Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Ndio. Kunywa pombe hakukatazwi mahali popote katika historia ya biblia, hata kabla ya yesu kuja pombe ilikuwepo na ilikuwa ni fahari kwa wafalme.

Sira anaandika haya katika maadiko yake (hiki ni kitabu kimojawapo kati ya vitabu vya deuterokanoni- wakatoliki wanajua)
  1. Pombe (divai) ni kama uhai katika roho ya mwanadamu
  2. pombe iliumbwa kumfurahisha mwanadamu
  3. maisha yafaa nini bila pombe?
Duu nimekubali sawa mkuu
 
Hivi unafahamu kama mimi ni mkatoliki na ninijuwa vizuri historia ya Catholic?

Na kwa nini unadanganya kuhusu uhusika wa kanisa katoliki kwenye mauwaji ya kimbari Rwanda?
Tujuze!
 
Hivi unafahamu kama mimi ni mkatoliki na ninijuwa vizuri historia ya Catholic?

Na kwa nini unadanganya kuhusu uhusika wa kanisa katoliki kwenye mauwaji ya kimbari Rwanda?
Kuhudhuira ibada sio kuwa unaifahamu vizuri historia ya Katoliki. Ok, kama unawafahamu wakatoliki nijibie maswali haya saba tu.
  1. Papa wa Tatu wa kanisa katoliki aliitwa nani na alikuwa na sifa gani za kipekee/
  2. Hadi sasa kanisa katoliki lishatangaza Idadi) watakatifu wangapi katika historia yake?
  3. Ni mapapa wangapi wa kanisa katoliki ambao hawajawahi kuitwa watakatifu?
  4. kanisa katoliki lina mashirika mangapi ya kitume?
  5. Ni makadinali wangapi walishiriki kwenye mchakato wakumpata Papa wa sasa (papa Francis)
  6. Ni nchi zipi duniani ambapo papa hajawahi kuwa na balozi wake? (hakuna balozi anaemuwakilisha)
  7. mabadiliko ya hivi karibuni ya kanuni za ibada yalisababishwa au kuletwa kwa sabahu zipi?

halafu basi kwa vile umeng'ang'ania ushiriki wa kanisa kule rwanda basi tuletee hoja yako hapa. uweke na ushahidi zisiwe hisia zako potofu tu.
 
NDILO DHEHEBU LINALOENDA KINYUME NA MAAGIZO YA MUNGU

ec9881a3ca2247623a5f017d71686618.jpg
 
Hahaha!Nahisi wengi wetu hatukumuelewa ndg Pengo!Ukipitia maongezi yake,hapapo popote alipotamka kwamba hilo ni tamko rasmi la kanisa!
wew ndie hujui, kasema tamko la mwenzio ndio sio la kanisa, Na kanisa katoliki wana utaratibu wa kushauri serikali pia suala la katina anaona halihitaji kufanyika kwa sasa. Kwa huo huo utaratibu kanisa katoliki pia wanao wa kuwtatua mambo yao ya ndani na kuwawajibisha wenzao.Km Pengo anafuta hiyo protokali mbona kachagua inayomsaidia yeye tuu,ila kaacha ya kuehsimu wengine?Alikuwa anawahi nini wakati anayetaka mremea vibaya wanatoka nyumba moja?unaweza kwenda kupiga kelele kuhusu brother wako wakati ndgu zao ndani hujaongea nao?Pengo alikuwa kaiwahi mfurahisha mtu. kaharibu hesabu vibaya.Ni wa kufanyiwa maombi.Tayari issue za public zimeshamshinda mzee. aende ktk nyumba za wazee katoliki wanazo nyingi.
 
Ndilo dhehebu linaloluhusu kunywa pombe ,kuanzia viongozi hadi waumini

c2b2b85360b2afb3067f88aaee4ded7b.jpg
 
Ndilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!

Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!

Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!

Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!
siasa na dini zimechanganywa !
 
wew ndie hujui, kasema tamko la mwenzio ndio sio la kanisa, Na kanisa katoliki wana utaratibu wa kushauri serikali pia suala la katina anaona halihitaji kufanyika kwa sasa. Kwa huo huo utaratibu kanisa katoliki pia wanao wa kuwtatua mambo yao ya ndani na kuwawajibisha wenzao.Km Pengo anafuta hiyo protokali mbona kachagua inayomsaidia yeye tuu,ila kaacha ya kuehsimu wengine?Alikuwa anawahi nini wakati anayetaka mremea vibaya wanatoka nyumba moja?unaweza kwenda kupiga kelele kuhusu brother wako wakati ndgu zao ndani hujaongea nao?Pengo alikuwa kaiwahi mfurahisha mtu. kaharibu hesabu vibaya.Ni wa kufanyiwa maombi.Tayari issue za public zimeshamshinda mzee. aende ktk nyumba za wazee katoliki wanazo nyingi.
Ndg,alisema km akiulizwa yeye kipaumbele chake ni nini kwa sasa na si km alisema kipaumbele cha kanisa!
 
NDILO DHEHEBU LINALOLUHUSU KUNYWA POMBE ,KUANZIA VIONGOZI HADI WAUMINI NI WALEVI
NDILO DHEHEBU LINALOENDA KINYUME NA MAAGIZO YA MUNGU
NDILO DHEHEBU LINALOLUHUSU KUNYWA POMBE ,KUANZIA VIONGOZI HADI WAUMINI NI WALEVI
Mkuu naona unataka kuanzisha ligi tu ya kidini. Wawe hujui kitu na huna utaalamu wowete wa kutafsiri Biblia ndio maana unalishwa pumba tu na unataka kutujazia humu. Ka hicho kidhibiti chako unataka kutuambia wewe huwezi kumuita baba yako wa kukuzaa BABA kwa sababu tu kuna BABA aishiye mbinguni? Hujui kuwa neno BABA haikumaanisha baba bali Mungu?
 
