Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,041
- 2,417
Wengine wanakunywa wamejificha.... mjue Mungu anawaona tu....
Wengine wanakunywa wamejificha.... mjue Mungu anawaona tu....
Explain
Cha kusikitisha bado hujazitaja sifa za kanisa katoliki zaidi ya ushabiki maandazi tu, kama wakatoliki wenyewe wapo shallow kama wewe ni wakusikitikiwa, huwa tofauti na wasabato.Ndilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!
Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!
Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!
Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!
Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!
Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!
Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!
Ni zaidi ya kanisa la AMANI!Wapo vizuri kwa kila kitu. Km ni timu,ni km man utd ya sasa wazee wa 4g....hahaha!
Huwezi kulinganisha Katoliki na kitawi cha Katoliki ulipo wewe!Jisikitikie wewe na kitawi Katoliki chako.Cha kusikitisha bado hujazitaja sifa za kanisa katoliki zaidi ya ushabiki maandazi tu, kama wakatoliki wenyewe wapo shallow kama wewe ni wakusikitikiwa, huwa tofauti na wasabato.
Unaelewa maana ya ufupisho?!Binafsi nimefupisha na si kwamba nilikoma kutaja hicho ukisemacho wewe.Jiongeze!Cha kusikitisha bado hujazitaja sifa za kanisa katoliki zaidi ya ushabiki maandazi tu, kama wakatoliki wenyewe wapo shallow kama wewe ni wakusikitikiwa, huwa tofauti na wasabato.
Rais yeyote hapa duniani. Hata Trump wako.Umesema ndio dhehebu pekee viongozi wao wanaweza kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika KWA MUDA WAUTAKAO WAO...??? Ni kweli anytime..?? Kwahyo ratiba za prezidaa huwa hazina maana kwa hao wakatoliki..??
Ulimaanisha kwa nchi ya rais anayeomba kuombewa kila wakati ndo wanaweza kumuona anytime au kwa rais wa nchi yoyote..??
Trump ni rais wangu toka lini..??Rais yeyote hapa duniani. Hata Trump wako.
oktobafest ,bavaria hapo.Pope nae ni wa bavaria.huko biere ndio best duniani.
Sasa wataamua nani asilale ktk wawili wa nyumba yao?Mbwembwe nyingine zinavuka akili ya kawaida.Pamoja na hayo lkn wakiamua wewe usilale kwako wanaweza .
USICHOKIJUA WEWE NI KWAMBA, population ya wakatoliki ni kubwa kuliko dhehebu lolote duniani. Na ni katika population hiyo hiyo kubwa, kuna viongozi na figures zenye power katika uso wa dunia..!!! Hapo ndo USHAWISHI WAO UNAPODHIHIRIKA.Samahani!Lkn elewa tu jamaa hao ni zaidi ya HATARI na ushawishi wao ktk ulimwengu huu ni zaidi ya udhanivyo!
Kwanza tukubaliane kutokukubaliana!Zaidi,pitia Roma empire!USICHOKIJUA WEWE NI KWAMBA, population ya wakatoliki ni kubwa kuliko dhehebu lolote duniani. Na ni katika population hiyo hiyo kubwa, kuna viongozi na figures zenye power katika uso wa dunia..!!! Hapo ndo USHAWISHI WAO UNAPODHIHIRIKA.
Likewise, population kubwa ingekuwa ni kwa ISLAMIC, ingekuwa hivyo hivyo.
Wengi wape...!!! Huujui huu msemo..??