mi nimetelekezwa zaidi ya miezi miwili
huyu Baba V haoni malalamiko yangu,khaaa!!
Njoo kwangu
umemuona Chimbuvu anaomba hela ya vocha hadharani wakati mi nimeshajitangazia kuwa niko mikononi mwa Pedeshee halafu yeye anaomba vocha ya Jero.... Hivi kweli atanifaa huyu ndugu yangu... Mbona kama machale kunndesa!
Kiwowowo tu
Kwa lipi@ kwani nani mwingine anakumiliki zaidi yangu?
umemuona Chimbuvu anaomba hela ya vocha hadharani wakati mi nimeshajitangazia kuwa niko mikononi mwa Pedeshee halafu yeye anaomba vocha ya Jero.... Hivi kweli atanifaa huyu ndugu yangu... Mbona kama machale kunndesa!
mi mwenyewe natafakari hapa
shemeji fogo kuomba voja ya jero?
we pima mwenye kisu kikali ndio huyo huyo wa
kudumu wengine zugia tu!!
unao wengi
kwa mwezi unitembelee
kwangu mara moja si shida?akhuuu!!
Ni sawa ila ushamsikia yeyote analalamika?
punguza ukali wa maneno shell ya mafuta inaweza mwangusha chinihebu muulize slave mpenzi
wahi huku fasta kabla msimu wa mavuno haujaisha.umemuona Chimbuvu anaomba hela ya vocha hadharani wakati mi nimeshajitangazia kuwa niko mikononi mwa Pedeshee halafu yeye anaomba vocha ya Jero.... Hivi kweli atanifaa huyu ndugu yangu... Mbona kama machale kunndesa!