Katika utawala wake, hayati Magufuli hakwenda New York kuhutubia UNGA, je tulirudi nyuma kiuchumi na kisiasa?

Miaka mitano yote akiwa madarakani tuliwakilishwa na mawaziri wa nje. Na hakuna mtanzania aliyeona labda tumepungukiwa kiuchumi. Zaidi ya kuona maendeleo kwenye sekta za afya, miundo mbinu na ukusanyaji mapato.

Safari hii tumewakilishwa na mkuu wa nchi. Je, ndio kusema taasisi kubwa kama Imf, Wb na taasisi Tanzu za UN zitaisadia Tanzania na kupaaa kiuchumi? Je haya madhila ya kukosa ajira, kukosa madarasa, kukosa maji na uvunjifu wa haki za binadamu vitaisha?
Magufuli alikuwa na uwezo mdogo sana hivyo asingeweza kuhutubia kwenye UNGA.
 
Hizo per capital za akina Mkapa na Kikwete zilisaidia nini Nchi? wakati wa Mkapa mashirika yote yaliuzwa pamoja na viwanda na migodi na nyumba za serikali,akaja Kikwete kamalizia kilichobakizwa na Mkapa na kuanza kutumbua kile alichokusanya Mkapa.Huyu unadharau kaongeza per Capital $80 kanunua ndege kumi, kafufua reli ambayo ilikuwa imeshindikana, kanunua meli mpya kila maziwa,katengeneza flyover , kajenga masoko ya madini,kanzisha CGR ,na mabwawa ya umeme ili Nchi iweze kujikwamua kwenye mikono ya matapeli, Magufuri anapata madarakani Muhimbili hata t-sc



Yapi aliyoyakuta yamekamilika na kuyazindua?
mtumishiwaleo Kukujibu maswali yako kuhusu kupanda kwa per Capita dhidi ya kununua ndege itakuwa sawa na kumpa mbuzi biriyani ale.

Hii mada ni kubwa sana kwa ubongo wako. Naona Hamatan amemwaga madini kwa mburula au kwa la saba B
 
Back
Top Bottom