Katika hili Magufuli uwe DIKTETA

Katika hili Magufuli uwe DIKTETA

Soma KAMUSI ya kiingereza na ujue maana ya TOFAUTI hizo badala ya kujibu kwa lawama.
Kamusi gani na maneno gani?

Unaishi kwa kamusi wakati kamusi zote zilizochapushwa zishapitwa na wakati?

Nini kamusi, gazeti la keo tu lishapitwa na wakati, maana limechapishwa jana usiku na kuna mambo mapya yanatokea leo.

Acha kukariri.
 
Kamusi gani na maneno gani?

Unaishi kwa kamusi wakati kamusi zote zilizochapushwa zishapitwa na wakati?

Nini kamusi, gazeti la keo tu lishapitwa na wakati, maana limechapishwa jana usiku na kuna mambo mapya yanatokea leo.

Acha kukariri.
Dah! Nawe ni mwingine
 
"Benevolent Dictator" is an oxymoron.

Benevolence is a magnificent character that would diminish itself the more you associate it with dictatorship.

Lord Acton said "Power corrupts, and absolute power corruots absolutely". Heed that.

Allowing someone to be a dictator is like clumbing in the back of a tiger with the untent of goung sinewhere fast, you may get anywhere (including where you want to go( but you may find stopping the tiger to get iff at your station unmolested is extremely hard.

Magufuli is a madman without even being a dictator, now you want him to go stir crazy?
While I agree with you that Power corrupts. However when POWER is used WISELY with good intention the results are tremendous just like Singaporean President Lee Kuan Yew. He used power wisely and changed his country.
 
While I agree with you that Power corrupts. However when POWER is used WISELY with good intention the results are tremendous just like Singaporean President Lee Kuan Yew. He used power wisely and changed his country.
So how can you ensure that power is used wisely by a nadman like Magufuli?

Unafahamu Magufuli kashawahi kuwaambia polisi wavunje sheria wakati yeye kaapishwa kutetea utawala wa sheria?

Na hapo hujampa udikteta bado.

Sasa mtu kama huyu ukimoa udikteta akiamua kuua Watanzania fulani ili kusiwe na population explosion na mipangobya uchuminiende vizuri utamsimamishaje? Na udikteta ushampa.

Hapi hujampa udikteta kaisigina katiba mara saba mara sabini na saba. Ukimpa udikteta utajuaje kwamba hatageuka Mfalme Caligula?

Unataka kugeza tembo kunya kama Singapore wakati Magufuli ni gubegube hajui kwamba Saddam Hussein hakuwa rais wa Kuwait?
 
Kama ripoti hii HAIKUKUGUSA basi huna mapenzi mema na nchi hii.
Riport ambayo kila mtu alilia na kulipigia kelele hilo jambo??!!

Nyie ndo wale wanawake mnaopanga sherehe za kuvishwa Pete za uchumba, alafu mnapovalishwa mnajifanya kushangaa.

Kuhusu mchanga huo, ni vitu ambavyo vilikua wazi kabisa. Ni sawa na gas ya mtwara.

Wapinzani walipokua wakilia bungeni, haohao mnawasifia leo, ndio waliokua wanapinga hoja nzito za kulijomboa taifa.

Nitatoa mfano wa walichokua wanalia wapinzani bungeni. Ni sakata la miswaada ya gas kuingia bungeni kama hati ya dharula. Wapinzani walipinga hilo suala mpaka wakaamua kutoka nje baada ya kuona hawasikilizwi na hao mnaowaona wakombozi leo.

Kwahiyo, hapo hakuna jipya. Ni kujitekenya na kucheka
 
Ahsante mkuu. Kama nilielewa vizuri. Kamati haikusema a kutaja jina za Kampuni bali UKIUKWAJI unaouhusika na KU DECLARE kiukamilifu bila kudanganya.

Hiii ni kusema Rais anajaribu kuwafanya wawe na UWAZI badala ya UJANJA. Kwa muda MREFU AFRIKA imebaki nyuma kwa vitunkama hivi. Ni vizuri akawa FIRM iki yeyote atakayetaka kufanya biashara na sisi atajua huko Tanzania HAMNA UJANJA

Makongena yote ni ya Kampuni moja tu ACACIA au Barrick
 
Riport ambayo kila mtu alilia na kulipigia kelele hilo jambo??!!

