Katika hili Magufuli uwe DIKTETA

Kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Kama yupo at all?
Swali hili limeulizwa sana. Lakini nitajibu kulingana na kitabu kitakatifu Biblia ambacho kinasema. Wakati Mungu alimuumba mwanadamuwa Kwanza Adam na EVA aliwapa masharti ili wa yatimize.

Lakini WAKADANGANYWA na baba wa uongo SHETANI naye akwa MTAWALA wa dunia. Ndo maana MAOVU yanayofanyika yanafanyika kwa uongozi wa Baba wa uongo.

ISIPOKUWA wale WALIOMWAMINI YESU shetani HANA mamlaka juu yao maana WAO WANATAWALIWA na ufalme wa NURU ya Mungu kupitia ushindi wa Yesu msalabani na KUFUFUKA kwake.

Ndo maana WALOKOLE HAWAOGOPI WACHAWI na WALA nguvuza UCHAWI. Maana damu ya Yesu ina nguvu kuliko majini na mashetani na mkuu wao ambaye ni Shetani.
 
Kaanduka Tundu Lissu haya maneno.

*MAJIBU YA LISSU KWA MAKADA WA CCM*

Khamnemba.

Na mimi ni Mtanzania pia.

Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.

Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji wa Mtakuja.

Nadhani nilikuwa wa kwanza katika nchi hii kupiga yowe kwamba tutaibiwa sana kwenye sekta ya madini.

Wewe sijui ulikuwa wapi wakati huo. Najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa MaCCM na wawekezaji hawa.

Nimepigana na wawekezaji hawa mahakamani, kwenye medani ya kisiasa ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 15. Nimetetea wananchi completely free of charge Bulyanhulu, Tarime, Nzega, Geita, n.k.

Sijui wewe ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa upande wa nani: wa MaCCM na wanyonyaji hawa.

Soma Rai ya tarehe 17 Julai, 2001, uone tulimwambia nini Mkapa siku anaenda kuzindua Mgodi wa Bulyanhulu.

Sijui ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa wapi: alikuwa anatetea tumbo lake na matumbo ya wanyonyaji hawa.

Nilikamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi kwa sababu ya Bulyanhulu. Hiyo ilikuwa December 2002. Nilikaa na kesi hiyo mahakamani Kisutu kwa miaka sita.

Sijui ulikuwa wapi ila najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa watesi wa wananchi na wanyonyaji wa rasilmali zetu.

Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.

Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.

Mimi ninampinga hadharani. Sio mnafiki, na sijahongwa. Ninampinga kwa sababu atatusababishia matatizo makubwa zaidi kuliko tuliyonayo sasa.

Huo mchanga atauachia upelekwe ambako umepelekwa kwa miaka 16 iliyopita. Kama sheria ndiyo hiyo na mikataba ndiyo hiyo hana pakwenda.

Tatizo ninaloliona ni kwamba by the time anawarudishia mchanga wao, Tanzania itakuwa imekuwa a basket case kama Zimbabwe.

Na tutakuwa tumelipishwa mapesa mengi kama fidia na arbitral tribunals za kimataifa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji hawa.

Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.

Ripoti ya Prof. Mruma haitamaliza hata nusu saa under serious scrutiny. Zaidi ya majina ya maprofesa walioiandaa, ripoti hii haina credibility yoyote. Ni kazi ya kisiasa iliyopakwa rangi ya usomi.

Kama umefuatilia taarifa za kitaalamu za Bulyanhulu hata kabla ya Barrick Gold kuingia mwaka '99 utajua ninasema nini.

Sutton Resources, Outukumpu Oy na hata STAMICO walishafanya utafiti mkubwa juu ya utajiri wa Bulyanhulu. Taarifa zipo na zimekuwepo kwa hata mbumbumbu wa jiolojia ya madini kama mimi.

Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered.

Tunaibiwa kwenye sheria. Kama hamuoni hilo then God have mercy on us.
Mkuu nimependa ulivyopanga na kueleza kinaga ubaga the effects. Na zaidi kuwa ulikuwa miongoni mwa wale waliokuwa forefront katika kutetea WANYONGE na ikakugharimu kuwekwa ndani. Polebsana. And for that I do commend you 100%

Hata hivyo SIKUBALIANI nawe kwamba we could heading ZIMBABWE way.Haiwezi kutokea under our watch. Reasons being, Magufuli na Mugabe ni watu wawili tofauti kabisa.

Pendekezo langu ambalo ningetoa kwako badala ya kuwa BITTER/Na UCHUNGU moyoni toa mawazo yako kama MTANZANIA.
Na wala si ADUI ama kama mtu mwenye CHUKI dhidi ya Magufuli na style yake ya utawala.

Ripoti iliyotolewa huwezi kui rubbish entirely as RUBBISH in its contents just kwa sababu HUKUBALIANI na the FINDINGS zao na what yuo went through wakati wa predicament zako huko Nzega na Bulyankulu.
What are your alternatives advice without prejudice against Magufuli's uamuzi?
 
Not sure kama Mh. TL yupo humu ndani. Angetupa mengi humu bila kupiga siasa!!
 
Not sure kama Mh. TL yupo humu ndani. Angetupa mengi humu bila kupiga siasa!!
Naamini kama naye ni Mzalendo wa kweli pia naye ripoti hii imemkasirisha. Hebu atoe ya moyoni tusikie.
 
*MAJIBU YA LISSU KWA MAKADA WA CCM*

Na mimi ni Mtanzania pia.

Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.

Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji wa Mtakuja.

Nadhani nilikuwa wa kwanza katika nchi hii kupiga yowe kwamba tutaibiwa sana kwenye sekta ya madini.

Wewe sijui ulikuwa wapi wakati huo. Najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa MaCCM na wawekezaji hawa.

Nimepigana na wawekezaji hawa mahakamani, kwenye medani ya kisiasa ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 15. Nimetetea wananchi completely free of charge Bulyanhulu, Tarime, Nzega, Geita, n.k.

Sijui wewe ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa upande wa nani: wa MaCCM na wanyonyaji hawa.

Soma Rai ya tarehe 17 Julai, 2001, uone tulimwambia nini Mkapa siku anaenda kuzindua Mgodi wa Bulyanhulu.

Sijui ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa wapi: alikuwa anatetea tumbo lake na matumbo ya wanyonyaji hawa.

Nilikamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi kwa sababu ya Bulyanhulu. Hiyo ilikuwa December 2002. Nilikaa na kesi hiyo mahakamani Kisutu kwa miaka sita.

Sijui ulikuwa wapi ila najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa watesi wa wananchi na wanyonyaji wa rasilmali zetu.

Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.

Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.

Mimi ninampinga hadharani. Sio mnafiki, na sijahongwa. Ninampinga kwa sababu atatusababishia matatizo makubwa zaidi kuliko tuliyonayo sasa.

Huo mchanga atauachia upelekwe ambako umepelekwa kwa miaka 16 iliyopita. Kama sheria ndiyo hiyo na mikataba ndiyo hiyo hana pakwenda.

Tatizo ninaloliona ni kwamba by the time anawarudishia mchanga wao, Tanzania itakuwa imekuwa a basket case kama Zimbabwe.

Na tutakuwa tumelipishwa mapesa mengi kama fidia na arbitral tribunals za kimataifa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji hawa.

Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.

Ripoti ya Prof. Mruma haitamaliza hata nusu saa under serious scrutiny. Zaidi ya majina ya maprofesa walioiandaa, ripoti hii haina credibility yoyote. Ni kazi ya kisiasa iliyopakwa rangi ya usomi.

Kama umefuatilia taarifa za kitaalamu za Bulyanhulu hata kabla ya Barrick Gold kuingia mwaka '99 utajua ninasema nini.

Sutton Resources, Outukumpu Oy na hata STAMICO walishafanya utafiti mkubwa juu ya utajiri wa Bulyanhulu. Taarifa zipo na zimekuwepo kwa hata mbumbumbu wa jiolojia ya madini kama mimi.

Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered.

Tunaibiwa kwenye sheria. Kama hamuoni hilo then God have mercy on us.



Copy n paste
 
Wakati Magu akiwa Waziri asingeweza kukataa. Sasa kapata fursa ndio maana kuwapiga. Wanalo hilo linawahusu. Prof. dhambi ya ukabila ukanda haitomuacha salama. dawa yake ni kuomba msamaha kwa watu aliowakosea. nasisitiza dalili ya kuokota chupa za plastic inamnyemelea. kule alikoficha hela watamdhulumu au mamlaka itamnyang'anya.
 
