Katika hili Magufuli uwe DIKTETA

Katika hili Magufuli uwe DIKTETA

Ukitaka nchi INYOOKE. Ni VIZURI Watanzania waanze kuona MALI ZAO na FEDHA zao zilizoibiwa ZIKIRUDISHWA serikalini. BILA kuwa na HURUMA huyu ni mtoto wa nani ama alikuwa nani.
Usipokuwa DIKTETA mzuri sasa basi Tanzania HATUTAPATA MWINGINE tena.
Well said.
 
BLABLA ZOOTE HIZI ALIZOPIGA YETU NI ASILIMIA 4 TU
cha msingi hapa ni kufumua mikataba yote ya madini .....otherwize alikuwa anatusahaulisha tu zile rambirambi alizokula gambo .............. sina time naye apite hivi
 
Mikataba hii ilizungumzwa na kupitishwa katika level ya cabinet. Hivyo alihusika.



Kanuni za collective responsibility zinasema hivi, ukipingana na kitu, ama mawazo yako yatakubalika ama yatapuuzwa.

Yakikubalika unaendelea na kazi na una ownership ya maamuzi.

Yakipuuzwa una uamuzi wa kufanya. Ama ukubaliane na kupuuzwa huko na uendelee na kazi, ama ujiuzulu na kupinga mambo kutoka nje.

Magufuli alikuwa na nafasi ya kujiuzulu uwaziri na kusema mabaya haya akiwa nje. Hakuthubutu kufanya hivyo.

Maana yake alikubaliana na maamuzi.


Angekuwa na uchungu angejioa uwaziri abaki mbunge backbencher aweze kuinanga serikali vizuri. Mikataba mikubwa kama hii katika ngazi ya cabinet mawaziri wanaiona, kusema kuna mambo hayako wazi ni kumtetea tu.



Una uhakika hawawezi wakati watu washaanza kazi hiyo?



Evidence gani against them? Unajua mikataba iliwaruhusu kuchukua mchanga na Magufuli kukataza kuchukua mchanga anavunja mikataba?


Mikataba inavunjwa. Evo Morales wa Bolivia kavunja mikataba mibovu. Alichofanya - ambacho ndicho kitu Trump anafanya sasa- ni kuitoa Bolivia katika international conventions ambazo Bolivia ni signatory kwanza, mikataba hii ndiyo inashurutisha nchi kufanya hivi na vile etc.Ukishajitoa katika hizo conventions, then unaweza kuvunja mikataba na makampuni.

Magufuli kavunja mikataba na makampuni kabla ya kujitoa katika conventions. Wawekezaji wanamcheka kwa ujinga wake.

Inawezekana kabisa wamechimba mchanga mpaka umekwisha, sasa unakwisha, Magufuli anavunja mkataba, deal lao linaendelea sasa watalipwa kwa sababu Magufuli kavunja mkataba hata kama mchanga umeisha.


Executive power ya rais haina nguvu kwa wawekezaji wenye mikataba ya kimataifa, atashitakiwa London na kushindwa kesi na kuambiwa alipe fidia. Waziri wa Magufuli alikwenda Mgodini na kumtisha James Sinclair KI Magufuli Magufuli kwamba atafunga mgodi, James Sinclair akamwambia "Go ahead, make my day, nitakupiga daflao la "Force Majeure" ushindwe kujua nini kimekupiga.

Waziri akanywea sikusikia kumfuatilia Sinclair
Nimekuelewa sana. Ila nitajibu kwa kifupi.
1.London or wherever si ndo MABWANA na sisi ni WATWANA.
Naamini wakati umefika Makampuni ya KIGENI KUDHIBITIWA KISHERIA.

Kile Mh. Rais anachokifanya ni KUZIBA NYUFA na loopholes zilizofanya Tanzania ifike mahali ilpo sasa. UNAPOFIKA KIJIJINI KWENU huwa UNAJISIKIAJE wakati unapowaona wananchi ama jirani zako wa kiwa katika UMASKINI mkubwa?
Mimi hukasirika sana. Let me be honest.

Kama hauguswi na maisha ya watu kijijini mwako. No CLEAN WATER, No Hope, No nothing then wewe una tatitizo tena kubwa sana.

Inauma sana kuwa sasa Tanzania ni miaka zaidi ya 50 na ingali Maskini. Wakati Tanzania na KOREA KUSINI walikuwa na kiwango sawa cha chini KIUCHUMI mwaka 1961 na UMASKINI mwingi.

MBONA WAO sasa WALIJIKWAMUA NA kufanikiwa?
Siri ni kuwa walipogundua MAKOSA yao WAKAREKEBISHA na sasa wako ulimwengu wa kwanza.

Whether Magufuli ataitwa NATIONALIST ama POPULIST then let it be as long as tunajikwamua na udanganyifu kama huu.

