Katika kuusaka Urais Lowassa ajiita Ustadh Abdalah

Katika kuusaka Urais Lowassa ajiita Ustadh Abdalah

Mwacheni Lowassa afanye yake na nyie fanyeni yenu.

Chuki tu zinawasumbua dhidi ya EL

Na anaenda mdogo mdogo hadi anafika.
 
Ikulu tamu!!!!!!!!!!!!!!!!!! huoni ze ritz, sijui wataficha wapi nyuso zao baada ya 2015
 
Hivi akija kwetu ambao hatuna dini atakubali kuchukua jina letu ? Akienda kwa Wabudha , Huu urahisi huu una gharama kubwa sana ....haya Ustaadh Captain Abdalah ......
 
Du! Hata mzee John Malecela alisilimu kabisa akapewa jina la Alhaj Saidi Malecela. Akapewa vigari flani hivi, maccm yenzake yakavipora, akaangukia jicho... Kazi kwake Ustaadh Abdallah

Hivi haikua Jumanne Malecela?
 
Acheni kumsakama captain lowasa bila sababu za msingi. Kama huna cha kuandika, tulia kimya.
Hata kama amesilimishwa, this is his private business. Yaani, Hayatuhusu kabisa.
attachment.php
Mwanamalundi leo mbona una hasira sana ? Raia yeyeote anayeomba kuchaguliwa nafasi za juu tena za kugombea ni lazima ajadiliwe, la sivyo aache kampeni zake za kuchangisha na apumzike km wewekwani hakuna faida ya kuwekeza. KUNA KITU ANAKITAKA
 
Last edited by a moderator:
Hivi nyie vichwa vya panzi hamna la kuandika. Wewe umeona wapi anapewa jina hilo? Kawashipa pabaya Pres 2015 sasa mnaweweseka kama mjuzi kabanwa na mlango. Mwache afanye kazi ya Mungu na nyie baki na majungu yenu kama majuha fulani hivi. Hivi mnashinda hapa kijiweni hamna kazi za kufanya? Wenzenu wanalamaba hela za M4Chaggani. Bakini hivo hivo. I like to know who you are, I doubt you're in bad shapes while M4C Officials are happy in the cuisine and pubs enjoying every cent you poorer contribute. Fool


DuuuuH! Naona umefunguka kweli kweli. Anafanya kazi za Mungu yupi? Ha ha haaaa! Wewe unaOna huyu anamjua Mungu? labda mungu fedha. POLE.
 
mbona zile picha zinazoonyesha masheikh wakiesabu fedha na kutembea juu ya red capert wameziondoa tafadhali zirudishe ili tuzikopi kwa kumbu kumba maana hawa jamaa hawakawii kukanusha,zitatusaidia kama ile ya Mwangosi alivyouwawa
 
Ustadhi! Hahhahahaa!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
View attachment 101491
Ni baada ya kufanikiwa Makanisani amekuja na mpya, ameamua kuingia katika jamii ya Waislamu kwa maslai yake, katika mbio zake za kusaka Urais akiwa Jijini Mwanza aliweza 'kujisilimisha' kiaina na kujiita Ustadhi Abdalah, hii ni baada ya kuvishwa Joho maalum kwa kufanikisha upatikanaji wa Milioni 590 kwenye Harembee ya Bakwata.

Katika kumpongeza huko Waislamu hao walimpa na jina la Ustadh Abdalah Edward Lowassa.

Yaleyale!! Ya Malecela kujiita Jumanne. Na wanaomshangilia ni kwa bababu ya umasikini tu.
 
Hii kali! Spidi ya kuusaka urais ya huyu mzee sio ya kawaida. Muda si mrefu mtamsika yuko na mateja na atskuwa tayari kuitwa Kitale. Akitoka hapo ataelekea kwa vyangudoa, huko nako atapewa jina ......... Maana hao wote ni wapiga kura. Urais mtamu jamani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom