika, ni haki yako kuamini kile unachoona ni sahihi. Hv kwenye huu uzi naonekana kama ngariba au mumewe ee?maana najitahidi kueleza uhalisia wa hili suala lakini naonekana kama nafaidi. Serikali na nguvu zake zote imebidi wakae meza moja na wazee wa kimila (muulize Glorias Luoga aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Tarime) ili yazungumzike na elimu kwa ngariba asifanye ya kufanya lakini kuna mtu hapa jf akiwa nyuma ya keyboard anfikiri ni rahisi kumaliza hili janga.
Kuna mabinti wanalazimisha wafanyiwe
Wengi hufanyiwa akishamaliza drs VII maana inaaminika ameshakuwa
Wazee wa kimila ndio walioelimishwa wakaacha kutumia ukale
Wapiga kelele ni wale ambao hawajui hata tohara inafanyikaje wamekaririshwa kinaondolewa kisimi
Ikitumika nguvu ndio kwaanza picha litaanza
Maeneo ambako nguvu haitumiki kuna mabinti waliokataa na wanaolewa
Maeneo nguvu zinakotumika mabinti wanakeketwa kwalazima tena usiku na hapo ngariba hupangusa haswaa.
Tupingane kwa hoja na sio kurushiana madongo, hakuna jambo lenye hasara pekee. Kama lipo mniambie.
Zungumza na ngariba mkuu. Siko hukoKama.huu utamaduni was ukeketaji...uanafaida kwa Jamii Husika...wafanye TU...SASA SISI TUTAWAZUIA NINI Kama wao wanaona Ni Heshima na ni hadhi kwa mwanamke..
Zabron Hamis Msiache kukeketa hao watu wenu... IWE YA KIZAMANI AU.YA KISASA.
Ni kweli sitaweza kuonesha lakini nimetoa ufafanuzi jinsi ya kupata ukweli halisi. Wewe ni mwanamke, tembelea mkoa wa mara mwezi huu kuna tohara unafanyika. Fika mpaka eneo inapofanyika halafu uone kama ulichokiandika (ukiachana na madhara ya kisaikolojia kwani hayaonekani siku hiyohiyo) na uhalisia vinaendana. Hasa kutoka damu, kuonfolewa baadhinya sehemu n.k
Aisee!! Nimesarenda. Nimejaribu kuzungumza uhalisia matokeo yake nimeishia kupondwa kana kwamba kuna mahali nafaidika na huo ukeketaji. Kila mtu abaki na imani yake. Wewe amini kwamba mimi nashabikia ukeketaji, na mimi niendelee kuamini ninachokiona kwenye jamii, full stop.MNHHHH sio lazima kutembelea huko,hakuna lililojificha kuhusu FGM,kiasi kwamba mtu afunge safari ya kwenda for fact finding mission, wastage of time. HAKUNA jipya atalokutana nalo huko ambalo halijaongelewa BADO...infections,psychological trauma,kutoka damu nyingi,nk ni vitu vinajirudia consistently ndani na across FGM studies, ukivi ignore is up to you..
Nimeshangaa kitu madhara ya kisaikolojia eti hayaonekani siku hio hio,mnhhhhhhhh hivi unajua kisaikolojia damage ni kubwa inayoweza kulast life time?, nilichokuelewa unachukulia ukeketaji ni social function,watu wana enjoy kupata wakati wa kusocialize na kuja pamoja,hufikirii yule msichana mmoja ambae maisha yake yameharibiwa siku hio ili watu wanywe wafurahi..mkuu ombea binti yako apate mtu anayetoka kabila lako au mwanaume 'understanding' ...otherwise,una compromize furaha ya maisha ya ndoa ya binti yako UNECCESSARILY......tuambiane tuu....
Aisee!! Nimesarenda. Nimejaribu kuzungumza uhalisia matokeo yake nimeishia kupondwa kana kwamba kuna mahali nafaidika na huo ukeketaji. Kila mtu abaki na imani yake. Wewe amini kwamba mimi nashabikia ukeketaji, na mimi niendelee kuamini ninachokiona kwenye jamii, full stop.
Ni ukweli ndivyo wanavyofanya. Kila mtu na vifaa vyake. Wakimaliza wanaviacha hapo kwako wanahamia kwa mwingine. Wanatumia vifaa vyake mpaka zoezi linamalizika. Na wanachoma sindano za kuzuia damu kuvuja sana na kuwahi kukausha kidonda.Mnhhhh kwa hio siku hizi mnaenda na gloves zenu? makubwa haya....
Hapo nilipo bold,wacha kutuongopea basi,
Madhara ya kisaikolojia yapo, pale binti atakapokuwa hainnjoy tendo la ndoa, sio madhara yenyewe haya?? au hujui kuto enjoy tendo la ndoa kunaweza kusababisha visirani,na irritability, ugomvi ndani ya ndoa...worse, ni pale atakapokua rejected na wanaume...mkuu pinga FGM.
Hyo clitoris wanayotoa ndio huongeza Raha ya tendo kuliko chomeka chomoa, pia kiukweli huko chini kukikatwa hamu ya tendo na kuathirika kisaikolojia kuko nje nje, ndio nasema Bora wa huko kijijini wanaolewa na watu wa humo, humo wakija mjini ni kupata fedheha, nimeshuhudia mabinti wadogo wa kimasai wakimwagika damu nyingi Hadi kuongezewa damu baada ya hilo kovu kuchanika. In short inasikitishaHata kwenye uzi huu, kinachozungumziwa zaidi ni "tendo la ndoa" linavyoathiriwa na ukeketaji, kwasababu linamgusa mwanaume. Maumivu anayopata mwanamke wakati wa ukeketaji, uwezekano wa kupata maambukizi ya magonjwa au hata kuharibu njia ya mkojo na uzazi, hatari anayopata kipindi cha kujifungua - kwa maana lile kovu linazuia njia kufunguka vizuri, au madhara ya kisaikolojia..hayo ni nadra kusikia yakizungumziwa.
Tujitahidi pale tunapoweza na kuhitajika kutoa elimu na kukemea, tufanye hivyo.
Ndugu hao wanawake wasiolalamika wamedaganyika na hawana elimu ya kutosha kuhusu hyo kitu. Wanawake kutokulalamika haimaanishi hilo jambo ni sahihi. Halafu na wewe kutumia JF bado hujaelimika una support huo ujinga utakuwa unatokea Mara huko hata watu wakiwa ma prof huwa hawaelimiki ujinga uko pale pale.Kule juu nimeandika, wengi wanaelezea kwakuongeza uongo mwingi sana kuliko uhalisia. Fanyeni tafiti muone, uliyemquote pia ameeleza kitu kinachofanana na mimi. Fanyeni tafiti za tohara za miaka ya nyuma kwa watoto wa kike na tohara za sasa.
Na hii ni moja kati ya faida ya elimu iliyotolewa. Tukianza kupaza sauti kuelezea uongo nadhani madhara yatakuwa makubwa zaidi (tutaharibu saikolojia kwa binti na ngariba nao wataona hawaaminiki) kuliko faida. Bahati nzuri baadhi ya mabinti waliokeketwa miaka ya karibuni (2014/2015_2018/2019) wako mashuleni/vyuoni, anzeni tafiti na hao. Waambieni habari za "mnaharibiwa" kisha muone kama hata watashtuka. Wengi wa wanawake wanaopaza sauti ni wale ambao wamenusurika kufanyiwa kwa lazima au wale waliofanyiwa miaka ya zamani wakati inafanyika ile yenyewe na ndio maana chumvi inazidi.
Sikatai kuwa tohara ina madhara makubwa kisaikolojia kuliko kiafya, lakini binti wa sasa aliyefanyiwa tohara ni ngumu kumtofautisha na binti ambaye hajafanyiwa. Naongea kama mwanaume niliyelelewa katika mazingira husika na nilichoandika nimekishuhudia kwa macho yangu na sio kusimuliwa.
Nikukumbushe tu. Katika kila kauli usiyoipenda jaribu kuchunguza angalau zuri ndani yake. Mnanilisha sana maneno ndugu zanguni. Kwanza tangu mwanzo wa mjadala hakuna sehemu nimesema tohara kwa watoto wa kike ni nzuri, hakuna niliposema nasapoti mila hii.Ndugu hao wanawake wasiolalamika wamedaganyika na hawana elimu ya kutosha kuhusu hyo kitu. Wanawake kutokulalamika haimaanishi hilo jambo ni sahihi. Halafu na wewe kutumia JF bado hujaelimika una support huo ujinga utakuwa unatokea Mara huko hata watu wakiwa ma prof huwa hawaelimiki ujinga uko pale pale.
Eti tohara ya Sasa hivi ni nzuri kuliko zamani na wanawake hawalalamiki, very shame
Kisimi ndio kila kitu na ndio maana wanakitoa hicho,Naamini nawe ni mwanamke. Zaidi ya kisimi kuna maeneo ambayo husaidia kuchochea hamu ya tendo kwa mwanamke. Zaidi ni kuwa maandalizi hayategemei kisimi kwa 100%. Kikubwa ni aridhike kwamaana ya kufika kileleni.