Nyie ndo wale wanawake mnaopanga sherehe za kuvishwa Pete za uchumba, alafu mnapovalishwa mnajifanya kushangaa.

Kuhusu mchanga huo, ni vitu ambavyo vilikua wazi kabisa. Ni sawa na gas ya mtwara.

Wapinzani walipokua wakilia bungeni, haohao mnawasifia leo, ndio waliokua wanapinga hoja nzito za kulijomboa taifa.

Nitatoa mfano wa walichokua wanalia wapinzani bungeni. Ni sakata la miswaada ya gas kuingia bungeni kama hati ya dharula. Wapinzani walipinga hilo suala mpaka wakaamua kutoka nje baada ya kuona hawasikilizwi na hao mnaowaona wakombozi leo.

Kwahiyo, hapo hakuna jipya. Ni kujitekenya na kucheka
Na ndo maana rais ameanza kuyashughulikia akianzia na hili.
 
Na ndo maana rais ameanza kuyashughulikia akianzia na hili.
Ndio maana nasema hakuna jipya hata kama kaanza maana waliyapitisha wenyewe. Upinzani walipopinga walionekana mabwege
 
Ndio maana nasema hakuna jipya hata kama kaanza maana waliyapitisha wenyewe. Upinzani walipopinga walionekana mabwege
[QYUOTE="nusuhela, post: 21289484, member: 203466"]Ndio maana nasema hakuna jipya hata kama kaanza maana waliyapitisha wenyewe. Upinzani walipopinga walionekana mabwege[/QUOTE]
Yaliyopita si ndwele tugange YAJAYO!
 
Hiyo kampuni ni ya kimataifa na uwa inadeclare inachokipata dunia nzima kuwa kiko genuine, na wana pata fedha za kuendesha biashara zao na pia soko la kuuza biashara zao kwa sababu ya uwazi wao, leo RAISI WA NCHI ANAPOTANGAZA KUWA HAO JAMAA NI WEZI TAYARI JAMAA WANAINGIA DOSARI KWENYE SOKO LAO NA PIA WANAHARIBU SIFA ZAO, SO WATAULIZWA NA WATASEMA KUWA WAO WAKO RIGHT, NA WATAKAO AMBIWA WATACHUNGUZA ILI KUJIRIDHISHA NA WAKIKUTA NI UONGO BASI TANZANIA NDIO IMEJIFUNGIA FURSA NA NDIO MWANZO WA KUWA NA VIKWAZO RASMI NA VILE AMBAVYO SIO RASMI

Ntawaeka uzi hapa kesho na ntakuquote

Mkuu;
Naona kweli una uchungu sasa sielewi ni uchungu kuwa nchi yako iliibiwa mno au? Sijui uchungu wako ni kuwa viongozi wetu wametuletea janga jipya hapa kwa kuwaambia watu ni wezi?? Swali kidogo tu; Nivumilie lakini. Hivi, hizo sampuli zilizoenda kuchunguzwa na kina Pro. Mruma waliziokota bara barani au walizitoa kwenye makontena tajwa?? Je, hayo makontena yameshasafirishwa au bado yapo?? Ushauri wangu. Hayo makontena yadhibitiwe yakae hapo hadi waje wataalam kutoka hata sayari nyingine watakao kubalika pande zote mbili. Wachukue sampuli zao nao wende kuzichambua. Zikionekana fake basi nchi iumizwe kwa kuwalipa fidia hao Barrick kwa kuwaita wezi. Na waliotupoteza kwa uzushi wao wapandishwe vyeo tuu. Lakini, zikikutwa huko hata onzi moja tu ya dhahabu na hayo madini mengine ambayo hao Barrick hawakuyataja, nadhani, Mh Rais awe dicteta kamili na kuwafukuza nchini bila hata kuchukua gauni la pili. Waende kwao, wakajikusanye wakiisha kutulipa walichotuibia ndo waje kuokota masara yao. Tungemuomba rais asicheke na manyani haya. Tumechokaaaaaa. Tunataka reli, Ndege hata Boeing, tunataka dawa mahospitalini sio vyandarua toka USA. wao wachukue dhahabu. No, never.
 
Mkuu;
Naona kweli una uchungu sasa sielewi ni uchungu kuwa nchi yako iliibiwa mno au? Sijui uchungu wako ni kuwa viongozi wetu wametuletea janga jipya hapa kwa kuwaambia watu ni wezi?? Swali kidogo tu; Nivumilie lakini. Hivi, hizo sampuli zilizoenda kuchunguzwa na kina Pro. Mruma waliziokota bara barani au walizitoa kwenye makontena tajwa?? Je, hayo makontena yameshasafirishwa au bado yapo?? Ushauri wangu. Hayo makontena yadhibitiwe yakae hapo hadi waje wataalam kutoka hata sayari nyingine watakao kubalika pande zote mbili. Wachukue sampuli zao nao wende kuzichambua. Zikionekana fake basi nchi iumizwe kwa kuwalipa fidia hao Barrick kwa kuwaita wezi. Na waliotupoteza kwa uzushi wao wapandishwe vyeo tuu. Lakini, zikikutwa huko hata onzi moja tu ya dhahabu na hayo madini mengine ambayo hao Barrick hawakuyataja, nadhani, Mh Rais awe dicteta kamili na kuwafukuza nchini bila hata kuchukua gauni la pili. Waende kwao, wakajikusanye wakiisha kutulipa walichotuibia ndo waje kuokota masara yao. Tungemuomba rais asicheke na manyani haya. Tumechokaaaaaa. Tunataka reli, Ndege hata Boeing, tunataka dawa mahospitalini sio vyandarua toka USA. wao wachukue dhahabu. No, never.

Kaka wewe ulikuwa hujui kuwa hayo Makontena yana dhahabu na madini mengine?, yaani jamaa walikuwa wanapeleka Japan mchanga usio na Kitu? Ni upotoshaji mkubwa tu, hizo pesa zilizotajwa wala sio zetu, hapo chetu ni 3% tu ya fedha yote, kwa nini tuaminishwe kuwa tumeibiwa hayo Matrillion?

Tumetengeneza bonge la bomu kaka
 
Jamani ifike mahali tuwe na kiasi sasa Mh. Rais anajua kazi yake mwacheni afanye vile anaona inafaa maana miluzi inakuwa miiingi.
 
Kaka wewe ulikuwa hujui kuwa hayo Makontena yana dhahabu na madini mengine?, yaani jamaa walikuwa wanapeleka Japan mchanga usio na Kitu? Ni upotoshaji mkubwa tu, hizo pesa zilizotajwa wala sio zetu, hapo chetu ni 3% tu ya fedha yote, kwa nini tuaminishwe kuwa tumeibiwa hayo Matrillion?

Tumetengeneza bonge la bomu kaka

Mkuu;
Litakuwa bomu kama:
Serekali ilijua kuwa mchanga huo ulikuwa na hayo madini mengine yoote halafu ikaridhia. Tutaulizwa, nilificha nini zaidi?? Hayo madini mengine niliyopata huko, haya hapa sijawahi kuuza hata robo kilo.
Pili, Je, kama ikionekana kuwa kiasi walichokuwa wana declare ni cha chini, itakuwaje bomu?? Ndg, hii ndio opportunity yetu ya kuibadili mikataba yoote ya madini na mambo mengine kama Gas. Usiogope. Hata kama tumeleta figisu, watajua kuwa bado kidogo kutakucha kwetu. Nadhani, kutokana na hili, hata siri nyingine kule migodini zimewekwa wekwa wazi kidogo. Sales lazima zimeongezeka kidogo na mrahaba wetu umeongezeka kidogo. Ukichanganya na 10% iliyozibwa tena, mambo yatanyooka tu.
 
Mkuu;
Litakuwa bomu kama:
Serekali ilijua kuwa mchanga huo ulikuwa na hayo madini mengine yoote halafu ikaridhia. Tutaulizwa, nilificha nini zaidi?? Hayo madini mengine niliyopata huko, haya hapa sijawahi kuuza hata robo kilo.
Pili, Je, kama ikionekana kuwa kiasi walichokuwa wana declare ni cha chini, itakuwaje bomu?? Ndg, hii ndio opportunity yetu ya kuibadili mikataba yoote ya madini na mambo mengine kama Gas. Usiogope. Hata kama tumeleta figisu, watajua kuwa bado kidogo kutakucha kwetu. Nadhani, kutokana na hili, hata siri nyingine kule migodini zimewekwa wekwa wazi kidogo. Sales lazima zimeongezeka kidogo na mrahaba wetu umeongezeka kidogo. Ukichanganya na 10% iliyozibwa tena, mambo yatanyooka tu.

