Katika utawala wake, hayati Magufuli hakwenda New York kuhutubia UNGA, je tulirudi nyuma kiuchumi na kisiasa?

Sidhani kama kwenda UN ni kupiga hatua. Au kuwa na hyo exposure unayoisema. Si mara ya kwanza Tanzania kuhudhuria hivyo vikao. Toka Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete. Tena Kikwete aliizunguka dunia nzima.

Magufuli kwenda UN hakuwahi hata siku moja. Lakini aliifanya Tanzania kuwa ya kisasa. Katika utawala wake Tanzania ilisikika kila mahala. Watu waliiongelea Tanzania kwa mafanikio ya kiuchumi. Nilishawahi kusema humu. Nchi fulani Ulaya walikuwa wakijadili Magufuli alivyo weza kuwa na miradi mikubwa ya kiuchumi.

Reli ya SGR,kufufua reli ya Moshi Arusha hadi Dar. Kujenga Bwawa la Nyerere, kufungua masoko ya madini, na kiwanda cha uchenjuaji. Kuhamishia Makao Dodoma, kufufua shirika la ndege ATCL, kuyawezesha mashirika ya Posta na Simu. kujenga hospitali na vituo vya afya muhimbili sasa ni moja ya hospitali zinazoaminika. Kujenga madaraja na barabara za kisasa. Ni mengi kutaja huyu mnae msema hakuwa na exposure, lakini kafanya haya yote ndani ya miaka 5.

Watanzania baadhi ni wanafiki, wamezoea kujipendekeza ili wapate vyeo au njia za kujipatia pesa. Magufuli aliziba mianya yote, waliotegemea vyeo hawakupata. Wakaanza kujenga chuki zisizo na maana. Ndo maana hadi leo wanachukia hadi marehemu, wanafurahi mtu kufa utadhani wao wataishi milele.

Mama Samia apewe muda msimpe sifa zisizo stahili. Make hadi sasa ni ngumu kujua tunaelekea wapi. Nini hasa vision ya kiongozi wetu. Anaeogopa kutatua kero za wananchi hadharani. Kutwa nzima ni safari. Kikwete alisafiri lkn hatukuwahi kuona exposure hiyo ikiletwa Tanzania. Nilishawahi kwenda nchi fulani, katika mji wao mmoja ni mji wa kawaida tu. Nikafika hotel moja, nikaambiwa Rais Kikwete alipenda kufikia pale kalala mara kadhaa. Nikajiuliza Rais wa nchi anazurura hadi kuwa mteja wa hotel.

Msiyo mpenda Magufuli mtazidi umia na kuangaika. Yeye amepumzika. Alifanya yake kwa Tanzania. Swala kujiuliza wewe hapo umeifanyia nini Tanzania? Je japo unaishi haki gani unaitenda kwa wananchi wengine na kwa nchi yako?

Mauaji na utekaji umekuwepo Tanzania vipindi vyote. Wakati wa Kikwete tulijionea wasio julikana wakimteka Ulimboka, waandishi wa habari wakiteswa na kuuwawa. Mwanasiasa Mkongwe wa NCCR Dr. Mvungi alilalamika anafatiliwa baadae alivamiwa na kukatwa mapanga hatimaye alipoteza maisha.

Leo tunajifanya mabaya yote ni ya Magufuli. Tuache uzandiki. Magufuli aliirejesha heshima ya Tanzania.
Hakuna nchi duniani iliendelea kwa Demokrasia never. Marekani yenyewe wanawake wameanza kupiga kura miaka ya 60 japo walipata uhuru wao toka karne ya 18. Nchi nyingi za Ulaya zimeongozwa kimabavu ndo maana zilifanikiwa.

Leo mnadanganyika na Demokrasia na Human Right.
China inademokrasia gani? Na human rights zipi? Nchi za arabuni, Dubai, Saudia na nyinginezo wapi demokrasia na human right, mbona zimeendelea kuliko sisi tunao thamini wazungu.

Rwanda leo inasonga mbele wapi Demokrasia na human rights? Ethiopia inakuwa kwa kasi haijawahi kuwa na demokrasia wala human rights zenu. Libya ilikuwa bila demokrasia. Walipotaka Demokrasia wamejikuta kubaya.

Nasema hatuhitaji kuiga kila tuletewacho na mzungu. Tuwe na demokrasia yetu model tofauti na wazungu. Tunatofauti kubwa za kitabia na mazingira na wao hatuhitaji kuiga kila kitu. Kama ni human right Marekani imeua watu wangapi huko mashariki ya kati? Ni watu wangapi uuwawa marekani kila siku?

Imeua viongozi wangapi kwa uongo wa demokrasia.
Watanzania tubadilike hasa wachache tusiyoitakia mema nchi yetu kisa chuki binafsi. Umieni tu Magufuli atabaki kuwa kiongozi wa aina yake. Alie paisha jina la Tanzania. Nikizunguka ulimwenguni uwa naulizwa nchi ya Nyerere, kingine Magufuli alikuwa kiongozi mleta maendeleo, utasikia vizuri havidumu. Hao ndo wanao ongelewa sana.
Nawapenda Haiti, walikuwa hawampendi Rais wao, waliandamana kumpinga hakuleta maendeleo, ila alipouwawa Haiti waliumia, walihudhunika. Walisema japo walimpinga lakini hakustaili kuuwawa.

Hawa watu wanaubinadamu. Siyo baadhi ya watanzania, ambao kufa wanadhani ni kwa watu fulani tu, wanashangilia. Nami nasema mfanyao hivyo nanyi mtakufa na hamjajiuliza mtakufa vifo vya namna gani.
Narudia kusema Mch. Mtikila Nyerere alipo kufa alisheherekea. Leo yupo wapi? Je, kifo chake kilikuwaje? Japo tunapingana lkn tujifunze kuwa na utu. Pia tusidhani Mzungu ni kila kitu. Tunawaabudu sana. Na mzungu ukimshobokea anakusanifu. Wanapenda msimamo wa mtu.
Kwa hiyo unadhani kila alichofanya magufuli ndio ilikuwa standard ya namna ya kuishi.Basi mpigieni kelele Samia kwa nini bado hajajenga uwanja wa ndege kwao huko,bado hajaweka taa za barabarani nyingi kuliko watu kijijini kwako.Unachotakiwa kujua kila kiongozi hua na mtazamo na maono tofauti.Hii ndio sababu tunachagua viongozi kila baada ya kipindi fulani ili watu wasiongoze kwa kukariri.
 
Miaka mitano yote akiwa madarakani tuliwakilishwa na mawaziri wa nje. Na hakuna mtanzania aliyeona labda tumepungukiwa kiuchumi. Zaidi ya kuona maendeleo kwenye sekta za afya, miundo mbinu na ukusanyaji mapato.

Safari hii tumewakilishwa na mkuu wa nchi. Je, ndio kusema taasisi kubwa kama Imf, Wb na taasisi Tanzu za UN zitaisadia Tanzania na kupaaa kiuchumi? Je haya madhila ya kukosa ajira, kukosa madarasa, kukosa maji na uvunjifu wa haki za binadamu vitaisha?
Tulikimbiza wawekezaji na wafanyabiashara na tulijitahidi kushusha bei za mazao ya wakulima huku tukijidai uchumi unapanda kwa kasi.
 
Sidhani kama kwenda UN ni kupiga hatua. Au kuwa na hyo exposure unayoisema. Si mara ya kwanza Tanzania kuhudhuria hivyo vikao. Toka Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete. Tena Kikwete aliizunguka dunia nzima.

Magufuli kwenda UN hakuwahi hata siku moja. Lakini aliifanya Tanzania kuwa ya kisasa. Katika utawala wake Tanzania ilisikika kila mahala. Watu waliiongelea Tanzania kwa mafanikio ya kiuchumi. Nilishawahi kusema humu. Nchi fulani Ulaya walikuwa wakijadili Magufuli alivyo weza kuwa na miradi mikubwa ya kiuchumi.

Reli ya SGR,kufufua reli ya Moshi Arusha hadi Dar. Kujenga Bwawa la Nyerere, kufungua masoko ya madini, na kiwanda cha uchenjuaji. Kuhamishia Makao Dodoma, kufufua shirika la ndege ATCL, kuyawezesha mashirika ya Posta na Simu. kujenga hospitali na vituo vya afya muhimbili sasa ni moja ya hospitali zinazoaminika. Kujenga madaraja na barabara za kisasa. Ni mengi kutaja huyu mnae msema hakuwa na exposure, lakini kafanya haya yote ndani ya miaka 5.

Watanzania baadhi ni wanafiki, wamezoea kujipendekeza ili wapate vyeo au njia za kujipatia pesa. Magufuli aliziba mianya yote, waliotegemea vyeo hawakupata. Wakaanza kujenga chuki zisizo na maana. Ndo maana hadi leo wanachukia hadi marehemu, wanafurahi mtu kufa utadhani wao wataishi milele.

Mama Samia apewe muda msimpe sifa zisizo stahili. Make hadi sasa ni ngumu kujua tunaelekea wapi. Nini hasa vision ya kiongozi wetu. Anaeogopa kutatua kero za wananchi hadharani. Kutwa nzima ni safari. Kikwete alisafiri lkn hatukuwahi kuona exposure hiyo ikiletwa Tanzania. Nilishawahi kwenda nchi fulani, katika mji wao mmoja ni mji wa kawaida tu. Nikafika hotel moja, nikaambiwa Rais Kikwete alipenda kufikia pale kalala mara kadhaa. Nikajiuliza Rais wa nchi anazurura hadi kuwa mteja wa hotel.

Msiyo mpenda Magufuli mtazidi umia na kuangaika. Yeye amepumzika. Alifanya yake kwa Tanzania. Swala kujiuliza wewe hapo umeifanyia nini Tanzania? Je japo unaishi haki gani unaitenda kwa wananchi wengine na kwa nchi yako?

Mauaji na utekaji umekuwepo Tanzania vipindi vyote. Wakati wa Kikwete tulijionea wasio julikana wakimteka Ulimboka, waandishi wa habari wakiteswa na kuuwawa. Mwanasiasa Mkongwe wa NCCR Dr. Mvungi alilalamika anafatiliwa baadae alivamiwa na kukatwa mapanga hatimaye alipoteza maisha.

Leo tunajifanya mabaya yote ni ya Magufuli. Tuache uzandiki. Magufuli aliirejesha heshima ya Tanzania.
Hakuna nchi duniani iliendelea kwa Demokrasia never. Marekani yenyewe wanawake wameanza kupiga kura miaka ya 60 japo walipata uhuru wao toka karne ya 18. Nchi nyingi za Ulaya zimeongozwa kimabavu ndo maana zilifanikiwa.

Leo mnadanganyika na Demokrasia na Human Right.
China inademokrasia gani? Na human rights zipi? Nchi za arabuni, Dubai, Saudia na nyinginezo wapi demokrasia na human right, mbona zimeendelea kuliko sisi tunao thamini wazungu.

Rwanda leo inasonga mbele wapi Demokrasia na human rights? Ethiopia inakuwa kwa kasi haijawahi kuwa na demokrasia wala human rights zenu. Libya ilikuwa bila demokrasia. Walipotaka Demokrasia wamejikuta kubaya.

Nasema hatuhitaji kuiga kila tuletewacho na mzungu. Tuwe na demokrasia yetu model tofauti na wazungu. Tunatofauti kubwa za kitabia na mazingira na wao hatuhitaji kuiga kila kitu. Kama ni human right Marekani imeua watu wangapi huko mashariki ya kati? Ni watu wangapi uuwawa marekani kila siku?

Imeua viongozi wangapi kwa uongo wa demokrasia.
Watanzania tubadilike hasa wachache tusiyoitakia mema nchi yetu kisa chuki binafsi. Umieni tu Magufuli atabaki kuwa kiongozi wa aina yake. Alie paisha jina la Tanzania. Nikizunguka ulimwenguni uwa naulizwa nchi ya Nyerere, kingine Magufuli alikuwa kiongozi mleta maendeleo, utasikia vizuri havidumu. Hao ndo wanao ongelewa sana.
Nawapenda Haiti, walikuwa hawampendi Rais wao, waliandamana kumpinga hakuleta maendeleo, ila alipouwawa Haiti waliumia, walihudhunika. Walisema japo walimpinga lakini hakustaili kuuwawa.

Hawa watu wanaubinadamu. Siyo baadhi ya watanzania, ambao kufa wanadhani ni kwa watu fulani tu, wanashangilia. Nami nasema mfanyao hivyo nanyi mtakufa na hamjajiuliza mtakufa vifo vya namna gani.
Narudia kusema Mch. Mtikila Nyerere alipo kufa alisheherekea. Leo yupo wapi? Je, kifo chake kilikuwaje? Japo tunapingana lkn tujifunze kuwa na utu. Pia tusidhani Mzungu ni kila kitu. Tunawaabudu sana. Na mzungu ukimshobokea anakusanifu. Wanapenda msimamo wa mtu.

Uliyoyasema si mabaya na nakubali kuwa JPM was visionary leader lakini hakuna substitution ya HAKI NA UHURU wa watu, ukipuuzapuuza haki za watu watachukia tuu.

#Mama 2025
 
Kama unammisi sana dikteta twende tukakufukie kwenye kaburi lake msituchoshe.

Zama za kishamba zimekwisha lazima mlikubali hili na hii nchi hatuwezi kurudia kosa kuwakabidhi washamba.
Zama za kishamba wakati mmeachiwa flyovers, ndege, vivuko na meli, madaraja ya kimataifa eg tanzanite, vituo vya afya na mahospital, miundo mbinu ya maji na umeme, uwajibikaji makazini, reli ya kisasa.

Kweli we ubongo wako umelemazwa na uji wa muhogo utotoni.
 
Not nécessarly, ile kutoka tuu na kutembea, unapata kitu kinachoitwa exposure, kukutana na kubadilishana mawazo na wengine kuna ku broaden your perspective, you won't ne the same, think the same, you will think differently.

Tena unaweza usiamini, akikutana na taasisi za human right wings, akirejea tuu, mara pap... DPP anapeleka Nolle na kumaliza hizi kelele !.
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya.

Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.


Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile, kiukweli kabisa, Tanzania tunakwenda kuwa na Tanzania bora, Tanzania njema na Tanzania nzuri kuliko Tanzania ile, kitu kinachohitajika sasa ni kumpa muda.

Hongera sana Mama Samia, una uwezo na unaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha kule tunapaswa kuwa.

P
JK alizunguka sana. Ila 2015 nadhani kila mwenye akili aliona watanzania walikuwa wanahitaji nini.

Tumeona pia wakati wa maombolezo ya kifo cha mwendazake watanzania wanahitaji nini.

Kama wanasiasa wetu hawana cha kujifunza basi wataendelea kutegemea kushinda uchaguzi kwa bao la mkono. Itakufaa nini kiongozi kupata exposure ya nje wakati hujui exposure ya muajiri wako(mpiga kura) wa kule tandahimba, nyang'hwale au kibondo.?

Naona kabisa mama anapitia nyayo za JK lakini nashindwa kuelewa kama hakujifunza yaliyompata JK ndani ya chama na nje au watu wanampigia makofi ili mwisho nae achungulie shimo. Pengine angeweza angetafuta utaratibu wake mwenyewe wa kuendesha chama na serikali.
 
Nianze kwa nukuu....

Otto von Bismarck Quote

"The great questions of the day will not be settled by means of speeches and majority decisions but by iron and blood."

Tuachane na propaganda za Kila Raisi akiingia madarakani anakuja na Ajenda zake.......

Hivi Izi Ajenda ziliishiaga wap....
Maisha Bora kwa kila mtanzania, Kilimo kwanza, Nchi ya viwanda....N.k

Siku zote mama ni mama Na always wamama huwaga ni watu fair Sana......sizungumzii binti au mwanamke namzungumzia mama kama mama......kuna muda niliwai kuwaza Kua mama angu mzazi ananipenda kuliko watoto wake wengine wote.....kumbe sio kweli mama huwapenda watoto wake wote equally and no matter what.....Hongera sana mama samia

Still tuna safari ndefu.....ila sijui tuanze na nini.....mm naona tuanze na KATIBA MPYA then tuwekeze kwenye ELIMU ELIMU ELIMU Bila kusahau tutengeneze strong INSTITUTIONS

Sijui hata nimeandika nini..ngoja ni post tu.
 
Miaka mitano yote akiwa madarakani tuliwakilishwa na mawaziri wa nje. Na hakuna mtanzania aliyeona labda tumepungukiwa kiuchumi. Zaidi ya kuona maendeleo kwenye sekta za afya, miundo mbinu na ukusanyaji mapato.

Safari hii tumewakilishwa na mkuu wa nchi. Je, ndio kusema taasisi kubwa kama Imf, Wb na taasisi Tanzu za UN zitaisadia Tanzania na kupaaa kiuchumi? Je haya madhila ya kukosa ajira, kukosa madarasa, kukosa maji na uvunjifu wa haki za binadamu vitaisha?
Hoja gani hii ya kijinga

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Not nécessarly, ile kutoka tuu na kutembea, unapata kitu kinachoitwa exposure, kukutana na kubadilishana mawazo na wengine kuna ku broaden your perspective, you won't ne the same, think the same, you will think differently.

Tena unaweza usiamini, akikutana na taasisi za human right wings, akirejea tuu, mara pap... DPP anapeleka Nolle na kumaliza hizi kelele !.
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya.

Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.


Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile, kiukweli kabisa, Tanzania tunakwenda kuwa na Tanzania bora, Tanzania njema na Tanzania nzuri kuliko Tanzania ile, kitu kinachohitajika sasa ni kumpa muda.

Hongera sana Mama Samia, una uwezo na unaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha kule tunapaswa kuwa.

P
Hongera sana mama,tanzania haiwezi kujifungia eti kwa visingio vya mabepari au kubana matumizi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mengine umesema yaliyo sahihi lakini kuna mengine, umesema kwa mahaba.

Hivi kwako wewe 12,000km+ na 2,000km +; nani amefanya kazi kubwa zaidi? Awamu ya Kikwete, zaidi ya 12,000km za barabara za lami zilijengwa. Barabara ndefu za kilometa nyingi. Wakati wa Magufuli zimejengwa chini ya 3,000km, nyingi ni barabara za mitaa mijini. Nani alifanikiwa zaidi?

Wakati wa Kikwete, per capita kwa miaka 10 ilipanda kwa $380, wakati wa Magufuli kwa miaka 5, ilipanda kwa $80. Nani alifanya vizuri zaidi?

Wakati wa Kikwete utalii ulikuwa unakua kwa 15%, wakati wa Magufuli 3.6%. Nani alifanya vizuri zaidi?

Ukuaji wa jumla wa uchumi wakati wa Kikwete ulikuwa 7%, wakati wa Magufuli ulishuka mpaka 1.9%, kisha ukapanda mpaka 4.5%, ndiyo ikawa mwisho.

Wakati wa Kikwete, ujenzi wa chuo Kikuu Dodoma. Wakati wa Magufuli hakuna.

Wakati wa Kikwete, ujenzi wa hospitali kubwa na za kisasa Mloganzila, taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Hospitali ya Benjamin Mkapa. Wakati wa Magufuli ujenzi wa vituo vya afya na hospitali, thamani yake yote haikufikia thamani ya Mloganzila pekee.

Magufuli alifaa kuwa msimamizi. Kwenye ujenzi wa barabara wakati wa Kikwete alisimamia vizuri, lakini kwenye uongozi mkuu wa nchi alipwaya sana. Hii naongelea kwa ujumla, siyo kwa kumlinganisha na Samia au Kikwete.

Ili tutoke mahali tulipo, tunahitaji kiongpzi mwenye uwezo mkubwa zaidi kuliko Magufuli, kuliko Kikwete, kuliko Samia, na kuliko Mwinyi. Tulihitaji kiongozi mwenye uwezo, angalao wa kiwango cha Mkapa. Watu wengi hawajui, lakini mambo aliyoyafanya Mkapa, ukimwacha Nyerere, hakuna Rais mwingine aliyeweza kuyafikia. Hata mafanikio madogo yaliyopo sasa, msingi wake ulijengwa na Mkapa.
Kutaja namba ni rahisi sana kila mtu anauwezo wa kutaja au kuzitamka na kuandika. Lete reference au rejea ya hizo takwimu. Unapoongelea kipato kwanini wakati wa Kikwete Tanzania haikutangazwa kuwa nchi ya uchumi wa kati. Sina mahaba kama wewe unavyodhani. Naongea ukweli. Na katika viongozi ambao mimi uwa nawapenda kama yangekuwa mahaba ni ngemtaja Kikwete. Kwa sababu ndo ungozi ambao hata mimi naweza sema nilikuwepo.
Mlinganyo unaoufanya hauendani kiuchumi. Chukua thamani ya miradi ya magufuli linganisha na thamani ya fedha ya miradi ya hiyo ya hospitali ulizo zitaja. Hospitali alizojenga kikwete ni mbili, Mloganzira na Benjamini. Aloboresha huduma za hospitali hizo umemsahau kumtaja ununuzi wa vifaa na upanuzi. Hospitali kubwa ya Rufaa ya Mkoa wa Mara ambayo iliwashinda wengi ilijengwa na nani? Vituo vya afya nchi zima, achana na hizo hospitali kubwa mbili.
Unaweza linganisha thamani ya miradfi mikubwa, kama reli, bwawa la umeme, Madaraja makubwa baharini na ziwani, ununuzi wa meri mpya na vivuko, ujenzi wa makao mapya. Hivi thamani yake ndo utalinganisha na mloganzira. Magufuli aligusa kila sehemu ya mkoa.
Hata hayo mabarabara ni Magufuli alie simamia. Ni miradi mingapi ambayo ilishindikana japo walikuwepo Mawaziri. Kuvuta maji kutoka ziwa Victoria umekuwepo miaka na miaka lakini Magufuli akatekeleza.
Tuache wivu wa kike, Magufuli alikuwa zaidi ya Kikwete. Roho itakuuma lakini ndo ukweli. Unapoongelea thamani ya miradi. Wakati wa Kikwete, watoto wengi walishindwa kusoma ada mashuleni. Lakini leo kuanzia kwa Magufuli hakuna ada. Ati unakimbilia kutaja Mloganzira na Benjamini ambazo thamani yake hazifikii miradi ya Magufuli. Weye ndo unamahaba. Mie nampenda sana Kikwete na namheshimu.
Lakini nitaongea ukweli kuwa Magufuli alijitahidi.
 
Kwa hiyo unadhani kila alichofanya magufuli ndio ilikuwa standard ya namna ya kuishi.Basi mpigieni kelele Samia kwa nini bado hajajenga uwanja wa ndege kwao huko,bado hajaweka taa za barabarani nyingi kuliko watu kijijini kwako.Unachotakiwa kujua kila kiongozi hua na mtazamo na maono tofauti.Hii ndio sababu tunachagua viongozi kila baada ya kipindi fulani ili watu wasiongoze kwa kukariri.
Hayo ni mawazo yako. Soma mada ilichokuwa inaongelea. Usikurupuke. Pia kujenga uwanja wa ndege kuna ajabu au kuwa na taa za barabarani ni ajabu. Usiwe na mawazo finyu. Ni kiongozi gani ambae hakuwai kujenga uwanja wa ndege kwao. Kikwete aliupanua uwanja wa Dar es Salaam uwe wa kisasa, alijenga hospitali ya Mlongazira huko Pwani, Nyerere alijenga kiwanja kwao Musoma na alikitumia mara kibao alipokuwa akienda likizo. Kuna ubaya gani?
Huyo unae msema alijenga kwao kiwanja ndiye alie boresha viwanja vya ndege na kujenga kule Katavi, angekuwa anajipendelea hasingejenga kwingine. Hivi taa za barabarani tena zinazotumia solar, mimacho inawatoka. Huo ni wivu wa kike. Wakati Waziri Mkuu Msuya alisamabaza umeme kijijini kwake mbona watu hawakulalamika. Nyerere alipeleka umeme kijijini kwake kutoka Kiabakari mbona wananchi hawakulalamika!
Kama mtu kasifiwa tuache asifiwe si kuwa na wivu kwa marehemu! Hiyo roho ni wachawi tu ndo wanayo.
 
Asante kwa majibu na pia nakubaliana na tahadhari uliyoitoa.

Kwa ufahamu wangu ni kuwa raisi ni taasisi iliyosheheni uwakilishi wa mamlaka ya raisi sehemu mbalimbali ndani ya nchi na nje ya mipaka yake kwa mujibu ya sheria na katiba ya nchi husika. Uwakilishi huo lazima uzingantie taaluma au uelewa wa mambo fulani kwa undani zaidi ili kuweza kusaidia raisi kufanya maamuzi yaliyo sahihi kutokana na ukweli kuwa raisi hana uelewa wa profession zote hata angekuwa nani.

Kwa mustakabali huo, raisi kwa utashi wake pekee hawezi kuongoza nchi na ukategemea mambo yaende inavyopaswa, tuchukulie mfano, raisi aliyesomea taaluma ya sanaa akajipeleka yeye kama yeye kichwa kichwa kupata ushauri au kufunga makubaliano yahusuyo taaluma ya sayansi bila kutegemea technical expertise kutoka kwa Msaidizi wake atakuwa akijidanganya na kulipeleka taifa shimoni.

Realistically, President is just nation’s political icon who has to resonate with his colleagues about all national aspects prior to its adherence, meaning that, the exposure of his associates is akin and very crucial than what you might be thinking.

Miaka minne ya Trump bila kuja Africa haikumzuia yeye kuwa exposed na yale yanayoendelea huku, zaidi zaidi aliipunguzia serikali/ wanachi mzigo wa gharama za kusafirisha presidential delegation, Kupanga ni kuchagua, na raisi wetu aliyepita kwa hili alilipanga vizuri sana. Ninachokiona hapa ni hali ya kutaka kushindana kuhudhuria vikao vya maraisi na first world countries ambazo kwa namna moja ama nyingine they have managed to do so using our own resources, this is according to colonialism without forgetting to mention the ongoing neocolonialism.
Hata Kama Mayala hataki kukubali, Ila ukweli ni kwamba umempiga knock out

Ndombwindo unaupiga mwingi!
 
Kutaja namba ni rahisi sana kila mtu anauwezo wa kutaja au kuzitamka na kuandika. Lete reference au rejea ya hizo takwimu. Unapoongelea kipato kwanini wakati wa Kikwete Tanzania haikutangazwa kuwa nchi ya uchumi wa kati. Sina mahaba kama wewe unavyodhani. Naongea ukweli. Na katika viongozi ambao mimi uwa nawapenda kama yangekuwa mahaba ni ngemtaja Kikwete. Kwa sababu ndo ungozi ambao hata mimi naweza sema nilikuwepo.
Mlinganyo unaoufanya hauendani kiuchumi. Chukua thamani ya miradi ya magufuli linganisha na thamani ya fedha ya miradi ya hiyo ya hospitali ulizo zitaja. Hospitali alizojenga kikwete ni mbili, Mloganzira na Benjamini. Aloboresha huduma za hospitali hizo umemsahau kumtaja ununuzi wa vifaa na upanuzi. Hospitali kubwa ya Rufaa ya Mkoa wa Mara ambayo iliwashinda wengi ilijengwa na nani? Vituo vya afya nchi zima, achana na hizo hospitali kubwa mbili.
Unaweza linganisha thamani ya miradfi mikubwa, kama reli, bwawa la umeme, Madaraja makubwa baharini na ziwani, ununuzi wa meri mpya na vivuko, ujenzi wa makao mapya. Hivi thamani yake ndo utalinganisha na mloganzira. Magufuli aligusa kila sehemu ya mkoa.
Hata hayo mabarabara ni Magufuli alie simamia. Ni miradi mingapi ambayo ilishindikana japo walikuwepo Mawaziri. Kuvuta maji kutoka ziwa Victoria umekuwepo miaka na miaka lakini Magufuli akatekeleza.
Tuache wivu wa kike, Magufuli alikuwa zaidi ya Kikwete. Roho itakuuma lakini ndo ukweli. Unapoongelea thamani ya miradi. Wakati wa Kikwete, watoto wengi walishindwa kusoma ada mashuleni. Lakini leo kuanzia kwa Magufuli hakuna ada. Ati unakimbilia kutaja Mloganzira na Benjamini ambazo thamani yake hazifikii miradi ya Magufuli. Weye ndo unamahaba. Mie nampenda sana Kikwete na namheshimu.
Lakini nitaongea ukweli kuwa Magufuli alijitahidi.
Wilderness unaupiga mwingi!
 
Miaka mitano yote akiwa madarakani tuliwakilishwa na mawaziri wa nje. Na hakuna mtanzania aliyeona labda tumepungukiwa kiuchumi. Zaidi ya kuona maendeleo kwenye sekta za afya, miundo mbinu na ukusanyaji mapato.

Safari hii tumewakilishwa na mkuu wa nchi. Je, ndio kusema taasisi kubwa kama Imf, Wb na taasisi Tanzu za UN zitaisadia Tanzania na kupaaa kiuchumi? Je haya madhila ya kukosa ajira, kukosa madarasa, kukosa maji na uvunjifu wa haki za binadamu vitaisha?

Kabla ya kudakia ushabiki na kulinganisha vitu visinyo na msingi jiulize kwanza swali mmoja

Kwanini UN wanamkutano kila mwaka wa viongozi wa nchi? Bila kujua sababu huwezi kuwa na hoja ya muhimu zaidi ya kujaribu kuchekesha watu.

Lakini mika mitano kulikuwa na Corona? Magu alikuwa na chanjo au? Hatuwezi kufanya maamuzi kwa mazoea inabidi ufanya maamuzi kutokana na mahitaji ya nchi. Hata Botswana walikuwa hawaendi lakini mwaka huu walikuwemo
 
Kama unammisi sana dikteta twende tukakufukie kwenye kaburi lake msituchoshe.

Zama za kishamba zimekwisha lazima mlikubali hili na hii nchi hatuwezi kurudia kosa kuwakabidhi washamba.
wewe ni nani? mjinga mmoja usiye na maana
 
Not nécessarly, ile kutoka tuu na kutembea, unapata kitu kinachoitwa exposure, kukutana na kubadilishana mawazo na wengine kuna ku broaden your perspective, you won't ne the same, think the same, you will think differently.

Tena unaweza usiamini, akikutana na taasisi za human right wings, akirejea tuu, mara pap... DPP anapeleka Nolle na kumaliza hizi kelele !.
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya.

Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.

Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile, kiukweli kabisa, Tanzania tunakwenda kuwa na Tanzania bora, Tanzania njema na Tanzania nzuri kuliko Tanzania ile, kitu kinachohitajika sasa ni kumpa muda.

Hongera sana Mama Samia, una uwezo na unaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha kule tunapaswa kuwa.
Kipindi kile ulibanwa mpaka basi now umeanza kuona nuru ahahaaa.

Ila utawala utakaokupa wadhifa wa kiuongozi siyo huu vuta subra to next season, ila haww waliopo nothing.
 
Miaka mitano yote akiwa madarakani tuliwakilishwa na mawaziri wa nje. Na hakuna mtanzania aliyeona labda tumepungukiwa kiuchumi. Zaidi ya kuona maendeleo kwenye sekta za afya, miundo mbinu na ukusanyaji mapato.

