Katika hili Magufuli uwe DIKTETA

"Dikteta mzuri" ni oxymoron.

Ni kamamtu anasema "tukubaliane kutokubaliana".

Gobledygook!
Magufuli hakutumia oxymoron/Ujanja ujanja katika ili kucheza na MANENO ama MATAMSHI ili kuleta effect fulani. Na HATUTAKI oxymoron behaviour.

Magufuli ALIONGEA BILA MAFUMBO wala figure of speech like oxymoron.
Uzuri wa Magufuli ni mmoja.

Yeye akiona kitu ni kibaya ni kibaya na ikiwa ni kizuri ni kizuri. Hakuwagi na NJIA PANDA. Yuko straight hata kama utanuna. Yeye amemaliza.
 
Magufuli hakutumia oxymoron/Ujanja ujanja katika ili kucheza na MANENO ama MATAMSHI ili kuleta effect fulani. Na HATUTAKI oxymoron behaviour.

Magufuli ALIONGEA BILA MAFUMBO wala figure of speech like oxymoron.
Uzuri wa Magufuli ni mmoja.

Yeye akiona kitu ni kibaya ni kibaya na ikiwa ni kizuri ni kizuri. Hakuwagi na NJIA PANDA. Yuko straight hata kama utanuna. Yeye amemaliza.
Magufuli aliapishwa kuilinda katiba ya nchi na utawala wa sheria, ameivunja na kuagiza utawala wa sheria usifuatwe.

That is worse than oxymoron.
 
Magufuli aliapishwa kuilinda katiba ya nchi na utawala wa sheria, ameivunja na kuagiza utawala wa sheria usifuatwe.

That is worse than oxymoron.
Mkuu, ni lini rais ALITAMKA RASMI kwamba ' Kuanzia sasa Tanzania ni BANANA REPUBLIC kila mtu avunje sheria na afanye anavyotaka. Ukitaka kutembea uchi uko huru. Ukitaka kuendesha gari bila Leseni rukhusa.?
Ni LINI ALIAGIZA SHERIA zivunjwe?
Tuwe fair jamani.
 
Ni bora tubaki kuwa maskini lakini tuwe na rasilimali zetu intact, kuliko tuendekee kuwa maskini na rasilimali zetu zinachuliwa bureee kwa manufaa ya watu wachake bila kutuletea tija watanzania.
 
Ni bora tubaki kuwa maskini lakini tuwe na rasilimali zetu intact, kuliko tuendekee kuwa maskini na rasilimali zetu zinachuliwa bureee kwa manufaa ya watu wachake bila kutuletea tija watanzania.
Nimekuelewa hata hivyo hatutabaki MASKINI maana TUMEAMKA. Kitendo ama jambo alilofanya Rais Magufuli na kuteua kamati na kutoa ripoti yao halisi. ITAWAFANYA WAWEKEZAJI wa KIGENI kuwa waangalifu. Na WATAOGOPA kutuibia tena. Maana wanajua watawekwa HADHARANI.
 
Mkuu;
Litakuwa bomu kama:
Serekali ilijua kuwa mchanga huo ulikuwa na hayo madini mengine yoote halafu ikaridhia. Tutaulizwa, nilificha nini zaidi?? Hayo madini mengine niliyopata huko, haya hapa sijawahi kuuza hata robo kilo.
Pili, Je, kama ikionekana kuwa kiasi walichokuwa wana declare ni cha chini, itakuwaje bomu?? Ndg, hii ndio opportunity yetu ya kuibadili mikataba yoote ya madini na mambo mengine kama Gas. Usiogope. Hata kama tumeleta figisu, watajua kuwa bado kidogo kutakucha kwetu. Nadhani, kutokana na hili, hata siri nyingine kule migodini zimewekwa wekwa wazi kidogo. Sales lazima zimeongezeka kidogo na mrahaba wetu umeongezeka kidogo. Ukichanganya na 10% iliyozibwa tena, mambo yatanyooka tu.
Kuna mambo mengi MIGODINI ambayo nayo YATAJULIKANA tu.
 
