naona ujumbe mzima wa huu uzi upo kwenye aya ya mweisho mstari waaaaa...sorry sikumbuki ila umetaja vocha!
Oni langu kwa katiba: wazee wote watafutiwe jukwaa lao kwa mfanooo.....
Umegusa pabaya..,jitathmini upya na angalia thamani ya kucha na meno yako...
Itapita hii
mweshimiwa kwani kuna ubaya mkiwekewa jukwaa lenu?
Daughter hebu nieleze wapi shida ipo...???mi nimetelekezwa zaidi ya miezi miwilihuyu Baba V haoni malalamiko yangu,khaaa!!