Safari hii tumewakilishwa na mkuu wa nchi. Je, ndio kusema taasisi kubwa kama Imf, Wb na taasisi Tanzu za UN zitaisadia Tanzania na kupaaa kiuchumi? Je haya madhila ya kukosa ajira, kukosa madarasa, kukosa maji na uvunjifu wa haki za binadamu vitaisha?
Hakwenda UN kwa sababu kubwa 2;
1. Kale pacemaker maarufu kama kabetri kalikuwa kana mfanya asiwe comfortable na usafiri wa anga, hasa safari ndefu
2. Lugha ya Malkia au English ilikuwa haipandi pamoja na kuwa holder wa FAKE PhD
 
Kwenda huko ni part ya kazi yake..., Tatizo ni kadamnasi anayokwenda nayo....
 
Kama unammisi sana dikteta twende tukakufukie kwenye kaburi lake msituchoshe.

Zama za kishamba zimekwisha lazima mlikubali hili na hii nchi hatuwezi kurudia kosa kuwakabidhi washamba.
Wewe akili hutumii unatumia matako

Matako yanaweza kufanya chochote kama macho na sehemu zingine za mwili zisipokuwa makini HII TANZANIA

NANI ALINUNUA NDEGE ALITENGENEZA MELI , ALIJENGA FLYOVERS , ALIJENGA HOSPITALI ZA MKOA KILA MKOA

NYERERE MWENYEWE ALIACHA KWAO BILA KUJENGA HATA KITUO CHA AFYA

HOSPITAL YA MKOA WA NJOMBE , IRINGA , SHINYANGA , MARA, RUKWA, SIMIYU GEITA
HOSPITAL YA MKOA WA TABORA , SINGIDA , KITUO CHA AFYA KIBAHA KIKUBWA SANA

HOSPITA YA AFYA YA KANDA YA KUSINI IKO LINDI , HOSPITAL YA KANDA YA ZIWA IKO CHATO

HOSPITAL YA KANDA YA KATI DODOMA

VIFAA VILIVYONUNULIWA BUGANDO, MUHIMBILI, KCMC,

NANI KAFANYA HIVYO UMEME SASA KILA MAHALI , ELIMU BURE, LA KWANZA HADI KIDATO CHA NNE , CCM KUIRUDISHA KWA WANAINCHI MPAKA MAVAZI YA CCM WATU WAKAWA WANAPITA NAYO KARIAKOO WAKATI ZAMANI UNAPIGIWA YOWE

HAYA UJENZI WA SGR, BWAWA LA UMEME , NIDHAMU YA URUMISHI SERIKALINI , UFISADI WOTE ULIONDOKA , UJENZI WA STENDI ZIFYATAZO

KOROGWE, SIMIYU MWANZA DODOMA , MBEZI MAGUFULI TERMINAL, MTWARA , RUSHWA ZA BARABARANI ZILIKOMA

UPIGAZI SERIKALINI ULIKOMA ,BEI YA UMEME KUVUTA VIJIJINI NI TSH 27000 TU


MATAJIRI KUONEA WANYONGE WALIKOMA KODI KILA MTU ALIIPA MACHINGA WALIKUWA WANAISHI KAMA ULAYA

TOZO ZA MAZAO YA BIASHARA
PEMBEJEO WANSINCHI WALIKUWA WANAPEWA BURE KABISA NA MBEGU ZA PAMBA

HIVI WEWE AKILI YAKO INATUMIA MATAKO

SAFARI ZA NJE ZA HOVYO ZILIISHA ZOTE , MIRADI ILIKUWA INAKAMILIKA KWA WAKATI

HADI TAIFA STAR ILIENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA AFRICA SIMBA IKAIINGIA ROBO FAINALI BILA SHIDA

TUSEME NINI VIVUKO VYOTE VYA KWENDA BUKOBA , UKEREWE, BUSISI, KWENDA ZANZIBAR VILIIMARISHWA

HIVI UNATUMIA AKILI AU MATAKO WEWE

NAOMBA MAGUFULI MUACHE APUMUZIKE KWA AMANI

NCHI DUNIA YOTE WAFANYAKAZI WAKE WAMEKOSA KAZI WENGINE WAMEACHISHWA SERIKALI KWA AJIRI YA KORONA LAKINI MAGUFULI ALIKUWA ANAWALIPA MPAKA KORONA ILIISHA

MPAKA SASA WAFANYAKAZI WA SERIKALI HAKUNA ALIYEACHISHWA KAZI KWA SABABU YA KORONA MATAIFA MENGI IKIWEMO KENYA NA UGANDA MPAKA BAADHI YA NCHI ZA ULAYA

HIVI WEWE AKILI YAKO NI MATAKO MPAKA UNAANZA KUMUBEZA MAGUFULI

MAGUFULI ALIKUWA DAWA YA KORONA

NAOMBA TUMUACHE MZEE WETU NAAMINI AMETUVUSHA SALAMA
 
Back
Top Bottom