Private-eye
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,069
- 1,211
Nadhan hapa hoja hasa si kwamba mungu alidanganya bali ni kwamba story hii ya adam na eva na tunda la kati...si ya kweli. Ni ngano za kale zisizokuwa na ushahid nje ya imani. Ukiondoa imani...dhana ya kula tunda haiwezi kujisimamia..aka kujitegemea kama matter of fact.Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa huruma na neema yake kwa kunifanya mpaka dakika hii naendelea kupumua na kuwa mzima wa afya. Pia kwa mamlaka aliyotupa viumbe wake ya kutawala samaki wa Baharini na ndege wa angani , wanyama na kwa kutuumba kwa mfano wake. MWANZO1:26. Hakika huu ni upendo wa ajabu sana , sifa na utukufu viende kwake.
Mungu huwa hadanganyi kama tunavyojua, lakini kwa nini alimdanganya adam na hawa kuhusu mti wa Tunda la kati kati? , aliwaambia adam na hawa kuwa wakila matunda wa mti wa katikati hakika watakufa. Mwanzo 3:3 " lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema msiyale, msije mkafa.
Kabla ya hapo tukumbuke nyoka alimwambia mwanamke kuwa hatakufa akila mti wa tunda hilo bali watafunguliwa macho yao Na watakua kama Mungu watajua mema na Mabaya .
Mwanzo 3:4 "Nyoka akamwambia mwanadamu hakika hamtakufa. 5. Kwa maana Mungu anajua kwamba, siku mtakapokula matunda ya mti huo, mtafunguliwa macho , nanyi mtakua kama Mungu mtajua mema na mabaya.
Na ni kweli walipokula lile tunda hawakufa kama Mungu alivyosema, kwa hiyo tunaona Mungu alidanganya na shetani aliwaambia kweli kwani walipokula tu hilo tunda wakajua mema na mabaya.kama shetani alivyowaambia.
Mwanzo 3:7 wakafunguliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wako uchi.
Mwanzo 3:22 " Bwana Mungu akasema , basi huyu mtu amekua Kama mmoja wetu , kwa kujua mema na mabaya, na Sasa asije kunyoosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima akala akaishi milele.
Kama Mungu alituumba kwa mfano wake, kwa nini alikua hataki tujue mwema na mabaya? , na kwa nini alikua hataki tutwae mti wa uzima tuishi milele? , alitudanganya alipotuabia katuumba kwa mfano wake? , hapa hatuoni kuwa shetani ni mwema na ananitutakia mema Kwani baada tu ya kula lile tunda akina hawa wakapata fahamu na kujua mema na mabaya kama shetani alivyowaambia?
Kwa nini wanadamu tumekua tishio kwake baada ya kula mti wa ufahamu na kuamua kutupa laana ya kifo?
Mwanzo 6:3 " bwana akasema, roho yangu haitakaa kushindana na mwanadamu milele, Kwa kuwa yeye ni nyama, basi siku zake zitakua miaka Mia na ishirini"
Mmeona Mungu alivyotugeuka? Hataki tufanane nae Tena kama alivyosema, na kaamua kutupa ukomo wa miaka ya kuishi duniani
Hakika wewe ni Mungu , hakuna wa kushindana na wewe .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Aliwapa adhabu ya kifo baada ya kuona wangekula tunda la uzima wakaishi milele . Mwanzo 3:20
Ile ilikua tu mikwara , wote tumeona tunda alikuwadhuru bali liliwapa ufahamu kama shetani alivyosema Ila Mungu kwa kuogopa binadamu watamzidi maarifa au kufanana nae akaamua kutupa kikomo cha kuishi , soma kitabu cha mwanzo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ungezaliwa kwenye pagoda na ukawa na ma monk sidhani km ungesema haya,hizi imani ni kurithishwa kutoka na jamii ulipozaliwaKujua Shetani Bado Muongo na anawafuasi wengi kwenye uongo wake zaidi ya Bil 6.
Ameaminisha watu kuwa wanadamu ni Immortal (hawafi) ila wanabadilika tu form.
Ndio Maana watu wanafundishana ROHO/NAFSI HAIFI.
Mungu aliweka wazi '' mwanadamu ni Udongo hakika mavumibi (Sio kwingineko, naa kama kuna kingine kinabaki hicho sio mwanadamu na hakipaswi kujadiliwa) UTARUDI.
Ukisikia mtu anakuambia kuna kitu chenye uwezo wa kibinadamu huwa kinaenda mahala mtu afapo huyo ni Muongo au Product ya Uongo wa shetani (Hamtakufa).
Huyo au kikundi hicho Kinamuamini Shetani kuliko Mungu. '' Kila roho itendayo dhambi ITAKUFA).
Haihitaji ujue kigiriki au kiebrania kung'amua hilo.
Ok mkuuPete zinazovaliwa na watumishi wa Mungu tofauti na pete za ndoa ni issue,kuna kitu kipo pale sasa mfuatilie na nyie,mimi nimewaona wengi tu wakristo na wasio wakristo baadaye katika kufuatilia nakuta wanatuhumiwa.Safari ya kuingia mbinguni si ya kucheza inahitaji kujitoa na kujibidiisha kumtafuta Mungu na kujifunza Neno lake na kulitafakari mchana na usiku.
Zimepewa jina la kuzifunika wanaziita pete za bahati,lakini kuna jambo limefichwa.
Kwani hii misiba inayotokea kila siku huioni???Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa huruma na neema yake kwa kunifanya mpaka dakika hii naendelea kupumua na kuwa mzima wa afya. Pia kwa mamlaka aliyotupa viumbe wake ya kutawala samaki wa Baharini na ndege wa angani , wanyama na kwa kutuumba kwa mfano wake. MWANZO1:26. Hakika huu ni upendo wa ajabu sana , sifa na utukufu viende kwake.
Mungu huwa hadanganyi kama tunavyojua, lakini kwa nini alimdanganya adam na hawa kuhusu mti wa Tunda la kati kati? , aliwaambia adam na hawa kuwa wakila matunda wa mti wa katikati hakika watakufa. Mwanzo 3:3 " lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema msiyale, msije mkafa.
Kabla ya hapo tukumbuke nyoka alimwambia mwanamke kuwa hatakufa akila mti wa tunda hilo bali watafunguliwa macho yao Na watakua kama Mungu watajua mema na Mabaya .
Mwanzo 3:4 "Nyoka akamwambia mwanadamu hakika hamtakufa. 5. Kwa maana Mungu anajua kwamba, siku mtakapokula matunda ya mti huo, mtafunguliwa macho , nanyi mtakua kama Mungu mtajua mema na mabaya.
Na ni kweli walipokula lile tunda hawakufa kama Mungu alivyosema, kwa hiyo tunaona Mungu alidanganya na shetani aliwaambia kweli kwani walipokula tu hilo tunda wakajua mema na mabaya.kama shetani alivyowaambia.
Mwanzo 3:7 wakafunguliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wako uchi.
Mwanzo 3:22 " Bwana Mungu akasema , basi huyu mtu amekua Kama mmoja wetu , kwa kujua mema na mabaya, na Sasa asije kunyoosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima akala akaishi milele.
Kama Mungu alituumba kwa mfano wake, kwa nini alikua hataki tujue mwema na mabaya? , na kwa nini alikua hataki tutwae mti wa uzima tuishi milele? , alitudanganya alipotuabia katuumba kwa mfano wake? , hapa hatuoni kuwa shetani ni mwema na ananitutakia mema Kwani baada tu ya kula lile tunda akina hawa wakapata fahamu na kujua mema na mabaya kama shetani alivyowaambia?
Kwa nini wanadamu tumekua tishio kwake baada ya kula mti wa ufahamu na kuamua kutupa laana ya kifo?
Mwanzo 6:3 " bwana akasema, roho yangu haitakaa kushindana na mwanadamu milele, Kwa kuwa yeye ni nyama, basi siku zake zitakua miaka Mia na ishirini"
Mmeona Mungu alivyotugeuka? Hataki tufanane nae Tena kama alivyosema, na kaamua kutupa ukomo wa miaka ya kuishi duniani
Hakika wewe ni Mungu , hakuna wa kushindana na wewe .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Swala la kufa lilikuja kama adhabu baada ya kula tunda,aliposema ukila tunda la mti wa kati hakika utakufa ni kama wew umwambie mwanao ukiweka sukari kwenye chai nitakuchapa,akaja mtu akamwambia chai inatakiwa iwekwe sukari,alipoweka sukari ukaja ukamchapa,kwahiyo hapo sio swala la ahadi yako ya kumchapa kutimia ila hiyo adhabu ya kumchapa ni haki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama huwaga husomi umejuaje kama anaanza na hayo maneno mkuu?[emoji3]KATIKA HILI NAMUAMINI SHETANI.
ALAFU UNAKUTA ANAANZA NA
Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa huruma na neema yake kwa kunifanya mpaka dakika hii naendelea kupumua na kuwa mzima wa afya. Pia kwa mamlaka aliyotupa viumbe wake ya kutawala samaki wa Baharini na ndege wa angani , wanyama na kwa kutuumba kwa mfano wake. MWANZO1:26. Hakika huu ni upendo wa ajabu sana , sifa na utukufu viende kwake.
UWAGA SISOMI KABISA!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
rubbishKwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa huruma na neema yake kwa kunifanya mpaka dakika hii naendelea kupumua na kuwa mzima wa afya. Pia kwa mamlaka aliyotupa viumbe wake ya kutawala samaki wa Baharini na ndege wa angani , wanyama na kwa kutuumba kwa mfano wake. MWANZO1:26. Hakika huu ni upendo wa ajabu sana , sifa na utukufu viende kwake.
Mungu huwa hadanganyi kama tunavyojua, lakini kwa nini alimdanganya adam na hawa kuhusu mti wa Tunda la kati kati? , aliwaambia adam na hawa kuwa wakila matunda wa mti wa katikati hakika watakufa. Mwanzo 3:3 " lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema msiyale, msije mkafa.
Kabla ya hapo tukumbuke nyoka alimwambia mwanamke kuwa hatakufa akila mti wa tunda hilo bali watafunguliwa macho yao Na watakua kama Mungu watajua mema na Mabaya .
Mwanzo 3:4 "Nyoka akamwambia mwanadamu hakika hamtakufa. 5. Kwa maana Mungu anajua kwamba, siku mtakapokula matunda ya mti huo, mtafunguliwa macho , nanyi mtakua kama Mungu mtajua mema na mabaya.
Na ni kweli walipokula lile tunda hawakufa kama Mungu alivyosema, kwa hiyo tunaona Mungu alidanganya na shetani aliwaambia kweli kwani walipokula tu hilo tunda wakajua mema na mabaya.kama shetani alivyowaambia.
Mwanzo 3:7 wakafunguliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wako uchi.
Mwanzo 3:22 " Bwana Mungu akasema , basi huyu mtu amekua Kama mmoja wetu , kwa kujua mema na mabaya, na Sasa asije kunyoosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima akala akaishi milele.
Kama Mungu alituumba kwa mfano wake, kwa nini alikua hataki tujue mwema na mabaya? , na kwa nini alikua hataki tutwae mti wa uzima tuishi milele? , alitudanganya alipotuabia katuumba kwa mfano wake? , hapa hatuoni kuwa shetani ni mwema na ananitutakia mema Kwani baada tu ya kula lile tunda akina hawa wakapata fahamu na kujua mema na mabaya kama shetani alivyowaambia?
Kwa nini wanadamu tumekua tishio kwake baada ya kula mti wa ufahamu na kuamua kutupa laana ya kifo?
Mwanzo 6:3 " bwana akasema, roho yangu haitakaa kushindana na mwanadamu milele, Kwa kuwa yeye ni nyama, basi siku zake zitakua miaka Mia na ishirini"
Mmeona Mungu alivyotugeuka? Hataki tufanane nae Tena kama alivyosema, na kaamua kutupa ukomo wa miaka ya kuishi duniani
Hakika wewe ni Mungu , hakuna wa kushindana na wewe .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hizo ni habari za uzushi (fake news) zilizomo kwenye biblia.. Kwa muijibu hata wa papa Francis:
Papa anakiri kuna "fake news" ndani ya Biblia.
Jamani si yangu haya, nimeyanyofoa BBC anaeweza atafsiri zaidi...
Pope says serpent temptation in Bible 'first fake
news'
Pope Francis has denounced the "snake tactics" of those who spread fake news, saying the first case of misinformation is in the Bible when Eve is tempted by the serpent to eat the forbidden fruit.
The episode showed the "dire consequences" that fake news can have, the Pope warned in a document.
Francis also said it led only to the spread of arrogance and hatred.
He urged social media users and journalists to unmask manipulative tactics that foment division.
The document The Truth Will Set You Free - Fake News and Journalism for Peace was issued ahead of the Catholic Church's World Communications Day on 13 May, and it was the first time the Pope has written on the topic.
It comes amid a debate on ways to contain the spread of fake news on social media platforms and how it may have influenced recent elections, including in the US in 2016.
"Spreading fake news can serve to advance specific goals, influence political decisions, and serve economic interests," the Pope said.
Comparing it to the serpent's message of temptation in the Bible, he added: "We need to unmask what could be called the 'snake tactics' used by those who disguise themselves in order to strike at any time and place."
He called for "education for truth" that would teach people how to discern, evaluate and understand information.
Additionally, he said the role of journalists - whom he called "the protectors of news" - was "not just a job, it is a mission".
He said they should focus less on breaking news and more on "exploring the underlying causes of conflicts"
Source: Pope likens fake news to Bible's serpent
Kumbe Mungu wa waisrael , mimi namsubiri Mungu wa wamakondeHakika acheni Mungu aitwe Mungu.Tunakifanyia kufuru ya level hii Kitu Chenye nguvu za kutuzima Kama kibatari katikati ya upepo wa bahari lakini bado uko hai unavuta pumzi yake.Kweli Mungu anatupenda saaaana,ingekuwa ndo Mimi Nina nguvu hizo wewe nakuhakikishia sahivi ungekuwa ulishalala mautini.Hivi ukijiuliza kusema akisema apige akuue atakuwa Na hasara gani hakuna!!!lakini bado anakuach yamkini unamkashifu yeye Mungu ambaye akisema akikuwekea mkono tu unanyauka unaacha kumchafua huku unapotea kweny ramani.Unamsifia adui yake Na bado anakuachia Na pumzi yake kesho tena uamke asubuhi afu unaamka unakuja kumdhalilisha tena .Aisee acheni Mungu aitwe Mungu maana Nami Nina ya kwangu Ila ananivumilia.Hakika hakuna aliye Kama wewe Mungu wa Israel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hili jina lako la big IQ hufanani kbisa Na unavyoviongea maana hata sijui hapo kigumu kuelewa kwako Ni nini rafiki.Huyo mwanao unaesema ukimkataza kuweka sukari kweny chai akawwka sukari ukamchapa kweny Tukio la Eden ui relate hiviiiii...!!!!Utamchapa mtoto wako kwa sababu ya kutokutii/kiburi.Ndivyo ilivyokuwa kwa Mungu.Mungu alimwadhibu Adam essence ikiwa Ni kukosa utii.Yaani yes alikula tunda lakini issue sio kula tunda issue Ni Adam kula tunda lililokuwa forbidden.Maana hii ilimaanisha Kulikuwa Na upotofu wa utii kwa Maagizo ya Mungu Na ukumbuke kukosa utii Ni dhambi inayomkera Mungu maana ndo hufanya mwandamu atende dhambi zote.Na hii ndo dhambi iliyomwangusha Lucifer kutoka mbinguni.Ukishakosa utii kwa Mungu,Mungu anajua utafanya mengi hivyo anakuondoa patakatifu pake.Sababu Eden ilikuwa eneo takatifu sasa angemwacha maana yake angeruhusu patakatifu pake pawe uwanja wa dhambi.Ni Kama vile angemwacha lucifer akae mbinguni wakati aliasi.Wengine wangejifunza nini?kuwa Ni sawa Kuasi?Dhambi huwa Ina gharama so Alimshusha ili kuiweka mbingu mbali Na dhambi.Same alichofanya kwa Adam.Alimfukuza Ili kuiweka Eden mbali Na dhambi.(jibu kwa wale mnaojiuliza kwanini aliwafukuza).Mungu hakuwachukia kina Adam baada ya kutenda dhambi Ila aliichukia dhambi Na aliitaka kuitenga Eden mbali Na uasi.Pili hicho unachosema mzazi kumkataza mwanae kuweka sukari kweny chai,kweny Tukio la Eden iweke hiviiii ili uelewe.!!!!!!Mungu Ni Kama mzazi tena Ni zaidi ya mzazi.Anatupenda mnooo.mfano wako unaweza sema mzazi kamkataza mwanae kuweka sukari kweny chai afu baadae anamchapa Na wewe una assume sukar Ni Nzuri kwa chai,yes.But kiuhalisia hakuna mzazi asiyempenda mwanae so akimkatalia mwanae kula sukari lazima anajua hiyo sukari japo inaonekana Ni Nzuri lakini kwa mwanae sio Nzuri mfano mwanae Ana kisukari or anything else .Same kwa Mungu pia...Kama Mungu alimkataza Adam asile lile tunda japo tunda lilionekana zuri kwa macho kwa kula Kama shetani alivyomdangnya Hawa lakini Mungu yeye Kama mzazi alijua hakukuwa Na jema from that ndo maana alimkataza.Mungu anatupenda Na anatuwazia mema shetani anatuwazia mabaya siku zote weka hiyo akilini kwako
Sent using Jamii Forums mobile app