Watakuja wengi humu Bw. shige2, wasio wazalendo, waliochukia na wanaochukia kukomesha hujumu uchumi, ni wengi lakini ni ka % kadogo kalikojilimbikizia mali za mvuja jasho, wenye nyumba 40 na magari 10!
Labda wahame nchini aise, ila wanaye MAGUFULI JEMBE
 
Watakuja wengi humu Bw. shige2, wasio wazalendo, waliochukia na wanaochukia kukomesha hujumu uchumi, ni wengi lakini ni ka % kadogo kalikojilimbikizia mali za mvuja jasho, wenye nyuma 40 na magari 10!
Labda wahame nchini aise, ila wanaye MAGUFULI JEMBE
Hao ndo utawasikia humu humu wakipaza na SAUTI zao JUU wakipiga kelele za LAWAMA na KULAUMU tu. Hata jambo zuri kama hili.

Nakubaliana nawe ni% WACHACHE sana. Wanaweza kuwa ni 0.005% ya hao MATAPELI wasio na Uzalendo.
Uzalendo wao ni matumbo yao.
Inasikitisha sana.
 
Watu wengine uelewa wao na uzalendo ni mdogo sana.
Magufuli anaenda kulitia taifa hasara kubwa sana kwenye kesi ya arbitration na makampuni ya madini London ambayo atashindwa kwa sababu yeye mwenyewe alipitisha mikataba mibovu alipokuwa waziri serikali zilizopita.

Ametuingiza mkenge mara mbili.

Mara ya kwanza kwa kukubali mikataba mibovu na kukaa kimya akiwa waziri.

Mara ya pili kwa kuvunja mikataba kiholela na kuwapa wawekezaji haki ya kushinda kesi na kuidai serikali hela nyingi kama habari za IPTL,

Halafu hapo hapo wananchi wa Tanzania wanamshangilia kwa kukosa habari za nini kinaendelea.

Na mtu anayeshutumu ujinga huu anaambiwa kakosa uzalendo.
 
Magufuli anaenda kulitia taifa hasara kubwa sana kwenye kesi ya arbitration na makampuni ya madini London ambayo atashindwa kwa sababu yeye mwenyewe alipitisha mikataba mibovu alipokuwa waziri serikali zilizopita.

Ametuingiza mkenge mara mbili.

Mara ya kwanza kwa kukubali mikataba mibovu na kukaa kimya akiwa waziri.

Mara ya pili kwa kuvunja mikataba kiholela na kuwapa wawekezaji haki ya kushinda kesi na kuidai serikali hela nyingi kama habari za IPTL,

Halafu hapo hapo wananchi wa Tanzania wanamshangilia kwa kukosa habari za nini kinaendelea.

Na mtu anayeshutumu ujinga huu anaambiwa kakosa uzalendo.

They are taking him for a long ride. Peter Munk is laughing straight to the bank.

Watu wanaeka ushabiki tu. Leo Venezuela wanavunja sanamu za Chavez. Muda utaongea.
 
Kama watu wangeelewa Mgogoro wa Richmond na IPTL wasingeshangilia matukioa haya,tukumbuke kuwa Richmond na IPTL Zinalipwa bila hata kuzalisha umeme,.Dhamira ni nzuri lkn NJIA si sahihi,angeanza na marekebisho ya sheria na mikataba ndipo hatua zingine zingefuata
 
Magufuli hakutumia oxymoron/Ujanja ujanja katika ili kucheza na MANENO ama MATAMSHI ili kuleta effect fulani. Na HATUTAKI oxymoron behaviour.

Magufuli ALIONGEA BILA MAFUMBO wala figure of speech like oxymoron.
Uzuri wa Magufuli ni mmoja.