Nchi kama Tanzania leo tungekuwa DONORS lakini baadhi ya waliopewa dhamana ya kulinda mali na raslimali yetu ndo WALIOTUANGUSHA. Heri tuokoe/SALVAGE anything that could be salvaged.

Ni kweli ulivyosema kuhusu COLLECTIVE RESPONSIBILITY. Lakini ujue katika system ambayo Tanzania inaelekea KUIBADILISHA muda si mrefu ilikuwa ya YES sir katika kila jambo. Nakubaliana kuwa we have to change things KABISA.

Wakati ule ukitoa ushauri KINYUME cha MTAWALA wewe unaonekana uko kinyume chake.
Kama ni wewe what would you have done?

Hapa una watoto unasomesha, Hapa unatakiwa na familia yako uweke ugali Mezani. Mwishowe anajisemea tu Ah! Haizulu. Acha waendelee. Huo ni mtazamao wangu binafsi by the way. Na haya ni yangu mwenyewe jinsi ninavyoyaangalia.
I stand to be corrected!

Kuhusu kujitoa kwenye ma conventions,ni kweli kuna wakati mwingine ni VIZURI kujitoa Katika hizo. Lakini hili HALIHUSIKI na conventions bali ni INVESTMENTS/UWEKEZAJI wa Makampuni Binafsi na SI SERIKALI NA SERIKALI.

hIVYO BASI INTERESTS/MASLAHI yetu ni lazima ya supersede/ Yazidi maslahi mengine yasiyo na tija kwa taifa letu. Regardless of hullabaloos za Makampuni.
 
BLABLA ZOOTE HIZI ALIZOPIGA YETU NI ASILIMIA 4 TU
cha msingi hapa ni kufumua mikataba yote ya madini .....otherwize alikuwa anatusahaulisha tu zile rambirambi alizokula gambo .............. sina time naye apite hivi
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
 
Nimekuelewa sana. Ila nitajibu kwa kifupi.
1.London or wherever si ndo MABWANA na sisi ni WATWANA.
Naamini wakati umefika Makampuni ya KIGENI KUDHIBITIWA KISHERIA.

Kile Mh. Rais anachokifanya ni KUZIBA NYUFA na loopholes zilizofanya Tanzania ifike mahali ilpo sasa. UNAPOFIKA KIJIJINI KWENU huwa UNAJISIKIAJE wakati unapowaona wananchi ama jirani zako wa kiwa katika UMASKINI mkubwa?
Mimi hukasirika sana. Let me be honest.

Kama hauguswi na maisha ya watu kijijini mwako. No CLEAN WATER, No Hope, No nothing then wewe una tatitizo tena kubwa sana.

Inauma sana kuwa sasa Tanzania ni miaka zaidi ya 50 na ingali Maskini. Wakati Tanzania na KOREA KUSINI walikuwa na kiwango sawa cha chini KIUCHUMI mwaka 1961 na UMASKINI mwingi.

MBONA WAO sasa WALIJIKWAMUA NA kufanikiwa?
Siri ni kuwa walipogundua MAKOSA yao WAKAREKEBISHA na sasa wako ulimwengu wa kwanza.

Whether Magufuli ataitwa NATIONALIST ama POPULIST then let it be as long as tunajikwamua na udanganyifu kama huu.

Nchi kama Tanzania leo tungekuwa DONORS lakini baadhi ya waliopewa dhamana ya kulinda mali na raslimali yetu ndo WALIOTUANGUSHA. Heri tuokoe/SALVAGE anything that could be salvaged.

Ni kweli ulivyosema kuhusu COLLECTIVE RESPONSIBILITY. Lakini ujue katika system ambayo Tanzania inaelekea KUIBADILISHA muda si mrefu ilikuwa ya YES sir katika kila jambo. Nakubaliana kuwa we have to change things KABISA.

Wakati ule ukitoa ushauri KINYUME cha MTAWALA wewe unaonekana uko kinyume chake.
Kama ni wewe what would you have done?

Hapa una watoto unasomesha, Hapa unatakiwa na familia yako uweke ugali Mezani. Mwishowe anajisemea tu Ah! Haizulu. Acha waendelee. Huo ni mtazamao wangu binafsi by the way. Na haya ni yangu mwenyewe jinsi ninavyoyaangalia.
I stand to be corrected!

Kuhusu kujitoa kwenye ma conventions,ni kweli kuna wakati mwingine ni VIZURI kujitoa Katika hizo. Lakini hili HALIHUSIKI na conventions bali ni INVESTMENTS/UWEKEZAJI wa Makampuni Binafsi na SI SERIKALI NA SERIKALI.

hIVYO BASI INTERESTS/MASLAHI yetu ni lazima ya supersede/ Yazidi maslahi mengine yasiyo na tija kwa taifa letu. Regardless of hullabaloos za Makampuni.
Nitakueleza point muhimu sana.