Kaanduka Tundu Lissu haya maneno.

*MAJIBU YA LISSU KWA MAKADA WA CCM*

Khamnemba.

Na mimi ni Mtanzania pia.

Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.

Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji wa Mtakuja.

Nadhani nilikuwa wa kwanza katika nchi hii kupiga yowe kwamba tutaibiwa sana kwenye sekta ya madini.

Wewe sijui ulikuwa wapi wakati huo. Najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa MaCCM na wawekezaji hawa.

Nimepigana na wawekezaji hawa mahakamani, kwenye medani ya kisiasa ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 15. Nimetetea wananchi completely free of charge Bulyanhulu, Tarime, Nzega, Geita, n.k.

Sijui wewe ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa upande wa nani: wa MaCCM na wanyonyaji hawa.

Soma Rai ya tarehe 17 Julai, 2001, uone tulimwambia nini Mkapa siku anaenda kuzindua Mgodi wa Bulyanhulu.

Sijui ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa wapi: alikuwa anatetea tumbo lake na matumbo ya wanyonyaji hawa.

Nilikamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi kwa sababu ya Bulyanhulu. Hiyo ilikuwa December 2002. Nilikaa na kesi hiyo mahakamani Kisutu kwa miaka sita.

Sijui ulikuwa wapi ila najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa watesi wa wananchi na wanyonyaji wa rasilmali zetu.

Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.

Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.

Mimi ninampinga hadharani. Sio mnafiki, na sijahongwa. Ninampinga kwa sababu atatusababishia matatizo makubwa zaidi kuliko tuliyonayo sasa.

Huo mchanga atauachia upelekwe ambako umepelekwa kwa miaka 16 iliyopita. Kama sheria ndiyo hiyo na mikataba ndiyo hiyo hana pakwenda.

Tatizo ninaloliona ni kwamba by the time anawarudishia mchanga wao, Tanzania itakuwa imekuwa a basket case kama Zimbabwe.

Na tutakuwa tumelipishwa mapesa mengi kama fidia na arbitral tribunals za kimataifa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji hawa.

Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.

Ripoti ya Prof. Mruma haitamaliza hata nusu saa under serious scrutiny. Zaidi ya majina ya maprofesa walioiandaa, ripoti hii haina credibility yoyote. Ni kazi ya kisiasa iliyopakwa rangi ya usomi.

Kama umefuatilia taarifa za kitaalamu za Bulyanhulu hata kabla ya Barrick Gold kuingia mwaka '99 utajua ninasema nini.

Sutton Resources, Outukumpu Oy na hata STAMICO walishafanya utafiti mkubwa juu ya utajiri wa Bulyanhulu. Taarifa zipo na zimekuwepo kwa hata mbumbumbu wa jiolojia ya madini kama mimi.

Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered.

Tunaibiwa kwenye sheria. Kama hamuoni hilo then God have mercy on us.
Tundu Lisu naye anatafuta umaarufu tu. Amekuwa wapi siku zote?
 
Watu waoga kama nini hivi kwani lazima madini yetu yachimbwe hata kama watatutia hasara its better na watajua Tz ya sasa sio ile
 
Wakati Magu akiwa Waziri asingeweza kukataa. Sasa kapata fursa ndio maana kuwapiga. Wanalo hilo linawahusu. Prof. dhambi ya ukabila ukanda haitomuacha salama. dawa yake ni kuomba msamaha kwa watu aliowakosea. nasisitiza dalili ya kuokota chupa za plastic inamnyemelea. kule alikoficha hela watamdhulumu au mamlaka itamnyang'anya.
Mkuu hebu weka wazi tukuelewe. Umeandika vizuri lakini haileweki unamlenga nani hasa. Hapa kuna neno Prof Dhambi ya ukabila huyo ni nani mkuu?
 
Watu waoga kama nini hivi kwani lazima madini yetu yachimbwe hata kama watatutia hasara its better na watajua Tz ya sasa sio ile
Well said. I hope hawa jamaa watajua kuwa sasa Tanzania IMEAMKA toka usingizini.
No more games..
 
Halafu kuna watu nchi hiii wanajifanya,wazalendo wanaelewa au wanazijua sheria ila wamekosa busara,Jambo lolote likitokea wanakazana kuteka midia kwa mawazo yao,Badala ya kufanya utaratibu wa kuonana na Rais ili washauriane,wao kazi kulaumu TU,mbona wana nguvu sana kuomba kuonana na Rais wala hawawez kuzuiwa,kwangu Mimi staili ya maisha waliyoichagua ndiyo inayofanya kuwe na tofauti ya malengo baina ya pande hizi mbili.Hakuna wa kupona.
 
Halafu kuna watu nchi hiii wanajifanya,wazalendo wanaelewa au wanazijua sheria ila wamekosa busara,Jambo lolote likitokea wanakazana kuteka midia kwa mawazo yao,Badala ya kufanya utaratibu wa kuonana na Rais ili washauriane,wao kazi kulaumu TU,mbona wana nguvu sana kuomba kuonana na Rais wala hawawez kuzuiwa,kwangu Mimi staili ya maisha waliyoichagua ndiyo inayofanya kuwe na tofauti ya malengo baina ya pande hizi mbili.Hakuna wa kupona.
Mkuu hapo umenena kweli.
 
Wana JF kulingana na ripoti iliyotolewa leo na tume ya rais kuhusu MCHANGA ambao kwa miaka 17 tumekuwa tukiibiwa kama nchi ukiwa na MADINI mbali mbali na kuwa undervalued ili tuibiwe, IMEKASIRISHA sana kila mtu.
Katika hili sitakuwa nimekosea kumwomba Magufuli awe DIKITETA MZURI/BENEVOLENT dictator.

Aina hii ya UDIKTETA huwa INAKUBALIKA maana huwa ni ya mtu anayetaka kuwafanyia WANANCHI wake MAZURI kwa MANUFAA ya taifa lake.

Tunaweza kuiga mfano wa aliyekuwa mwanzilishi wa taifa la Singapore. "Lee Kuan Yew"
Yeye aliwafukuza kazi na hata KUWAFUNGA JELA RAFIKI zake na jamaa zake waliojihusisha na UFISADI.

Na kuiweka nchi yake katika ulimwengu wa KWANZA/ First world na kipato kikubwa zaidi ya baadhi ya nchi za ULAYA.

Ni nini kilichomsaidia? Ni udikteta mzuri. Hakuwa na huruma.
Jambo la kwanza KABLA ya yote FREEZE/ZIFUNGE ACCOUNT zao zote za WATUHUMIWA zilizo na FEDHA NYINGI ambazo source yake ni ya MASHAKA.


Magufuli ukicheka na mtu Tanzania HAITABADILIKA.
Kuagiza vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi ni vizuri. Lakini KUFUATILIA na KUTENDEA kazi MAAGIZO yako hilo nalo ni lingine.Things should start rolling ASAP& NOW!

Mfano mwingine ni ule wa juzi Juzi wa Rais mpya wa Gambia ame FREEZE Dola millioni 50 zilizokuwa ZIMEIBIWA na rais aliyetoka madarakani Jammeh.

Ukitaka nchi INYOOKE. Ni VIZURI Watanzania waanze kuona MALI ZAO na FEDHA zao zilizoibiwa ZIKIRUDISHWA serikalini. BILA kuwa na HURUMA huyu ni mtoto wa nani ama alikuwa nani.
Usipokuwa DIKTETA mzuri sasa basi Tanzania HATUTAPATA MWINGINE tena.

WACHACHE watalia lakini MAMILIONI ya Watanzania WATAKUPENDA na kusema UMETUOKOA.
Mungu IBARIKI Tanzania na Rais Magufuli
Tusije tukajikuta tumekuwa zaidi ya Zimbabwe mkuu mikata iheshimiwe maana wakati inapitishwa hata yeye alikuwepo bungeni mbona hatukumuona kupinga au kuumizwa na hio mikataba mibovu wazungu sio wajinga kiasi hiko udikteta hausaidii zamahizi za utandawazi unaweza jikuta unawaweka wananchi wako katika thiki kubwa kama ilivyo Zimbabwe anaweza kukaa mezani na hao wafanya biashara wakayamaliza kisheria sio utemi na ubabe kama anaowafanyia watumishi nk iliswala nilakisheria zaidi
 