Utaratibu uliopo Dunia nzima, kabla ya mgodi kuchimbwa lazima kamouni husika itangaze kupitia Press release kwamba wamepata Madini nchi fulani na yapo ya kiwango fulani
Na nchi husika lazima wafahamishwe kuwa katika haya Madini tuliyoyapata kuna na mengine yapo yamechanganyika, HIVYO TANZANIA TULIKUWA TUNAJUA NDANI KUNA NINI ZAIDI YA DHAHABU
 
Wana JF kulingana na ripoti iliyotolewa leo na tume ya rais kuhusu MCHANGA ambao kwa miaka 17 tumekuwa tukiibiwa kama nchi ukiwa na MADINI mbali mbali na kuwa undervalued ili tuibiwe, IMEKASIRISHA sana kila mtu.
Katika hili sitakuwa nimekosea kumwomba Magufuli awe DIKITETA MZURI/BENEVOLENT dictator.

Aina hii ya UDIKTETA huwa INAKUBALIKA maana huwa ni ya mtu anayetaka kuwafanyia WANANCHI wake MAZURI kwa MANUFAA ya taifa lake.

Tunaweza kuiga mfano wa aliyekuwa mwanzilishi wa taifa la Singapore. "Lee Kuan Yew"
Yeye aliwafukuza kazi na hata KUWAFUNGA JELA RAFIKI zake na jamaa zake waliojihusisha na UFISADI.

Na kuiweka nchi yake katika ulimwengu wa KWANZA/ First world na kipato kikubwa zaidi ya baadhi ya nchi za ULAYA.

Ni nini kilichomsaidia? Ni udikteta mzuri. Hakuwa na huruma.
Jambo la kwanza KABLA ya yote FREEZE/ZIFUNGE ACCOUNT zao zote za WATUHUMIWA zilizo na FEDHA NYINGI ambazo source yake ni ya MASHAKA.


Magufuli ukicheka na mtu Tanzania HATABADILIKA. Kuagiza vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi n vizuri. Lakini KUFUATILIA na KUTENDEA kazi MAAGIZO yako hilo nalo ni lingine.Things should start rolling ASAP& NOW!

Mfano mwingine ni ule ni ule wa juzi Juzi Rais mpya wa Gambia ali FREEZE Dola millioni 50 zilizokuea ZIMEIBIWA na rais aliyetoka madarakani Jammeh.

Ukitaka nchi INYOOKE. Watanzania waanze kuona MALI ZAO na FEDHA zao ZIRUDISHWA serikalini. BILA kuwa na HURUMA huyu ni mtoto wa nani ama alikuwa nani. Usipokuwa DIKTETA mzuri sasa basi Tanzania HATUTAPATA MWINGINE tena.

WACHACHE watalia lakini MAMILIONI ya Watanzania WATAKUPENDA na kusema UMETUOKOA.
Mungu IBARIKI Tanzania na Rais Magufuli
Nakumbuka Idd Amini wakati anapindua nchi na kuchukua madaraka Kule Uganda alianza Kama mtetezi wa nchi, wananchi na hasa wale wa hali ya chini na alionyesha upendo Mkubwa sana kwa Waganda alionyesha uso wa huruma pale alipotembelea Wagonjwa Hospitali na ikabidi awafukuze nchini RAIA wa kigeni kwa kuwataja Kama wezi wanaoiibia nchi. Sass tujiulize je uDikteta unaoutaka wewe mleta mada unajua madhara yake? Kama hauyajui waulize waganda.
 