1. Tushaona Magufuli anahusika kupitisha mikataba mibovu. Tumepigwa. Kashiriki.

2. Magufuli alitakiwa kuiondoa mikataba hii kwa hesabu. Kwanza kuiondoa Tanzania kwenye internatiinal conventions kabla ya kuvunja mikataba. Hizi conventions ndizo zimeweka legal framework inayolazimisha serikali kwenda kwenye usuluhusi London. Bila hizi conventions tunaweza kuikataa mikataba mibovu, watu wa Magharibi wakatususia, Wachina wakaja kufanya biashara.Halafu akishajitoa kwenye conventiins hizo (zinazotushurutisha kwenda London kusuluhushwa) angeweza kuvunja mikataba. Hakufanya hivyo. Kavunja mikataba kihokela tu. Tumepigwa. Hela kubwa sana.

3. Magufuli amehusika kutuingiza vibaya na kututia vibaya katika mikataba hii.

Hii ni IPTL nyingine.

Halafu Wabongo wanashangilia.
 
Mtaruka huku na kule lakini anayedharau Bunge la nchi na katiba yake kupindisha sheria za nchi ni DIKTETA UCHWARA. Na Watanzania hatutaki dikteta hawana maana yoyote hawa madikteta zaidi ya kuongeza machungu kwa wananchi wao na ushahidi upo wa kutosha kabisa sehemu mbali mbali duniani.



Wana JF kulingana na ripoti iliyotolewa leo na tume ya rais kuhusu MCHANGA ambao kwa miaka 17 tumekuwa tukiibiwa kama nchi ukiwa na MADINI mbali mbali na kuwa undervalued ili tuibiwe, IMEKASIRISHA sana kila mtu.
Katika hili sitakuwa nimekosea kumwomba Magufuli awe DIKITETA MZURI/BENEVOLENT dictator.

Aina hii ya UDIKTETA huwa INAKUBALIKA maana huwa ni ya mtu anayetaka kuwafanyia WANANCHI wake MAZURI kwa MANUFAA ya taifa lake.

Tunaweza kuiga mfano wa aliyekuwa mwanzilishi wa taifa la Singapore. "Lee Kuan Yew"
Yeye aliwafukuza kazi na hata KUWAFUNGA JELA RAFIKI zake na jamaa zake waliojihusisha na UFISADI.

Na kuiweka nchi yake katika ulimwengu wa KWANZA/ First world na kipato kikubwa zaidi ya baadhi ya nchi za ULAYA.

Ni nini kilichomsaidia? Ni udikteta mzuri. Hakuwa na huruma.
Jambo la kwanza KABLA ya yote FREEZE/ZIFUNGE ACCOUNT zao zote za WATUHUMIWA zilizo na FEDHA NYINGI ambazo source yake ni ya MASHAKA.


Magufuli ukicheka na mtu Tanzania HATABADILIKA.
Kuagiza vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi ni vizuri. Lakini KUFUATILIA na KUTENDEA kazi MAAGIZO yako hilo nalo ni lingine.Things should start rolling ASAP& NOW!

Mfano mwingine ni ule wa juzi Juzi wa Rais mpya wa Gambia ame FREEZE Dola millioni 50 zilizokuwa ZIMEIBIWA na rais aliyetoka madarakani Jammeh.

Ukitaka nchi INYOOKE. Ni VIZURI Watanzania waanze kuona MALI ZAO na FEDHA zao zilizoibiwa ZIKIRUDISHWA serikalini. BILA kuwa na HURUMA huyu ni mtoto wa nani ama alikuwa nani.
Usipokuwa DIKTETA mzuri sasa basi Tanzania HATUTAPATA MWINGINE tena.

WACHACHE watalia lakini MAMILIONI ya Watanzania WATAKUPENDA na kusema UMETUOKOA.
Mungu IBARIKI Tanzania na Rais Magufuli
 
Nitakueleza point muhimu sana.

1. Tushaona Magufuli anahusika kupitisha mikataba mibovu. Tumepigwa. Kashiriki.

2. Magufuli alitakiwa kuiondoa mikataba hii kwa hesabu. Kwanza kuiondoa Tanzania kwenye internatiinal conventins kabla ya kuvunja mikataba. Halafu akishajitoa kwenye conventiins hizo (zinazotushurutisha kwenda London kusuluhushwa) angeweza kuvunja mikataba. Hakufanya hivyo. Kavunja mikataba kihokela tu. Tumepigwa. Hela kubwa sana.

3. Magufuli amehusika kutuingiza vibaya na kututia vibaya katika mikataba hii.

Hii ni IPTL nyingine.

Halafu Wabongo wanashangilia.
Tujadili hili la mchanga kwanza. Mengine yatatupotosha.
 
Tujadili hili la mchanga kwanza. Mengine yatatupotosha.
Kwani hapo najadili lipi?

Nipe kipengele kimoja ambacho sijajadili la mchanga?

Kama unashindwa kufuatilia na ku connect international conventions, mikataba na makampuni, sovereign obligations etc, hilo halina maana kwamba haya hayapo kwenye mjadala wa mchanga.

Magufuli kachemka.

Tunaenda kuwalipa watu kama IPTL.

Unaelewa hilo?
 
Mtaruka huku na kule lakini anayedharau Bunge la nchi na katiba yake kupindisha sheria za nchi ni DIKTETA UCHWARA. Na Watanzania hatutaki dikteta hawana maana yoyote hawa madikteta zaidi ya kuongeza machungu kwa wananchi wao na ushahidi upo wa kutosha kabisa sehemu mbali mbali duniani.


Toa ushahidi na tabia za BENEVOLENT Dictator/Dikteta ANAYELITAKIA taifa lake mazuri
Nami nitatoa mfano na tabia za Dictator MBAYA na yale amabayo hufanyika.
 
Mtaruka huku na kule lakini anayedharau Bunge la nchi na katiba yake kupindisha sheria za nchi ni DIKTETA UCHWARA. Na Watanzania hatutaki dikteta hawana maana yoyote hawa madikteta zaidi ya kuongeza machungu kwa wananchi wao na ushahidi upo wa kutosha kabisa sehemu mbali mbali duniani.


Magufuli ni mtu mjinga mjinga sana.

Ndiyo maana hawezi kufuata katiba wala hawezi kucheza chess la kuwaondoa hawa wawekezaji bila kuwapa wananchi hasara kubwa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwani hapo najadili lipi?

Nipe kipengele kimoja ambacho sijajadili la mchanga?

Kama unashindwa kufuatilia na ku connect international conventions, mikataba na makampuni, sovereign obligations etc, hilo halina maana kwamba haya hayapo kwenye mjadala wa mchanga.

Magufuli kachemka.

Tunaenda kuwalipa watu kama IPTL.

Unaelewa hilo?
Tumo humu JF. Sidhani kama TUTALIPA.
Naheshimu maoni yako sana. Na kutofautiana kimitazamo ni kawaida sana.
Nashukuru.
 
Magufuli ni mtu mjinga mjinga sana.

Ndiyo maana hawezi kufuata katiba wala hawezi kucheza chess la kuwaondoa hawa wawekezaji bila kuwapa wananchi hasara kubwa.
Mkuu. Kauli, Kauli.
Vuta pumzi kidogo na utulie.
Kwani una shares nyingi sna huko?
 
Huwezi kulitakia Taifa lako mema halafu ukanunua kivuko uozo kwa bilioni 8 wewe! Tia akili kichwani.

Toa ushahidi na tabia za BENEVOLENT Dictator/Dikteta ANAYELITAKIA taifa lake mazuri
Nami nitatoa mfano na tabia za Dictator MBAYA na yale amabayo hufanyika.
 
Huwezi kulitakia Taifa lako mema halafu ukanunua kivuko uozo kwa bilioni 8 wewe! Tia akili kichwani.
Mkuu hebu tuzungumzie MCHANGA kwanza. Halafu mambo mengine tuyaweke kando kwanza.
 
Usipotezee rekodi chafu ya huyu hata CAG kaandika mara nyingi tu.

Mkuu hebu tuzungumzie MCHANGA kwanza. Halafu mambo mengine tuyaweke kando kwanza.
 
Tumo humu JF. Sidhani kama TUTALIPA.
Naheshimu maoni yako sana. Na kutofautiana kimitazamo ni kawaida sana.
Nashukuru.
Hata IPTL watu walisema hivyo hivyo.

Kitu gani kinakupa confidence hatutalipa wakati mikataba mibovu na arbitration ya London ni kawaida kupendelea wawekezaji hata kama mikataba iko fair?
 
Mkuu. Kauli, Kauli.
Vuta pumzi kidogo na utulie.
Kwani una shares nyingi sna huko?
Share zangu ni Utanzania wangu.

Tutakapolazimishwa kulipa faini, hizo ni fedha ambazo zitatoka kwenye bajeti hii hii ambayo watu wanalalamika hakuna hela leo.
 
Hata IPTL watu walisema hivyo hivyo.

Kitu gani kinakupa confidence hatutalipa wakati mikataba mibovu na arbitration ya London ni kawaida kupendelea wawekezaji hata kama mikataba iko fair?
Nitakupa baadaye sababu ya confidence yangu kuhusu swala hili.
Naamini utanielewa.
 
Back
Top Bottom