kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 5,984
- 6,645
Kubambikiza kesi na kufungwa wapinzani ni desturi ya viongozi wasiokubalika na madikteta!! Mabalozi wanataka kujua uhalali wa ugaidi ama uhujumu uchumi wa kiongozi Mbowe. Kama kesi ni genuine kunashida gani?