Tukiunga hoja kama hii nafikiri nchi itabadilika. Watu wanaposikia neno Dikteta mzuri wanafikiri ni wale wabaya.naunga mkono hota
Mkuu tunazama KUFANIKISHA SOKO lao ama KUFANIKISHA nchi yetu? Nini cha muhimu hapa?Hiyo kampuni ni ya kimataifa na uwa inadeclare inachokipata dunia nzima kuwa kiko genuine, na wana pata fedha za kuendesha biashara zao na pia soko la kuuza biashara zao kwa sababu ya uwazi wao, leo RAISI WA NCHI ANAPOTANGAZA KUWA HAO JAMAA NI WEZI TAYARI JAMAA WANAINGIA DOSARI KWENYE SOKO LAO NA PIA WANAHARIBU SIFA ZAO, SO WATAULIZWA NA WATASEMA KUWA WAO WAKO RIGHT, NA WATAKAO AMBIWA WATACHUNGUZA ILI KUJIRIDHISHA NA WAKIKUTA NI UONGO BASI TANZANIA NDIO IMEJIFUNGIA FURSA NA NDIO MWANZO WA KUWA NA VIKWAZO RASMI NA VILE AMBAVYO SIO RASMI
Ntawaeka uzi hapa kesho na ntakuquote
Sijui kama wengine wanalipata vizuri wazo hili.Ni Sawa kabisa mdau
Muda ukiendelea aone mazuri HUENDA atabadilika.We jamaaa zombie kweli
HITLER alichukia WAGENI na alikuwa ni kama Mnyama.Hivyo ninachokizungumzia ni tofauti na hicho cha Hitler.Kumbe na wewe unaamini HITLER alikuwa DIKITETA!!!
Madhara ya UKOLONI ni makubwa sana.
Wauloze WAJEREMANI kama ADOLF alikuwa DIKITETA. Hayo ya kuambiwa na maadui zake changanya na ya kwako.
Ni kweli aliwaua wayahudi. Lakini hili lilikuwa DAI la wajeremani waliwachukia wageni matajiri nchini kwao na hasa WAYAHUDI. Sawa na DONALD anavyotimua wageni kwake huko. Kwangu huo siyo udikiteta.
Adolf aliwafanya wajeremani wawe taifa kubwa. Wote walimpenda.
Kuna jambo nimekumbuka. Je SAUTI ya vyama vya UPINZANI iko wapi katika jambo hili laHalafu kuna watu nchi hiii wanajifanya,wazalendo wanaelewa au wanazijua sheria ila wamekosa busara,Jambo lolote likitokea wanakazana kuteka midia kwa mawazo yao,Badala ya kufanya utaratibu wa kuonana na Rais ili washauriane,wao kazi kulaumu TU,mbona wana nguvu sana kuomba kuonana na Rais wala hawawez kuzuiwa,kwangu Mimi staili ya maisha waliyoichagua ndiyo inayofanya kuwe na tofauti ya malengo baina ya pande hizi mbili.Hakuna wa kupona.
Nangoja UZI wako uko wapi?Hiyo kampuni ni ya kimataifa na uwa inadeclare inachokipata dunia nzima kuwa kiko genuine, na wana pata fedha za kuendesha biashara zao na pia soko la kuuza biashara zao kwa sababu ya uwazi wao, leo RAISI WA NCHI ANAPOTANGAZA KUWA HAO JAMAA NI WEZI TAYARI JAMAA WANAINGIA DOSARI KWENYE SOKO LAO NA PIA WANAHARIBU SIFA ZAO, SO WATAULIZWA NA WATASEMA KUWA WAO WAKO RIGHT, NA WATAKAO AMBIWA WATACHUNGUZA ILI KUJIRIDHISHA NA WAKIKUTA NI UONGO BASI TANZANIA NDIO IMEJIFUNGIA FURSA NA NDIO MWANZO WA KUWA NA VIKWAZO RASMI NA VILE AMBAVYO SIO RASMI
Ntawaeka uzi hapa kesho na ntakuquote
Ni nani akuchukia WAGENI enzi hizo?HITLER alichukia WAGENI na alikuwa ni kama Mnyama.Hivyo ninachokizungumzia ni tofauti na hicho cha Hitler.
Nafikiri kwa mtazamo WANGU binafsi Tanzania hatuna tabia hiyo. Ama ni vipi mkuu?Ni nani akuchukia WAGENI enzi hizo?
Ni nani leo hii hachukii WAGENI?
Tabia hiyo tunayo kaka. Ukienda uchagani utaitea CHASAKA na ujaluoni utaitwa JA KURE.Nafikiri kwa mtazamo WANGU binafsi Tanzania hatuna tabia hiyo. Ama ni vipi mkuu?
Ninakubaliana nawe kuwa huenda ikawa ni matatizo ya mwanadamu.Tabia hiyo tunayo kaka. Ukienda uchagani utaitea CHASAKA na ujaluoni utaitwa JA KURE.
Ni asili ya binadamu kubaguana. Haina namna ndivyo ilivyo kila mahali.
Kulingana na ID ya jina lako hapa JF. unahitaji LUKUNDO bila upendo ni vigumu kunielewa.Unaomba udikteta kwa Magufuli?.
Kama ana Lukundo alitakiwa awacharaze viboko kwanza CCM wenzake waliotufikisha mahali hapa kwani ni dhahiri kabisa pamoja na nia nzuri ya Magufuli ya kutaka kuiokoa nchi lakini tunakwenda kutumbukia kwenye mgogoro mwingine ambao unaweza ukawa na madhara makubwa zaidi kwetu.Kulingana na ID ya jina lako hapa JF. unahitaji LUKUNDO bila upendo ni vigumu kunielewa.
UDIKTETA ninaouzungumzia kama ulisoma vizuri ni wa LUKUNDO si wa CHUKI. TUKUNDANE na tushikamane pamoja tuokoe nchi hii.
Kulingana na ID ya jina lako hapa JF. unahitaji LUKUNDO bila upendo ni vigumu kunielewa.Unaomba udikteta kwa Magufuli?.
Hapa kuna watu wawili waliotufikisha hapa tulipo (1)kuna serekali ambayo iliidhinisha wizi kwa njia mikataba mibovu ambao kisheria nao ni wezi na kuna wawekezaji ambao wanaitwa kuwa ndio waliotuibia,Je kati ya hawa wote wawili ni yupi ambaye anatakiwa kukubali makosa yake na kutulipa?.WAKIKUBALI na kusema
"TNAKUBALI MAKOSA YETU na TUTALIPA"
Swali nililouliza ni UNAOMBA UDIKTETA kwa magufuli?maana yake ni kwamba Magu ni dikteta wa moja kwa moja ambaye hapaswi kuombwa kuwa dikteta kwa kuwa ana udikteta wa aina zote ila udikteta wenyewe unategemea na mahali anapo utumia na aina ya udikteta anaoutumia na sijasema udikteta wa chuki.UDIKTETA ninaouzungumzia kama ulisoma vizuri ni wa LUKUNDO si wa CHUKI. TUKUNDANE
JIBU ni rahisi. Katika serikali kuna WATU wengi. Mawaziri wa WIZARA hizo za MADINI katika kipindi chote WACHUNGUZWE na kuchukuliwa hatua bili kujali kuwa yeye ni wa CCM ama mjomba wa CCM. Maana Ufisadi hauna CHAMA.Then WAWEKEZAJI nao washughukikiwe.Hapa kuna watu wawili waliotufikisha hapa tulipo (1)kuna serekali ambayo iliidhinisha wizi kwa njia mikataba mibovu ambao kisheria nao ni wezi na kuna wawekezaji ambao wanaitwa kuwa ndio waliotuibia,Je kati ya hawa wote wawili ni yupi ambaye anatakiwa kukubali makosa yake na kutulipa?.