Huenda sijaeleza vema lakini unapata picha namaanisha nini
Hakuna faida yeyote ya maana....na wanaofanya huo mchezo hawataki kusema ukweli....kimsingi utamaduni huu unatokana na wivu tu wa wanaume wenzetu....utamaduni huu ni uliasisiwa na baadhi ya Wazee wetu kipindi cha nyuma... lengo ni kudhibiti hisia za mapenzi za mwanamke....ili asitoke nje ya ndoa...hasa mumewe anapokuwa hayupo karibu....labda kaenda kwenye Vita ...au utafutaji wa maisha wa kawaida....kama inavyojulikana kisimi ndio sehemu yenye hisia kali za mapenzi kwa mwanamke....takribani Neva za hisia 8000... Ni nyingi sana hizi....mara mbili ya tulizonazo wababa....ndio maana wababu wakaona wazipunguze kwa kukeketa...ili wa kina mama wawe na utulivu....kwa Mimi hasara ni nyingi kuliko faida.Faida ya kukeketwa ni nn? Na nani anapata hiyo faida, tuanzie hapo.
Ntumie hata Pm.. Mkuu wake watatu wote hao...unaogopa Nini?
Nakujibu kwaujumla mkuu.
Anza kufanya tafiti mwaka huu maeneo ambako tohara zinafanyika kisha mwakani leta mrejesho uniambie ni asilimia ngapi ya mabinti waliokeketwa wamepatwa na madhara uliyoainisha hapo juu. Nimejaribu kueleza lakini ni kama hatueleweki. Kwataarifa yako tu. Hakuna kovu, hakuna maambukizi kwa kuwa kila mmoja anaenda na wembe yake na gloves yake na mazingira huwa safi, hakuna mwanmke aliyeshindwa kuzaa kisa tohara, hakuna madhara kisaikolojia kwa ukubwa unaoelezwa labda kwawale wanaofahamiana lakini ni rahisi binti aliyefanyiwa tohara kudanganya kuwa hajafanyiwa na ukamuamini kwakuwa haifanyiki vile mnavyowaza.
Kule juu nimeandika, wengi wanaelezea kwakuongeza uongo mwingi sana kuliko uhalisia. Fanyeni tafiti muone, uliyemquote pia ameeleza kitu kinachofanana na mimi. Fanyeni tafiti za tohara za miaka ya nyuma kwa watoto wa kike na tohara za sasa.
Na hii ni moja kati ya faida ya elimu iliyotolewa. Tukianza kupaza sauti kuelezea uongo nadhani madhara yatakuwa makubwa zaidi (tutaharibu saikolojia kwa binti na ngariba nao wataona hawaaminiki) kuliko faida. Bahati nzuri baadhi ya mabinti waliokeketwa miaka ya karibuni (2014/2015_2018/2019) wako mashuleni/vyuoni, anzeni tafiti na hao. Waambieni habari za "mnaharibiwa" kisha muone kama hata watashtuka. Wengi wa wanawake wanaopaza sauti ni wale ambao wamenusurika kufanyiwa kwa lazima au wale waliofanyiwa miaka ya zamani wakati inafanyika ile yenyewe na ndio maana chumvi inazidi.
Sikatai kuwa tohara ina madhara makubwa kisaikolojia kuliko kiafya, lakini binti wa sasa aliyefanyiwa tohara ni ngumu kumtofautisha na binti ambaye hajafanyiwa. Naongea kama mwanaume niliyelelewa katika mazingira husika na nilichoandika nimekishuhudia kwa macho yangu na sio kusimuliwa.
Nakubali mkuu.Wewe ni 100% psychopath!
Ni kweli hii mila haifi leo wala kesho. Ila nitatofautiana na wewe kwenye kuipenda.All in all hiyo mila haikufi leo wala kesho. Maana watoto wenyewe wanapenda, wazazi wengi bado wanapenda, wale wazee wa kimila ndio huwaambii kitu (labda wazee wa kimila wote wafe) kwasababu kwanza watu wanawaogopa, halafu hawa viongozi nao ndio huwa wanakaa na kupiga nao story kupanga mikakati. Kipindi cha kampeni wazee wa kimila wanahusika sana sana kuliko unavyodhani. Sasa wazee wa kimila washakusaidia kushinda uchaguzi utaenda kuwakataza kuhusu FGM yani haiwezekani.