Yeye akiona kitu ni kibaya ni kibaya na ikiwa ni kizuri ni kizuri. Hakuwagi na NJIA PANDA. Yuko straight hata kama utanuna. Yeye amemaliza.
vipi nyumba za umma walizojibinafisisha atazirejesha kwa wenye mali - umma? Alifanya hivyo, basi nitakuwa wa kwanza kukimbilia hapa JF-Siasa kukuunga mkono kwa 100%
 
Haku

hakuna chochote zaidi ya siasa za kijinga za kuua nchi
Kwa
Magufuli anaenda kulitia taifa hasara kubwa sana kwenye kesi ya arbitration na makampuni ya madini London ambayo atashindwa kwa sababu yeye mwenyewe alipitisha mikataba mibovu alipokuwa waziri serikali zilizopita.

Ametuingiza mkenge mara mbili.

Mara ya kwanza kwa kukubali mikataba mibovu na kukaa kimya akiwa waziri.

Mara ya pili kwa kuvunja mikataba kiholela na kuwapa wawekezaji haki ya kushinda kesi na kuidai serikali hela nyingi kama habari za IPTL,

Halafu hapo hapo wananchi wa Tanzania wanamshangilia kwa kukosa habari za nini kinaendelea.

Na mtu anayeshutumu ujinga huu anaambiwa kakosa uzalendo.
Mkuu
1.Magufuli hajawahi kuwa WAZIRI wa MADINI. Na katika mikataba hiyo hakuhusika.

2.Akiwa waziri. Maoni yake YALIPUUZWA japokuwa alikuwa na a lot of reservations ya mikataba hiyo MIBOVU.
Kupuuzwa huko kulitokana na UTAWALA uliokuwepo.
By the way SI kila kitu kinachozungumzwa katika baraza la Mawaziri huwa kinawekwa wazi. Ndo maana alipoona mambo mengine hayaendi sawa akafanya alivyofanya kama Waziri sababu ya UCHUNGU wa kuona Watanzania WANADHURUMIWA wazi wazi.

3. In case haya makampuni yatafute kesi ya arbitration ambayo nina UHAKIKA HAWAWEZI kutokana na sababu zilizo wazi na MADHARA ya kufuata njia kama hiyo.

Maana the EVIDENCE against them is too overwhelming na inaweza ku work in FAVOUR of The United RPT. Subsequently costing them a lot.

4. Mikataba na makampuni ALWAYS can be revisited and revised as needs arise.
Mfano Trump Ametumia EXECUTIVE powers/ yaani MAMLAKA ya KIRAIS KUVUNJA mikataba MIBOVU iliyowekwa na WATANGULIZI WAKE ili kuhakikisha Marekani HAWAIBIWI kiholela holela tu.
Na wananchi wamefurahia hatua hizo.

Hata kwetu Kuna VIFUNGU vya sheria VINAVYOMPA RAIS EXECUTIVE powers KU REVISIT mikataba mingine MIBOVU kama hii.
 
vipi nyumba za umma walizojibinafisisha atazirejesha kwa wenye mali - umma? Alifanya hivyo, basi nitakuwa wa kwanza kukimbilia hapa JF-Siasa kukuunga mkono kwa 100%
Mkuu, tusitoke kwenye mada. Tujenge kwanza KUTA za MADINI yetu. Mambo mengine yatatutoa kwenye mwelekeo.
 
Kufunga marafiki waliofanya ufisadi siyo udikteta ni kufuata utawala wa sheria. Kumfukuza muhongo aliyeshindwa kusimamia wizara ni jambo zuri na si udikteta, Ila kumkingia kifua mtu mwenye vyeti feki ndiyo udikteta
 
Kwa

Mkuu
1.Magufuli hajawahi kuwa WAZIRI wa MADINI. Na katika mikataba hiyo hakuhusika.

Mikataba hii ilizungumzwa na kupitishwa katika level ya cabinet. Hivyo alihusika.

