Hijja Madava
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 3,302
- 1,936
heeeehe mi nimetoka kinondoni nimekimbikia huku kibosho kwa bibi hee hapo KCMC vipi
Una mavi kichwani
Siku hizi ataukifa kwa Malaria utaambiwa Corona, wanaufipa Corona ndio kimekua kichaka chenu, pumbavuMbaya zaidi kuna watu bado wanacheza na hii Corona...aisee!!
isipofanya miujiza mitaa ya chattle kwa hali hii tunaweza tukateketea wote! Eeeewe Mungu fanya miujizaKuna jamaa kanichekesha sana leo kasema ati COVID kwa nini asifanye muujiza mitaa ya chattle..!!
Endelea kutukana!!Siku hizi ataukifa kwa Malaria utaambiwa Corona, wanaufipa Corona ndio kimekua kichaka chenu, pumbavu
Sent using Jamii Forums mobile app