Katu usimkekete binti yako...

Katu usimkekete binti yako...

Mkuu.... Wale hawakatwi kiharage, bali waka kata (antenna) kingozi cha juu kile ambacho kazi yake kubwa ni kuifunika nunu na pia huongeza hisia pindi kinapoguswa na mjegejo ili kurahisisha ute kwaajili ya kufungua na kuingia getini
Mkuu embu weka kapicha ....mana mi kuelewa mgumu kidogo😅
 
Kwa maelezo yako..Japo SI dhahiri inaoneka unaona ni kitu Cha kawaida kupunguza maumbile ya kike.
Kwangu ni kitu cha kawaida kwakuwa nimekulia mazingira inakofanyika lakini hakuna sehemu niliyosema naunga mkono. Hii ni mila ya baadhi ya makabila hapa nchini hivyo kwabaadhi ya mabinti hufikia hatua ya kutoroka na kwenda kufanyiwa au wengine huomba wenyewe wafanyiwe.

Tofauti ya zamani na sasa ni kwamba zamani binti alikatwa na sehemu ya kisimi kuondolewa, lakini siku hizi ni kuchanjwa tu hii huitwa kiccm (enzi za mzee wa msoga na ufisadi iliomekana jambo lolote la maana linaweza kufanywa kizembe na kusiwe na shida).

Ilikuwa nadra sana baada ya binti kukeketwa umkute anacheza ngoma ya asili (litungu) tena mchana wa jua kali kwani damu huvuja sana lakini kwasasa wanaume ndio hufanyiwa tohara asubuhi na mapema ili kabla ya jua kuwa kali wawe kivulini (nyumbani) ilhali kwa mabinti hufanyiwa kuanzia saa nne hadi mchana kulingana na idadi na eneo tukio linapofanyika.

Naomba nihitimishe kwakusema kuwa kwasasa madhara ya ukeketaji katika uhalisia wake ni madogo sana kuliko inavyoelezwa kwa vyombo vya habari. Kama nasema uongo nawaruhusu watafiti waingie kazini. Mchukue mwanamke aliyefanyiwa ukrketaji kuanzia 2000 kurudi nyumba na aliyefanyiwa kuanzia 2002 kuendelea kisha linganisha maumbile yao kwa kuzingatia mikato ya kisimi. Utagundua kabisa sikuhizi ni kama mabinti huenda eneo la tukio kutimiza mila na desturi na sio kukatwa sehemu zao. Zamani mwanamke anakaa ndani hata miezi miwili akiuguza kidonda wakati kwasasa baada ya wiki moja tu mabinti huanza kubananishwa uchochoroni au magetoni kwa wanaume.

Nimeandika matusi wanajf mnisamehe, kuna maneno ambayo nimelazimika kuyatumia ili nieleweke. Sio kwamba nafurahia lakini huo ndio uhalisia hasa kwa mila za kwetu wakurya (hasa wanyamongo) ila kwa koo zingine sina uelewa nako kwakuwa koo ya wanyamongo na watimbalu (wakira kwa mbali) huwa na tamaduni zinazoingiliana na hata maeneo yao yameendelea kidogo hii huwafanya kutotumia nguvu sana kwenye tohara.

Kwakuchomekea tu. Zamani kijana ili aonekane jasiri na ametimiza mila ilikuwa lazima atahiriwe kimila, wale waliotahitiwa hospitali ilifika mahali wakawa wanatengwa ama kutukanwa na wenzao wa rika sawa (saiga) na ilip3leka baadhi kurudiwa upya kutahiriwa na wazee. lakini siku hizi ni ngumu kukuta haya yakifanyika isipokuwa kwa kutaniana tu na ukimtukana mwenzako kwakuwa tu alitahiriwa hospitali utajuta.
 
Tatizo mnachungulia mnooooo ... Dadeeki! Mnamfanya mtu aanze kujiona aibu na kumkata nyege zooote! Umeshajua kakeketwa unapeleka madole ya nini na kuanza kumshangaa.....Jifanye wala huelewi, anza kumpapasa taratibu na manjonjo mengine atalegea tu na kurelax hapo utamalizia kazi kiulainiiii na ataenjoy na kukupenda sana
 
Suala la binti kutahiriwa ni jambo jema na lenye kufaa, ila siyo lazima na lina faida kubwa sana kwao.

Tatizo hawa wetu wanafyeka kabisa kitu ambacho si sawa. Ama kuhusu kupata raha hao walio fyekwa wanapata raha tena sana (Hili halina shaka kabisa).

Ahsanteni.
 
Suala la binti kutahiriwa ni jambo jema na lenye kufaa, ila siyo lazima na lina faida kubwa sana kwao.

Tatizo hawa wetu wanafyeka kabisa kitu ambacho si sawa. Ama kuhusu kupata raha hao walio fyekwa wanapata raha tena sana (Hili halina shaka kabisa).

Ahsanteni.
Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiir.
 
Mkuu.... Wale hawakatwi kiharage, bali waka kata (antenna) kingozi cha juu kile ambacho kazi yake kubwa ni kuifunika nunu na pia huongeza hisia pindi kinapoguswa na mjegejo ili kurahisisha ute kwaajili ya kufungua na kuingia getini
Ashakum si matusi, Nimeenda hadi kujichungulia nitafute kitu mnaongelea hapa...

Kuna clit, ndio kiharage sio?
Labia minora ' ndio kama ulivyoielezea hapo.
Labia majora ' mashavu ya uke

Sasa wakitoa labia minora panabaki vipi jamani? Ni ukatili somehow hata kama ndio mila zao.
 
Aisee..huku kwetu mjini kivule na jirani zetu wa kisewe hii kitu ya unyankibatari kadri siku zinavyozidi kwenda suala la hili linazidi kuwa la kawaida..Kama tupo tarime.. kudadadeki!!
 
Ashakum si matusi, Nimeenda hadi kujichungulia nitafute kitu mnaongelea hapa...

Kuna clit, ndio kiharage sio?
Labia minora ' ndio kama ulivyoielezea hapo.
Labia majora ' mashavu ya uke

Sasa wakitoa labia minora panabaki vipi jamani? Ni ukatili somehow hata kama ndio mila zao.
Ebu tusitiane πye¶e mwali....😋
Nishakucheki PM...🤸🤸🤸🤸
 
Back
Top Bottom