Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 400
- 1,003
Wametumwa na CCMBila kutaja chadema hakuna anayejua kama wapo
Mwenyekiti wa Umoja Umoja wa Vyama vya Siasa ni Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan Doyo akiwa kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani ambao hawana wabunge amesema wao walikuwa wamejipanga kufanya maandamano ya muswada wa vyama vya siasa pamoja na Tume ya Uchaguzi irudi bungeni kwa mara ya pili na ya tatu ipite kuwa sheria lakini CHADEMA waliwawahi.
Hapo vipi Wakuu?
Sio Wabunge tu, pia havina wanachama zaidi ya wale wa janjajanja kwenye fomu!
Kwa hiyo CHADEMA waliwaweka JWTZ mabarabarani hadi wakashindwa kuandamana kushajihisha hoja zao?Muda mwingine wawe wanatafakari kitu halisi kilichowakwamisha na si kusingizia hoja mfu!Mwenyekiti wa Umoja Umoja wa Vyama vya Siasa ni Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan Doyo akiwa kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani ambao hawana wabunge amesema wao walikuwa wamejipanga kufanya maandamano ya muswada wa vyama vya siasa pamoja na Tume ya Uchaguzi irudi bungeni kwa mara ya pili na ya tatu ipite kuwa sheria lakini CHADEMA waliwawahi.
Hapo vipi Wakuu?
Wabunge wao ni wale wa CCM.Sio Wabunge tu, pia havina wanachama zaidi ya wale wa janjajanja kwenye fomu!
Huyo ni mwakilishi wa vyama vinavyopo kwenye payroll ya ccmMwenyekiti wa Umoja Umoja wa Vyama vya Siasa ni Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan Doyo akiwa kwenye mkutano wa vyama vya siasa vya upinzani ambao hawana wabunge amesema wao walikuwa wamejipanga kufanya maandamano ya muswada wa vyama vya siasa pamoja na Tume ya Uchaguzi irudi bungeni kwa mara ya pili na ya tatu ipite kuwa sheria lakini CHADEMA waliwawahi.
Hapo vipi Wakuu?
Umeonaeeeeeee ?Bila kutaja chadema hakuna anayejua kama wapo
Ndiyo maana yake maana ukiona mkutano wa chama cha upinzani kuna Mike ya tbc basi elewa kuwa hao ni mawakala wa ccm na siyo wapinzaniWametumwa na CCM
Wachana na wachumia tumboHuyu mzee ni mjinga sn, CHADEMA hawaungi wao wanapinga
Washamba tuBado ccm inatumia mbinu za kizamani sana. Hayo matawi yake ndio wanadhani watatupoteza maboya.
Kwanza sidhani kama kuna Mtanzania anamfahamu zaidi ya watoto wake na waajiri wake ccmHivi ndo nyama shikizi B vya CCM kama ilivyo kule Zanzibar kwenye mahusiano ya kindoa Kati ya ACT na CCM.
Bure kabisa Bwana Dayo
Umemaliza kazi yooteNdiyo maana hoja yao kubwa kwenye Kikosi Kazi ilikuwa Ruzuku kwa vyama vyote vya siasa ....!!
Yaani serikali ilipe ruzuku kwa vyama vya mfukoni. Si wachukue huko huko CCM wanaowafanyia kazi.
Ni ndugu yake ACTAdc ni kiwanda cha maziwa au nakosea