Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,247
Tupo pamoja.JIBU ni rahisi. Katika serikali kuna WATU wengi. Mawaziri wa WIZARA hizo za MADINI katika kipindi chote WACHUNGUZWE na kuchukuliwa hatua bili kujali kuwa yeye ni wa CCM ama mjomba wa CCM. Maana Ufisadi hauna CHAMA.Then WAWEKEZAJI nao washughukikiwe.