- Thread starter
- #81
Magufuli hakutumia oxymoron/Ujanja ujanja katika ili kucheza na MANENO ama MATAMSHI ili kuleta effect fulani. Na HATUTAKI oxymoron behaviour."Dikteta mzuri" ni oxymoron.
Ni kamamtu anasema "tukubaliane kutokubaliana".
Gobledygook!
Magufuli ALIONGEA BILA MAFUMBO wala figure of speech like oxymoron.
Uzuri wa Magufuli ni mmoja.
Yeye akiona kitu ni kibaya ni kibaya na ikiwa ni kizuri ni kizuri. Hakuwagi na NJIA PANDA. Yuko straight hata kama utanuna. Yeye amemaliza.