Hapo hakuna udikteta ni usanii tu uliopo na hakuna kitakachofanyika kipya, mtahadaiwa kama kwenye report ya mchanga bhasi, miaka kumi inafika anaondoka zake mnabaki mnalia
 
Tusije tukajikuta tumekuwa zaidi ya Zimbabwe mkuu mikata iheshimiwe maana wakati inapitishwa hata yeye alikuwepo bungeni mbona hatukumuona kupinga au kuumizwa na hio mikataba mibovu wazungu sio wajinga kiasi hiko udikteta hausaidii zamahizi za utandawazi unaweza jikuta unawaweka wananchi wako katika thiki kubwa kama ilivyo Zimbabwe anaweza kukaa mezani na hao wafanya biashara wakayamaliza kisheria sio utemi na ubabe kama anaowafanyia watumishi nk iliswala nilakisheria zaidi
Nimekupata. Wazo lako ni zuri. Ila rais wetu ni tofauti na Mugabe ambaye yeye ndo mbabe.
 
Hapo hakuna udikteta ni usanii tu uliopo na hakuna kitakachofanyika kipya, mtahadaiwa kama kwenye report ya mchanga bhasi, miaka kumi inafika anaondoka zake mnabaki mnalia
Manyalla. Si kweli usemavyo. Hapo hamna usanii. Ni usanii wa aina gani wa kuweka jambo ama ripoti LIVE kwenye vyombo vya habari kama Magufuli hawa anamaanisha?
 
*MAJIBU YA LISSU KWA MAKADA WA CCM*

Na mimi ni Mtanzania pia.

Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.

Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji wa Mtakuja.

Nadhani nilikuwa wa kwanza katika nchi hii kupiga yowe kwamba tutaibiwa sana kwenye sekta ya madini.

Wewe sijui ulikuwa wapi wakati huo. Najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa MaCCM na wawekezaji hawa.

Nimepigana na wawekezaji hawa mahakamani, kwenye medani ya kisiasa ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 15. Nimetetea wananchi completely free of charge Bulyanhulu, Tarime, Nzega, Geita, n.k.

Sijui wewe ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa upande wa nani: wa MaCCM na wanyonyaji hawa.

Soma Rai ya tarehe 17 Julai, 2001, uone tulimwambia nini Mkapa siku anaenda kuzindua Mgodi wa Bulyanhulu.

Sijui ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa wapi: alikuwa anatetea tumbo lake na matumbo ya wanyonyaji hawa.

Nilikamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi kwa sababu ya Bulyanhulu. Hiyo ilikuwa December 2002. Nilikaa na kesi hiyo mahakamani Kisutu kwa miaka sita.

Sijui ulikuwa wapi ila najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa watesi wa wananchi na wanyonyaji wa rasilmali zetu.

Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.

Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.

Mimi ninampinga hadharani. Sio mnafiki, na sijahongwa. Ninampinga kwa sababu atatusababishia matatizo makubwa zaidi kuliko tuliyonayo sasa.

Huo mchanga atauachia upelekwe ambako umepelekwa kwa miaka 16 iliyopita. Kama sheria ndiyo hiyo na mikataba ndiyo hiyo hana pakwenda.

Tatizo ninaloliona ni kwamba by the time anawarudishia mchanga wao, Tanzania itakuwa imekuwa a basket case kama Zimbabwe.

Na tutakuwa tumelipishwa mapesa mengi kama fidia na arbitral tribunals za kimataifa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji hawa.

Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.

Ripoti ya Prof. Mruma haitamaliza hata nusu saa under serious scrutiny. Zaidi ya majina ya maprofesa walioiandaa, ripoti hii haina credibility yoyote. Ni kazi ya kisiasa iliyopakwa rangi ya usomi.

Kama umefuatilia taarifa za kitaalamu za Bulyanhulu hata kabla ya Barrick Gold kuingia mwaka '99 utajua ninasema nini.

Sutton Resources, Outukumpu Oy na hata STAMICO walishafanya utafiti mkubwa juu ya utajiri wa Bulyanhulu. Taarifa zipo na zimekuwepo kwa hata mbumbumbu wa jiolojia ya madini kama mimi.

Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered.

Tunaibiwa kwenye sheria. Kama hamuoni hilo then God have mercy on us.



Copy n paste
USHAURI na inputs zake ni zipi basi?
 
Back
Top Bottom