Umekariri porojo za sunday school, kanisa katoliki lilishiriki mauwaji ya kimbari Rwanda mwaka 1994, usisahau kuijumuisha na sifa hii ya kanisa katoliki.
Sio kila sunday school ina porojo, na hizo habari sio za sunday school, ni story za wale wafuasi km wa ccm wanaojua kuchambua sifa za kaina muhongo, lipumba na wengine kuwa ni nouma. Ila pia kuna ukweli kiasi fulani kanisa katholic lina nguvu sana duniani kwa vile lina uwezo wa kifesha, kielimu, wana mizizi hata nchi ambazo hawapo hata kwa 10%. Wanaweza kuwa 3% ila wana connection na 99% ya watu wenye nguvu ktk hiyo nchi.Utakuwa waliwasomesha, waliwafundisha vitu vingi viruri km udakatri, waliwatibu, waliwapa taarifa muhimu ,alisaidia watu wao.

Na walishape fikra zao kupitia vitabu vya phisosophia na utawala. kwa ujuma wan aushawishi. ndio maana waarabu wanapiga kelele na kulaani ila mwisho wa siku utasikia pope yupo nao na kuna raia wanakuwa moved nae. Ukitaka jua kuwa influencial ni kutamu. Rudia video za bush,obama na JK bongo.Sikiliza uchambuzi wa wajamaa wa propaganda wa chuo kikuu cha Dar walisahau kabisa matusi ya ubepari na kelele nyingine.Wakawa wanaongea baraka zao, na jinsi walivyotupend akuliko nchi nyingine.

Utapenda km ulivyompenda rais wa bariki, aliposhuka n chopa bogo hasira zikaisha, wakapiga story, na kusema hao ndio wanaume.hizo ni power za watu wenye alimu kubwa.Ilikuwa km ambushi, jamaa hakuwa prepared, na likuwa hamjui.watz walijikuta km wauni walioleta vurugu bara mwenye bar akawaita na kuwauliza shida nini?Ni bia hazitoshi hembu kunyweni n amjisafishe uchafu.Mkitoka hapo mnavyojisikia wanyonge.Kujichorsha mbele boss mzuri hivyo.

Hiyo ndio power ya catholic, wana mizizi mirefu kupitia mashirika yao na taasisi nyingi za huduma muhimu kwa jamii.
 
NDILO DHEHEBU LINALOLUHUSU KUNYWA POMBE ,KUANZIA VIONGOZI HADI WAUMINI NI WALEVI

c2b2b85360b2afb3067f88aaee4ded7b.jpg
Mkuu tuwe makini kwa hili: tusipoteze akili tukajikuta hata maswali controvercial tunajibu km polisi wetu huwa hawapendi kufikiri.

-Ndilo dhehebu linalorushu ila sio dhebebu pekee watu wa kada zote wanakunywa pombe. Kuna waliokatazwa ila kuanzia viongozi hadi waumini wanakunywa na kulewa kuliko mzee wa upako.Hapa wakatoliki wanakuwa wakweli zaidi kuhusu nature ya binadamu

-makasisi wa katoliki ndio wanaonyimwa kufanya ngono au kuoana, wengine wanarushiwa ila sio pekee hawafanyi ngono.Hapa katoliki wanavunja sheria zao wenyewe na za mungu kwa kudanganya.na kutokuwa wakweli ktk uvumilivu wa mtu binafsi.

-Pombe kama chakula ukizidisha ni dhambi na mbaya kwa mwili.mara nyingi vitu vingi vinakuwa dhambi km unafanya ulafi au tamaa.

- Yapo madhehebu wanahimiza Bibli kuliko wakatoliki na wanashika sana mistrari,ila issue za uzinzi, kulogana, kuporana madaraka, na makanisa,hata kutishiana kuuana ni kukubwa kuliko catholic. Na wapo akatolic Biblia husomea kanisani kwa kufuata syllabus yao Misale.Ila ni watiifu na hawana makuu kuhusu Mungu ila i watiifu ktk mengi,na wanasaidia wengine,wanafanya kazi halali,na sio upatu na maombi ya kuomba magari, kuomba wanaume na wanawake wengine waliofanikiwa ili maisha yawe rahisi.

-Yapo makanisa yanaongea empty words na kushinda kutwa kupingana na katoliki km akana act na wnegine dhidi ya chadema.Wakati chadema wanakata mbuga.Dunia sehemu nyigi sana utakuta dispensari, kituo cha yatima, chanzo pekee cha umeme, kivuko pekee, kito pekee cha kuundisha mikate na ufundi kjiji hapo kilicholetwa na kuendeshwa na padri wa katolic.Wazungu wengi wakiandika safari zao utasikia walitua kwa hostel ya katolic, walipewa huduma ya dharura ktk kituo pekee eneo hilo inayotolewa na catholic.
 
Ndg,alisema km akiulizwa yeye kipaumbele chake ni nini kwa sasa na si km alisema kipaumbele cha kanisa!
yeya alikuw ana uhumihu gani wa kujiuliza km sio kutaka shawishi wananchi wajinga hivyo?Mbona hakusema wangeulizwa watz wengi wangesema nini?Acha porojo mkuu. mawazo ya mkubwa ni amri kwa wafuasi wake na wengin. Ngoja siku rais akuambie naomba mke wako halafu uniambie ni kuomba.
 
Back
Top Bottom