LAZIMA NISEME
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 232
- 260
Kumekuwepo na maswali mengi juu ya Wanadiplomasia hawa kujihusisha na Mambo ya Ndani ya Nchi na kwamba wanakiuka mkataba wa Viena waliotia saini mwaka 1961 juu ya maswala ya kuingilia shughuli za ndani za dola nyingine, kuonekana leo kwa Mnyika akitoa maelezo ya mwenendo wa Kesi ya mwenyekiti wa Chadema vinatoa Taswila gani kwa Mamlaka za Tanzania?