Utaratibu uliopo Dunia nzima, kabla ya mgodi kuchimbwa lazima kamouni husika itangaze kupitia Press release kwamba wamepata Madini nchi fulani na yapo ya kiwango fulani
Na nchi husika lazima wafahamishwe kuwa katika haya Madini tuliyoyapata kuna na mengine yapo yamechanganyika, HIVYO TANZANIA TULIKUWA TUNAJUA NDANI KUNA NINI ZAIDI YA DHAHABU

Mkuu;
Kwa kuwa weye una mwanga kama huu, tiririka basi kuwa; Kwa kuwa tulijua yapo hayo madini, tukawaambia jichukulieni tuu bure hatuna kazi nayo?? Nashindwa kuelewa jamani, hata lile liudongo la tope tunawapa bore wao wakalimwage baharini kwao kuongeza upana wa ardhi yao ya ufukwe?? Magufuli baba, waamuru waurudishe baada ya kujichujia madini yao. Tuliweka saini ya kuuziana gold, siyo tope.
 
Nakumbuka Idd Amini wakati anapindua nchi na kuchukua madaraka Kule Uganda alianza Kama mtetezi wa nchi, wananchi na hasa wale wa hali ya chini na alionyesha upendo Mkubwa sana kwa Waganda alionyesha uso wa huruma pale alipotembelea Wagonjwa Hospitali na ikabidi awafukuze nchini RAIA wa kigeni kwa kuwataja Kama wezi wanaoiibia nchi. Sass tujiulize je uDikteta unaoutaka wewe mleta mada unajua madhara yake? Kama hauyajui waulize waganda.
Mkuu,Huwezi kumfananisha Rais Magufuli na Idd Amin.
Nakumbuka Idd Amini wakati anapindua nchi na kuchukua madaraka Kule Uganda alianza Kama mtetezi wa nchi, wananchi na hasa wale wa hali ya chini na alionyesha upendo Mkubwa sana kwa Waganda alionyesha uso wa huruma pale alipotembelea Wagonjwa Hospitali na ikabidi awafukuze nchini RAIA wa kigeni kwa kuwataja Kama wezi wanaoiibia nchi. Sass tujiulize je uDikteta unaoutaka wewe mleta mada unajua madhara yake? Kama hauyajui waulize waganda.
Huwezi KUMFANANISHA RAIS Magufuli na Idd Amini kwa sababu zifuatazo.
1. Iddi Amini hakuwa na ELIMU yeyote hata ile ya shule ya chekechea/ alikuwa ILLITERATE- Wakati Rais Magufuli ni MSOMI mwenye PhD. Hivyo reason ing ya Idd Amin ilikuwa ni CHINI sana.

2. Idd Amin kwa sababu alijua watu WALIJUA kuwa HAKUSOMA, hivyo basi akaanza VITA na WASOMI wote maana alifikiri WASOMI wanapotoa ushauri walikuwa wanataka kumtoa uongozini sababu ya illiteracy yake/Kutosoma kwake.

3. Idd Amin alikuwa na ugonjwa wa kisaikolojia wa PARANOID LOW SELF ESTEEM na INSECURITY combined na hivyo kila mtu alimwona ni TISHIO na ni SUSPECT/MTUHUMIWA aliyetaka kumwondoa madarakani.

Akaanza kuuwa watu ovyo ovyo ikiwemo WASOMI WENGI tu.
Hata MAKASISI wa MAKANISA Hawakusazwa.
Jana IKULU kulikuwa na VIONGOZI wa DINI. Huoni utofauti?

Magufuli ni OPPOSITE kabisa na Idd Amin.
1. Ana HIGH SELF ESTEEM/ANAJIAMINI.
2.Hana INSECURITY yeyote maana wananchi wako nyuma yake.
3.HAJAUA WASOMI bali amejaribu sana KUWATUMIA WASOMI. Tofauti sana na AWAMU zilizopita. Ili kujaribu KUBORESHA utendaji wa kazi SERIKALINI MWAKE.

Hivyo basi Rais Magufuli na Idd Amin ni kama MAJI na MAFUTA huwezi kuwalinganisha hata kidogo.
 
Hapo kwa hitler Awe tu.,, Pamoja na kua Hitler alikua dictator lakni Today's German foundation iliwekwa na Hitler
INGAWAJE nichokizungumzia siyo udikteta wa KUTESA watu bali ni wa KUNYOOSHA mambo yaliyoharibika.
Na IKIBIDI kunyoosha kwa kutumia DECREE/AMRI na MAAGIZO ya NGUVU.
 
Back
Top Bottom