Katika kuusaka Urais Lowassa ajiita Ustadh Abdalah

Katika kuusaka Urais Lowassa ajiita Ustadh Abdalah

View attachment 101491
Ni baada ya kufanikiwa Makanisani amekuja na mpya, ameamua kuingia katika jamii ya Waislamu kwa maslai yake, katika mbio zake za kusaka Urais akiwa Jijini Mwanza aliweza 'kujisilimisha' kiaina na kujiita Ustadhi Abdalah, hii ni baada ya kuvishwa Joho maalum kwa kufanikisha upatikanaji wa Milioni 590 kwenye Harembee ya Bakwata.

Katika kumpongeza huko Waislamu hao walimpa na jina la Ustadh Abdalah Edward Lowassa.

kweli urais noma mpaka mzee mzima anamkana yesu ( maana ya ukristo) amekuwa Yuda alipomkana mara tatu
 
Mtukufu Rais Lowassa! Nabii Lowassa na Mufti Lowassa
 
Ustaadhi Abdalah EL!! Hahahahaha, hivi na mimi naweza kusilimu faster au mpaka nichangishe 590m,???
 
kweli urais noma mpaka mzee mzima anamkana yesu ( maana ya ukristo) amekuwa Yuda alipomkana mara tatu

TB Joshua alinwambia aingie uislamuni ndio ataukwaa urais
 
Duh kamaliza nyumba za ibada hadi kuitwa ustaadhi Abdalla ? Je akihamia kwenye makundi maalum na kufikia kundi la akina mama ataitwa nani? Hahahahahahahahahah!
 
Mpaka amalize kuyatembelea madhehebu yote atakuwa na lundo la majina akirejea nayo huko nyumbani kwake.Kumbkukeni safari yake ya kujipachika majina imeanzia umasaini!!Anataka kuwa kama marehemu Mobutu Seseseko wa iliyokuwa Nchi ya Zaire
 
Mbele ya madaraka na pesa, watu wanasaliti hata dini zao. Ogopa watu wa aina hiyo, kwa sababu wanaweza wakawasaliti wananchi wao pia
 
Duh, EL ni jogoo la CCM.

Tatizo ni ufisadi vinginevyo angekuwa rais
 
Duh, EL ni jogoo la CCM.

Tatizo ni ufisadi wake na chama chake vinginevyo angekuwa rais
 
Hivi nyie vichwa vya panzi hamna la kuandika. Wewe umeona wapi anapewa jina hilo? Kawashipa pabaya Pres 2015 sasa mnaweweseka kama mjuzi kabanwa na mlango. Mwache afanye kazi ya Mungu na nyie baki na majungu yenu kama majuha fulani hivi. Hivi mnashinda hapa kijiweni hamna kazi za kufanya? Wenzenu wanalamaba hela za M4Chaggani. Bakini hivo hivo. I like to know who you are, I doubt you're in bad shapes while M4C Officials are happy in the cuisine and pubs enjoying every cent you poorer contribute. Fool


Povu la nini? Nyie muwekeni tu Capteni Ustaadhi Abdallah Lowassa kugombea uraisi mkione chamtemakuni!
 
ametuahidi mahakama ya Kadhi na OIC,akienda kujipitisha TFF ataitwa Salvatory Edward Chumila Lowassa Ngasa
I like this ila kuna mijitu yenye mawazo ya mwaka 70 yanadanganyika sana,.,.......shame on lowasa anayeamini nguvu za fedha chafu za tuzo ya richmond. Shame on islamists.
 
ha ha ha ha,laigwanan dulla lowassa,raisi,raisi,raisi,raisi,raisi,raisi,raisi,wenye wivu wameze viwembeeee!!,raisi,raisi,raisi,mtanikumbuka 2015!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom