Katika hili Magufuli uwe DIKTETA

Katika hili Magufuli uwe DIKTETA

Nitakupa baadaye sababu ya confidence yangu kuhusu swala hili.
Naamini utanielewa.
Sawa. Lakini a promise is comfot to a fool.

Hata Yesu aliwaambia watu atarudi kabla hawajafa.

Mpaka leo hajarudi.

Usikimbie tu hapa.
 
Share zangu ni Utanzania wangu.

Tutakapolazimishwa kulipa faini, hizo ni fedha ambazo zitatoka kwenye bajeti hii hii ambayo watu wanalalamika hakuna hela leo.
Lakini mpaka sasa hamna aliyesema tunalipa faini.
Wakati NCHI inapogundua INCONSISTENCY na FRAUDULENCE kind of activities.
NCHI YEYOTE ile huwa na HAKI kisheria KUSIMAMISHA MKATABA.

Whether MIKATABA iliwekwa ama LA. Nchi inalichukulia jambo kama hilo ni ECONOMIC CRIME/ KOSA LA JINAI la KIUCHUMI. Na nchi ina haki kisheria ya KUISHITAKI kampuni yeyote ile. Huo ndo utaratibu WA kimataifa ULIVYO.
 
Lakini mpaka sasa hamna aliyesema tunalipa faini.
Wakati NCHI inapogundua INCONSISTENCY na FRAUDULENCE kind of activities.
NCHI YEYOTE ile huwa na HAKI kisheria KUSIMAMISHA MKATABA.

Whether MIKATABA iliwekwa ama LA. Nchi inalichukulia jambo kama hilo ni ECONOMIC CRIME/ KOSA LA JINAI la KIUCHUMI. Na nchi ina haki kisheria ya KUISHITAKI kampuni yeyote ile. Huo ndo utaratibu WA kimataifa ULIVYO.
Hakuna fraud. Mchanga umeruhusiwa kuchukuliwa katika mkataba.

Mkataba umekubaliwa na viongozi wa nchi.
 
Sawa. Lakini a promise is comfot to a fool.

Hata Yesu aliwaambia watu atarudi kabla hawajafa.

Mpaka leo hajarudi.

Usikimbie tu hapa.
Sijakimbia mkuu. Niko na wewe. Lakini pia unaweza kupata jibu langu. Hebu soma JIBU [HASHTAG]#128[/HASHTAG]. Baabaye urudi uniambie umeelewa kipi hapo.
 
Hakuna fraud. Mchanga umeruhusiwa kuchukuliwa katika mkataba.

Mkataba umekubaliwa na viongozi wa nchi.
Ulikuweko wewe wakati wa mikataba na declarations zilivyofanyika kuwa ni nini na ni MADINI gani haswa YANAYOPELEKWA NJE ya nchi?
 
Riport ambayo kila mtu alilia na kulipigia kelele hilo jambo??!!

Nyie ndo wale wanawake mnaopanga sherehe za kuvishwa Pete za uchumba, alafu mnapovalishwa mnajifanya kushangaa.

Kuhusu mchanga huo, ni vitu ambavyo vilikua wazi kabisa. Ni sawa na gas ya mtwara.

Wapinzani walipokua wakilia bungeni, haohao mnawasifia leo, ndio waliokua wanapinga hoja nzito za kulijomboa taifa.

Nitatoa mfano wa walichokua wanalia wapinzani bungeni. Ni sakata la miswaada ya gas kuingia bungeni kama hati ya dharula. Wapinzani walipinga hilo suala mpaka wakaamua kutoka nje baada ya kuona hawasikilizwi na hao mnaowaona wakombozi leo.

Kwahiyo, hapo hakuna jipya. Ni kujitekenya na kucheka
Mkuu nimekuelewa sana .. Maigizo yao Sawa na bongo movie tu;!!!
 
Anayelitakia kimya Taifa lake hawezi kukaa kimya bila kuchukua hatua madhubuti pale anapofahamu Tanesco inaendeshwa kwa hasara kubwa sana kwa kununua unit moja ya umeme kwa shilingi 544 huku wao wakiuza kwa wateja kwa shilingi 277 tu!

Toa ushahidi na tabia za BENEVOLENT Dictator/Dikteta ANAYELITAKIA taifa lake mazuri
Nami nitatoa mfano na tabia za Dictator MBAYA na yale amabayo hufanyika.
 
Anayelitakia kimya Taifa lake hawezi kukaa kimya bila kuchukua hatua madhubuti pale anapofahamu Tanesco inaendeshwa kwa hasara kubwa sana kwa kununua unit moja ya umeme kwa shilingi 544 huku wao wakiuza kwa wateja kwa shilingi 277 tu!
Mkuu, una pointi ila to PENDEKEZO ungependa nini kifanyike kurekebisha hilo la Tanesco?
 
Al Watan naona una mengi. Naomba upumzike kidogo huku ukinywa tangawizi. Baadaye tuendelee. Ama vipi mkuu?
Nitapumzika nikifariki.

Kuna mawaziri wa Magufuli hata sitaki kuongea nao siku hizi kwa kuhofia watanipa siri za baraza la mawaziri na mimi sina kifua nitakuja kuzimwaga hapa.

Wewe kama unataka kupumzika pumzika tu.

Wengine mwendo kama wa Napoleon The Devil himself!
 
Kufunga marafiki waliofanya ufisadi siyo udikteta ni kufuata utawala wa sheria. Kumfukuza muhongo aliyeshindwa kusimamia wizara ni jambo zuri na si udikteta, Ila kumkingia kifua mtu mwenye vyeti feki ndiyo udikteta
Mkuu Sijakuelewa. Hebu fafanua.
 
