ACCOUNT FULL
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 1,995
- 389
Hamna aliyeingia kwenye hiyo dini akafanikiwa
mkuu unaanzsha thread ndan ya thread! Ngoja waje
Hamna aliyeingia kwenye hiyo dini akafanikiwa
Nyerere alimwambia lowasa usichukue fomu mwizi
Akienda MEWATA ataitwa MWAJUMA NDALA NDEFU
Siasa za Tanzania bhanaa, sijui ufanye jambo gani ili uonekane mzuri.
Na gauni la kitenge atavaa afanane na😵gopeni mtu mwenye uchu wa namna hii!!!!
I hope its a joke... however no suprise maana ujinga na umaskini wa watz ndio mtaji wa wanasiasa... wanasiasa wako radhi wafanye chochote ili mradi waingie madarakani... membe alishawahi kusema pesa hata ikitoka kwa shetani ichukuliwe wakati huo akitetea tz kujiunga na OIC... malechela nae hivyo hivyo jamani kuweni makini na wanasiasa... unafiki ndio alama yao...View attachment 101491
Ni baada ya kufanikiwa Makanisani amekuja na mpya, ameamua kuingia katika jamii ya Waislamu kwa maslai yake, katika mbio zake za kusaka Urais akiwa Jijini Mwanza aliweza 'kujisilimisha' kiaina na kujiita Ustadhi Abdalah, hii ni baada ya kuvishwa Joho maalum kwa kufanikisha upatikanaji wa Milioni 590 kwenye Harembee ya Bakwata.
Katika kumpongeza huko Waislamu hao walimpa na jina la Ustadh Abdalah Edward Lowassa.
Usiibie nchi miaka 20 alafu ukatumia ela hizo kuhonga ili uwe rais.
Ni baada ya kufanikiwa Makanisani amekuja na mpya, ameamua kuingia katika jamii ya Waislamu kwa maslai yake, katika mbio zake za kusaka Urais akiwa Jijini Mwanza aliweza 'kujisilimisha' kiaina na kujiita Ustadhi Abdalah, hii ni baada ya kuvishwa Joho maalum kwa kufanikisha upatikanaji wa Milioni 590 kwenye Harembee ya Bakwata.
Katika kumpongeza huko Waislamu hao walimpa na jina la Ustadh Abdalah Edward Lowassa.
Didin't he?Malecela didi the same but all in vain
Hamna aliyeingia kwenye hiyo dini akafanikiwa