Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika ateta na mabalozi walipowasili mahakamani 10-9-2021 katika kesi ya Mbowe

Wote?Akimaliza kutoa notisi hiyo na Mabalozi wake pia wanarudishwa nyumbani na ndiyo inakuwa mwisho wa misaada,Uwekezaji na Utalii.Mtakuwa tayari?
Pengine ni vema wanapohudhuria wanajithibitishia ugaidi ili watusaidie kuutokomeza,bado utataka wafukuzwe?
Akili za CCM wanazifahamu wenyewe.
Huyo akili zake zipo kwenye tundu la kutolea uchafu.
 
we unatofauti gani na maiti maana maiti ndio haina akili!
fukuzeni hao mabalozi mmaee zenu nyie mwisho wa kufoka kwenu ni kwenye kukamata viongozi wa Chadema tu nje ya hapo nyie ni mizoga ! shukuruni polisi mngesha zikwa maana nyie na CCM mlisha kufa kitambo
Kila mtu ni maiti mtarajiwa

wewe uliye hai una nini?

taratibu za kimataifa zinasemaje? Maana kama huelewi hata hizi basics basi huna maana
 
Kumekuwepo na maswali mengi juu ya Wanadiplomasia hawa kujihusisha na Mambo ya Ndani ya Nchi na kwamba wanakiuka mkataba wa Viena waliotia saini mwaka 1961 juu ya maswala ya kuingilia shughuli za ndani za dola nyingine, kuonekana leo kwa Mnyika akitoa maelezo ya mwenendo wa Kesi ya mwenyekiti wa Chadema vinatoa Taswila gani kwa Mamlaka za Tanzania?



View attachment 1931752

View attachment 1931754

View attachment 1931755

View attachment 1931756

View attachment 1931760
Inaonesha dunia ilishangazwa na madai juu ya kesi ya ugaidi kwa mtu mwenye ushawishi mkubwa wa kisiasa nchini, na mtu mwenye wafuasi maelfu nchini.Simtetei kwa namna yoyote ile,ila ilitakiwa kujiridhisha kwa kiwango kisichoacha shaka hata chembe kabla ya kumtia nguvuni.Mungu ibariki Tanzania,bariki Rais wetu na watanzania wote.
 
Hapo ndipo nchi ilipofikia. Rais mwenye mamlaka kamili hawezi kuachia hili hao ni wa kupewa masaa 24 tu.
Kwani wakienda kusikiliza na kuangalia mwenendo wa kesi wana kosa gani? Watainfluence hukumu? Mnaogopa nini?
 
This is terrible

hawa jamaa wanakosea sana

Nay. That’s just realpolitik. When you’re the stronger party you don’t bother with diplomatic niceties. You’re above conventions, constitutions and the law. Unafanya unavyotaka. Mnyonge akikutibua unamgonga kwenzi. CCM wanaujua sana ukweli huo.

Kazi kwa serikali ya JMT: inao ubavu wa kujibu?
 
Kila mtu ni maiti mtarajiwa

wewe uliye hai una nini?

taratibu za kimataifa zinasemaje? Maana kama huelewi hata hizi basics basi huna maana
yani nyie mna juwa sheria za kimataifa tu?
yaani una jaribu kusema mavi ya mwingine ni mavi yako ni chakula?
nyie ccm ni moja wapo ya viumbe wa ajabu walio kufa ila bado mnaishi kama mizimu! wanacho fanya wafuasi wenu ni kutambika tu ndio maana hamjazikwa!
ila hawapo mbali kuwazika na kuwasahau!!
 
Back
Top Bottom