Mkuu Sijakuelewa. Hebu fafanua.
Namaanisha kuna matendo anafanya Magufuli tunasema ni udikteta lakini siyo. Mfano kumfukuza Muhungo na kuvunja TMAA si udikteta ni kufuatilia utawala wa sheria. Hata huyo lee alipokuwa anafunga marafiki haukuwa udikteta bali kufuata rule of law. Ila alipokuwa anaingilia uhuru la watu na kubana uhuru wa habari huo ndiyo ulikuwa udikteta. Kwahiyo hata Magufuli tumsifu kwa kufanya matendo ya kufuata utawala wa sheria na sikumsifu kuwa ni udikteta mzuri. Naamini hakuna udikteta mzuri. Hivyo tunapaswa kumpinga anapoonyesha matendo ya kidikteta kama kuminya uhuru wa habari, kuminya siasa na kitu kama kumkingia kifua Bashite japo anaweza kuwa na nia njia kufanya hivyo.
 
Nitapumzika nikifariki.

Kuna mawaziri wa Magufuli hata sitaki kuongea nao siku hizi kwa kuhofia watanipa siri za baraza la mawaziri na mimi sina kifua nitakuja kuzimwaga hapa.

Wewe kama unataka kupumzika pumzika tu.

Wengine mwendo kama wa Napoleon The Devil himself!
Kama huwezi kuweka lijamu mdomoni heri uwakwepe maana utaleta mambo mengine tusiyoyahitaji humu.
 
Namaanisha kuna matendo anafanya Magufuli tunasema ni udikteta lakini siyo. Mfano kumfukuza Muhungo na kuvunja TMAA si udikteta ni kufuatilia utawala wa sheria. Hata huyo lee alipokuwa anafunga marafiki haukuwa udikteta bali kufuata rule of law. Ila alipokuwa anaingilia uhuru la watu na kubana uhuru wa habari huo ndiyo ulikuwa udikteta. Kwahiyo hata Magufuli tumsifu kwa kufanya matendo ya kufuata utawala wa sheria na sikumsifu kuwa ni udikteta mzuri. Naamini hakuna udikteta mzuri. Hivyo tunapaswa kumpinga anapoonyesha matendo ya kidikteta kama kuminya uhuru wa habari, kuminya siasa na kitu kama kumkingia kifua Bashite japo anaweza kuwa na nia njia kufanya hivyo.
Uhuru usio na mipaka pia ni hatari. Japokuwa siungi mkono kuzuia uhuru uliomo katika katiba yetu.
 
Uhuru usio na mipaka pia ni hatari. Japokuwa siungi mkono kuzuia uhuru uliomo katika katiba yetu.
Ni kweli lakini pia kuweka sana mipaka kwenye uhuru ni hatari zaidi. Watu wa haki za binadamu wanasema ili kulinda uhuru wa habari hata uongo i anabidi kulindwa. Wakimaanisha hata watu wakitoa taarifa za kupotosha humu jf sheria inabidi iwalinde ili kulinda uhuru wa habari.
 
Namaanisha kuna matendo anafanya Magufuli tunasema ni udikteta lakini siyo. Mfano kumfukuza Muhungo na kuvunja TMAA si udikteta ni kufuatilia utawala wa sheria. Hata huyo lee alipokuwa anafunga marafiki haukuwa udikteta bali kufuata rule of law. Ila alipokuwa anaingilia uhuru la watu na kubana uhuru wa habari huo ndiyo ulikuwa udikteta. Kwahiyo hata Magufuli tumsifu kwa kufanya matendo ya kufuata utawala wa sheria na sikumsifu kuwa ni udikteta mzuri. Naamini hakuna udikteta mzuri. Hivyo tunapaswa kumpinga anapoonyesha matendo ya kidikteta kama kuminya uhuru wa habari, kuminya siasa na kitu kama kumkingia kifua Bashite japo anaweza kuwa na nia njia kufanya hivyo.
Benevolent Dictator mara nyingi huleta mabadiliko mazuri sana. Kuminya uhuru, inategemea ni uhuru wa aina gani wa habari.
Kama ni wauchochezi huo hauna msamaha ni lazima uminywe.
Lakini wa kuikosoa Serikali na kutoa njia mbadala sioni kama kuna tatizo.
Maana katiba yetu inaruhusu hilo.
Hata hivyo nimekuelewa mkuu.
 
Huu ni ushauri mzuri. Mimi naongeza aachane na wapinzani
nguvu kubwa ielekezwe kwenye kudhibiti mafisadi
bila kujali itikadi zao badala ya kuwekeza nguvu kubwa
kupambana na wapinzani awatumie wamsaidie kuonyesha
uozo ulipo,ila waseme ukweli atakayezusha jambo lisilokuwepo
naye achukuliwe hatua.
Ni vyema kwa waziri kama huyu aliyestaafishwa
kwa manufaa ya umma akawajibishwa kwa kulipa faini
ili kuleta hofu kwa watakaokuja baadaye.
 
Ni kweli lakini pia kuweka sana mipaka kwenye uhuru ni hatari zaidi. Watu wa haki za binadamu wanasema ili kulinda uhuru wa habari hata uongo i anabidi kulindwa. Wakimaanisha hata watu wakitoa taarifa za kupotosha humu jf sheria inabidi iwalinde ili kulinda uhuru wa habari.
Mkuu Nimekuelewa sana na nimekupata vizuri.
 
Back
Top Bottom