Katibu wa Jumuiya ya wazazi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro ndugu Lugano Mwafongo amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya rufaa ya KCMC mkoani Kilimanjaro alipokimbizwa kwa matibabu.
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!
Mabeberu haya maana kabisa
mmh kwa yule wa kule BURIGI haitofikaTuchape kazi kila nafsi itaonja mauti
Nenda kapewe elimu na Daktari. Corona yapunguza kinga ya mwili. Baada ya hapo, kinachoua pia ni magonjwa hayahayaSiku hizi ataukifa kwa Malaria utaambiwa Corona, wanaufipa Corona ndio kimekua kichaka chenu, pumbavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Au ajisalumishe ofisi ya upelelezi mkoa wa Geita.Ikemefuna anatakiwa kukamatwa na RC kwa kuzurura badala ya kukaa ofisn kwake
Kajamaa kamekuwa kama mtoto mdogo mgongoni kwa mama yakeAu ajisalumishe ofisi ya upelelezi mkoa wa Geita.
CCM....Hakuna lockdown NdioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooTANZIA Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kilimanjaro, Lugano Mwafongo amefariki Dunia Leo Tarehe 7 Mei 2020 Katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC alikokuwa akipatiwa matibabu. View attachment 1442719
Sent using Jamii Forums mobile app
Bundi anaelekea kunakoEndelea kutukana!!
Korona inawapenda sana watu kama nyie!! Sie hata tukifa hatutakiwi hata kuhesabiwa.
Anyway ngoma ndio ipo nyang'wale very close to CHATO.
Soon mtaijua falsafa ya POPOBAWA.
Mambosasa ametangaza wabunge waliopo Dsm waripoti kuhojiwa.Au ajisalumishe ofisi ya upelelezi mkoa wa Geita.
Hayo ni machozi mkuu.. imeniuma sana aiseMkuu ndiyo nini hivi?