2.Akiwa waziri. Maoni yake YALIPUUZWA japokuwa alikuwa na a lot of reservations ya mikataba hiyo MIBOVU.
Kupuuzwa huko kulitokana na UTAWALA uliokuwepo.

Kanuni za collective responsibility zinasema hivi, ukipingana na kitu, ama mawazo yako yatakubalika ama yatapuuzwa.

Yakikubalika unaendelea na kazi na una ownership ya maamuzi.

Yakipuuzwa una uamuzi wa kufanya. Ama ukubaliane na kupuuzwa huko na uendelee na kazi, ama ujiuzulu na kupinga mambo kutoka nje.

Magufuli alikuwa na nafasi ya kujiuzulu uwaziri na kusema mabaya haya akiwa nje. Hakuthubutu kufanya hivyo.

Maana yake alikubaliana na maamuzi.
By the way SI kila kitu kinachozungumzwa katika baraza la Mawaziri huwa kinawekwa wazi. Ndo maana alipoona mambo mengine hayaendi sawa akafanya alivyofanya kama Waziri sababu ya UCHUNGU wa kuona Watanzania WANADHURUMIWA wazi wazi.

Angekuwa na uchungu angejioa uwaziri abaki mbunge backbencher aweze kuinanga serikali vizuri. Mikataba mikubwa kama hii katika ngazi ya cabinet mawaziri wanaiona, kusema kuna mambo hayako wazi ni kumtetea tu.

3. In case haya makampuni yatafute kesi ya arbitration ambayo nina UHAKIKA HAWAWEZI kutokana na sababu zilizo wazi na MADHARA ya kufuata njia kama hiyo.

Una uhakika hawawezi wakati watu washaanza kazi hiyo?

Maana the EVIDENCE against them is too overwhelming na inaweza ku work in FAVOUR of The United RPT. Subsequently costing them a lot.

Evidence gani against them? Unajua mikataba iliwaruhusu kuchukua mchanga na Magufuli kukataza kuchukua mchanga anavunja mikataba?
4. Mikataba na makampuni ALWAYS can be revisited and revised as needs arise.
Mfano Trump Ametumia EXECUTIVE powers/ yaani MAMLAKA ya KIRAIS KUVUNJA mikataba MIBOVU iliyowekwa na WATANGULIZI WAKE ili kuhakikisha Marekani HAWAIBIWI kiholela holela tu.
Na wananchi wamefurahia hatua hizo.

Mikataba inavunjwa. Evo Morales wa Bolivia kavunja mikataba mibovu. Alichofanya - ambacho ndicho kitu Trump anafanya sasa- ni kuitoa Bolivia katika international conventions ambazo Bolivia ni signatory kwanza, mikataba hii ndiyo inashurutisha nchi kufanya hivi na vile etc.Ukishajitoa katika hizo conventions, then unaweza kuvunja mikataba na makampuni.

Magufuli kavunja mikataba na makampuni kabla ya kujitoa katika conventions. Wawekezaji wanamcheka kwa ujinga wake.

Inawezekana kabisa wamechimba mchanga mpaka umekwisha, sasa unakwisha, Magufuli anavunja mkataba, deal lao linaendelea sasa watalipwa kwa sababu Magufuli kavunja mkataba hata kama mchanga umeisha.
Hata kwetu Kuna VIFUNGU vya sheria VINAVYOMPA RAIS EXECUTIVE powers KU REVISIT mikataba mingine MIBOVU kama hii.

Executive power ya rais haina nguvu kwa wawekezaji wenye mikataba ya kimataifa, atashitakiwa London na kushindwa kesi na kuambiwa alipe fidia. Waziri wa Magufuli alikwenda Mgodini na kumtisha James Sinclair KI Magufuli Magufuli kwamba atafunga mgodi, James Sinclair akamwambia "Go ahead, make my day, nitakupiga daflao la "Force Majeure" ushindwe kujua nini kimekupiga.

Waziri akanywea sikusikia kumfuatilia Sinclair
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom