Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Bila hawa jamaa tungeuliwa kama kuku na haya madiktetaMungu wabariki Wazungu
Bila hawa jamaa tungeuliwa kama kuku na haya madiktetaMungu wabariki Wazungu
Pamoja mkuuHahaha
Hiyo ni dalili ya wazi natosha kuwa wanazidi kuchokwa.Wathubutu
we unatofauti gani na maiti maana maiti ndio haina akili!Kauli ya kipumbavu kabisa hii
KabisaHiyo ni dalili ya wazi natosha kuwa wanazidi kuchokwa.
Nyie mwisho wenu ni kumfukuza balozi wa Burundi na wanaofanana waburundi Ila hatuna ubavu kwa Mabeberu hayo, Kama unabisha nyoosha hata unywele tu 🤔🤔🤪🤪🤪Hapo ndipo nchi ilipofikia. Rais mwenye mamlaka kamili hawezi kuachia hili hao ni wa kupewa masaa 24 tu.
Huyo akili zake zipo kwenye tundu la kutolea uchafu.Wote?Akimaliza kutoa notisi hiyo na Mabalozi wake pia wanarudishwa nyumbani na ndiyo inakuwa mwisho wa misaada,Uwekezaji na Utalii.Mtakuwa tayari?
Pengine ni vema wanapohudhuria wanajithibitishia ugaidi ili watusaidie kuutokomeza,bado utataka wafukuzwe?
Akili za CCM wanazifahamu wenyewe.
Kila mtu ni maiti mtarajiwawe unatofauti gani na maiti maana maiti ndio haina akili!
fukuzeni hao mabalozi mmaee zenu nyie mwisho wa kufoka kwenu ni kwenye kukamata viongozi wa Chadema tu nje ya hapo nyie ni mizoga ! shukuruni polisi mngesha zikwa maana nyie na CCM mlisha kufa kitambo
Jeuri hiyo haipo nduguPolisi pigeni mabomu hapo, kwanini wakusanyike mnyika na mabalozi bila kibali maalum?
Haupo uwezo huo,wamevunja sheria ipi? Umesikia wakiongea chochote juu ya kesi hii?Hapo ndipo nchi ilipofikia. Rais mwenye mamlaka kamili hawezi kuachia hili hao ni wa kupewa masaa 24 tu.
Inaonesha dunia ilishangazwa na madai juu ya kesi ya ugaidi kwa mtu mwenye ushawishi mkubwa wa kisiasa nchini, na mtu mwenye wafuasi maelfu nchini.Simtetei kwa namna yoyote ile,ila ilitakiwa kujiridhisha kwa kiwango kisichoacha shaka hata chembe kabla ya kumtia nguvuni.Mungu ibariki Tanzania,bariki Rais wetu na watanzania wote.Kumekuwepo na maswali mengi juu ya Wanadiplomasia hawa kujihusisha na Mambo ya Ndani ya Nchi na kwamba wanakiuka mkataba wa Viena waliotia saini mwaka 1961 juu ya maswala ya kuingilia shughuli za ndani za dola nyingine, kuonekana leo kwa Mnyika akitoa maelezo ya mwenendo wa Kesi ya mwenyekiti wa Chadema vinatoa Taswila gani kwa Mamlaka za Tanzania?
View attachment 1931752
View attachment 1931754
View attachment 1931755
View attachment 1931756
View attachment 1931760
Jeuri hiyo haipo ndugu
😄😄 Si wanajitoaga ufahamu,nilitaka wafanye na hapo Mkuu.Jeuri hiyo haipo ndugu
Kwani wakienda kusikiliza na kuangalia mwenendo wa kesi wana kosa gani? Watainfluence hukumu? Mnaogopa nini?Hapo ndipo nchi ilipofikia. Rais mwenye mamlaka kamili hawezi kuachia hili hao ni wa kupewa masaa 24 tu.
This is terrible
hawa jamaa wanakosea sana
Mungu tu atusaidieChama changu kimebakiwa na malapulapu. Hata wa kutuongoza kisheria namna ya kushughulika na haya hayupo?
Wataishia kututishia sisi warundi tu huko hawawezi thubutu😄😄 Si wanajitoaga ufahamu,nilitaka wafanye na hapo Mkuu.
yani nyie mna juwa sheria za kimataifa tu?Kila mtu ni maiti mtarajiwa
wewe uliye hai una nini?
taratibu za kimataifa zinasemaje? Maana kama huelewi hata hizi basics basi huna maana
Not so sure,but maybe.Huyo akili zake zipo kwenye tundu la kutolea uchafu.